Rais Samia: Kisiasa tupo vizuri, leo wanangu wamejipanga na Mabango yao nikawaambia nimewaona, nikawapungia Mkono

Rais Samia: Kisiasa tupo vizuri, leo wanangu wamejipanga na Mabango yao nikawaambia nimewaona, nikawapungia Mkono

Covid-19 ni kielelezo cha mapungufu ya usimamizi wa katiba, na sheria, hivyo inahitajika katiba mpya itakayoweza kuondoa hali hiyo!
 
Unamlisha mama yako maneno[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hayo kazungumza lini?
 
Rais samia akiwa Washington D.C amesema Tanzania kisiasa tupo Vizuri.

Hali ya Kisiasa Tupo Stable,Hali ya Kisiasa iko Nzuri, tunachukua Hatua za kufanya Vyama vyote vya Siasa vikae Pamoja Kujadili namna ya Kuendesha Siasa zetu Nchini.

Rais amewaona Vijana wa Marekani walioandamana na Mabango na Fulana wakidai Katiba Mpya na Wabunge wa 19 Wafukuzwe. Amesema ameyaona Mabango na kuyasoma. Ujumbe umefika.

Kuhusu chadema kugomea Vikao vya Baraza la vyama vya siasa, amesema anawaelewa na anaendelea kuzungumza nao ili wajiunge na wenzao.

Ziara ya Rais Samia: Watanzania waishio Marekani waandamana kudai Katiba Mpya

View attachment 2199573
Mbona hakuongea nao?
Kapita nyuma?
 
Ulifukarushwa wewe nahisi na uvivu wako au ulikua mwizi kati ya hayo mawili
Ajira. Sasa hivi ajiri zimejaa kila Kona kila aliyesoma anafurahia Sasa. Kipindi kile kipaumbele Cha yule bwana ilikuwa kumaliza upinzani tu basi
 
Wamedhani wamekwepesha aibu kumbe ndio wametia aibu, kumkwepesha Rais na kumpitisha uchochoroni ni dhihaka kwa hadhi ya Uraisi.

Screenshot_20220425-082003.png
 
Alafu Kuna vichaa wamekesha CLUB HOUSE yanasema eti wahamiaji walikuwa wahuni /mateja.
 
Huyu mtu anawadharu mpaka basi, hata lugha yake tu, ni kama anaongea na watoto, kwake yeye unaweza kusema you are just inferior beings na na yeye “ameletwa“ kuwa civilize, sijui hata kwa nini mnamshobokea hivyo, lkn deep inside she has no respect for you, all of you, na haijalishi wewe ni chadema, ccm au Chama chochote, wote ni inferior, ndivyo mimi nilivyomsoma, kwa maana kama mtu ana malalamiko yake halafu unamuita mwanangu, inamaanisha nini ?
 
Machawa ya CCM yamenuna,kusikia mama alisema anamazungumzo na CHADEMA.
 
Ajira. Sasa hivi ajiri zimejaa kila Kona kila aliyesoma anafurahia Sasa. Kipindi kile kipaumbele Cha yule bwana ilikuwa kumaliza upinzani tu basi
Ajira za bungeni? Acha siasa! Yule alijenga uwezo wa watu kujiajiri! Uliza daraja la Tanzanite limeacha vijana wangapi wenye uwezo wa kujenga?
Bwawa la mwalimu limeacha wajenzi wangapi?
Nenda upanuzi wa bandari zote, zote ajira
Sio hizi nyingine hewa tu!
 
Rais samia akiwa Washington D.C amesema Tanzania kisiasa tupo Vizuri.

Hali ya Kisiasa Tupo Stable,Hali ya Kisiasa iko Nzuri, tunachukua Hatua za kufanya Vyama vyote vya Siasa vikae Pamoja Kujadili namna ya Kuendesha Siasa zetu Nchini.

Rais amewaona Vijana wa Marekani walioandamana na Mabango na Fulana wakidai Katiba Mpya na Wabunge wa 19 Wafukuzwe. Amesema ameyaona Mabango na kuyasoma. Ujumbe umefika.

Kuhusu chadema kugomea Vikao vya Baraza la vyama vya siasa, amesema anawaelewa na anaendelea kuzungumza nao ili wajiunge na wenzao.

Ziara ya Rais Samia: Watanzania waishio Marekani waandamana kudai Katiba Mpya

View attachment 2199573
Ujumbe huu uwafikie Zandrano, Sumurai,stroke, countrywide, Naona, Johnthe baptist na group lao loote.
 
Ajira za bungeni? Acha siasa! Yule alijenga uwezo wa watu kujiajiri! Uliza daraja la Tanzanite limeacha vijana wangapi wenye uwezo wa kujenga?
Bwawa la mwalimu limeacha wajenzi wangapi?
Nenda upanuzi wa bandari zote, zote ajira
Sio hizi nyingine hewa tu!
Sisi hatutuka ajira temporary. Ajira za tanzanite au mabarabara zilikuwa temporary tu
 
Mkuu hiyo ni cha mtoto .tafuta clip ya kagame 2014 kama sikosei alienda Oxford university nahsi alipitishwa kwenye ma skip ya uchafu. Viongozi wa kiafrika wanaongoza nafsi zilizogoma japo wanajifanya watukufu.mama yetu ni "dhaifu" period
🤣🤣🤣🤣kifupi wanajiongoza wao. Maana hawachaguliwi na wananchi.
 
Back
Top Bottom