Kalamu Nzito
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 349
- 805
Ni wazi kwamba Rais nchi imemshinda. Ile hotuba yake ya kwamba amejigeuza chura kiziwi sasa naanza kuielewa.
Ni kwamba hatokaa asikilize kelele za aina yoyote. Kama kiongozi ukiziba masikio, tayari unakosa sifa ya kuwa kiongozi. Nchi hii inaweza kwenda bila Samia.
Pia soma: Ally Mohamed Kibao auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
Wapo watu wenye nia na uthubutu wa kuongoza. Tunafahamu aliingia madarakani kwa bahati mbaya ndio maana.
Kuachia madaraka nayo ni busara pia.
Ni kwamba hatokaa asikilize kelele za aina yoyote. Kama kiongozi ukiziba masikio, tayari unakosa sifa ya kuwa kiongozi. Nchi hii inaweza kwenda bila Samia.
Pia soma: Ally Mohamed Kibao auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
Wapo watu wenye nia na uthubutu wa kuongoza. Tunafahamu aliingia madarakani kwa bahati mbaya ndio maana.
Kuachia madaraka nayo ni busara pia.