FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Ni kiziwi umeshasema, kwahiyo mnapiga kelele bure
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Majibu ya Mungu katika hili hayatachelewa.ameen usiku wa manane nitaamka kusali kumuomba mungu ghrika kubwa ziwakumbe
hakika mkuu hivibyule kijana wa mbeya aliechoma picha hajaonekana mpaka leoMajibu ya Mungu katika hili hayatachelewa.
Huu ni ufedhuli uliovuka kiwango
naomba nikuulize kaswali kadogo,ivi wewe ukipewa nafasi ya kuongoza nchi kwa siku moja tu unaweza?,,,mimi sio kwamba namtetea ila kuna wakati najiuliza kama mimi ningeweza,rais yupo bize mno,mara yupo huku mara kule,mara anafungua mradi huu mara ule,mara analetewa files za wa2 kunyongwa ,,,da!!!! mpaka najiulizaga,ivi anapata kweli utulivu wa kufurahia ndoa yake kweli????? ndo manake nyerere alisema ni mwendawazimu pekee anakomaa kwenda ikulu,,ujue,tuache unafiki,wengi we2 ikiwemo sisi pamoja na mimi,vifamilia vyetu,yaani unakuta una vitoto vi3 na kamke kamoja,lakini ata kulipa ada ya shule za watoto tunafeli mazee,,,,ata kulipa kodi ya pango ni issue kama kuaa tembo,,,,lakini 2napiga keleeeeeeeeeeeeeele!!! rais hawezi sijui kafeli,wakatu wewe mwenyewe ata nauli ya kutoka kijiweni kwako kwenda home unakopa!!!!,,,,,,,,ebu jamani,2mpe kamoyo huyu maza!!! mimi sio chawa wala nini,ila nawaza kwa kina tu!! sometimes nikiwa kwenye mishe zangu down town nakosa ata ela ya lunch,naenda kwa ntilie[mama zayomba]nakopa msosi so,nakosa confidence ya kumsahihisha huyu maza!!Ni wazi kwamba Rais nchi imemshinda. Ile hotuba yake ya kwamba amejigeuza chura kiziwi sasa naanza kuielewa.
Ni kwamba hatokaa asikilize kelele za aina yoyote. Kama kiongozi ukiziba masikio, tayari unakosa sifa ya kuwa kiongozi. Nchi hii inaweza kwenda bila Samia.
Pia soma: Ally Mohamed Kibao auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
Wapo watu wenye nia na uthubutu wa kuongoza. Tunafahamu aliingia madarakani kwa bahati mbaya ndio maana.
Kuachia madaraka nayo ni busara pia.
Binti yule alipopigwa mande na maafande, nilitegemea aongee chochote!!
Sasa sijui shida nn!!
Mwenye hofu ya Mungu ni kama nani?Vitabu vitakatifu vinasema Mwanaume ni kichwa cha nyumba/familia. Hii inathihirisha kuwa pia Mwanaume ni kichwa cha Nchi, ni ubishi tu wa binadamu ila Uongozi wa Nchi unahitaji Mwanaume tena mwenye hofu ya Mungu na anayekerwa na ufisadi na uvujaji wa mali ya umma.
Maelezo meeeeengi lakn pumba tupunaomba nikuulize kaswali kadogo,ivi wewe ukipewa nafasi ya kuongoza nchi kwa siku moja tu unaweza?,,,mimi sio kwamba namtetea ila kuna wakati najiuliza kama mimi ningeweza,rais yupo bize mno,mara yupo huku mara kule,mara anafungua mradi huu mara ule,mara analetewa files za wa2 kunyongwa ,,,da!!!! mpaka najiulizaga,ivi anapata kweli utulivu wa kufurahia ndoa yake kweli????? ndo manake nyerere alisema ni mwendawazimu pekee anakomaa kwenda ikulu,,ujue,tuache unafiki,wengi we2 ikiwemo sisi pamoja na mimi,vifamilia vyetu,yaani unakuta una vitoto vi3 na kamke kamoja,lakini ata kulipa ada ya shule za watoto tunafeli mazee,,,,ata kulipa kodi ya pango ni issue kama kuaa tembo,,,,lakini 2napiga keleeeeeeeeeeeeeele!!! rais hawezi sijui kafeli,wakatu wewe mwenyewe ata nauli ya kutoka kijiweni kwako kwenda home unakopa!!!!,,,,,,,,ebu jamani,2mpe kamoyo huyu maza!!! mimi sio chawa wala nini,ila nawaza kwa kina tu!! sometimes nikiwa kwenye mishe zangu down town nakosa ata ela ya lunch,naenda kwa ntilie[mama zayomba]nakopa msosi so,nakosa confidence ya kumsahihisha huyu maza!!
usifikiri mimi nafikiri kwa halaiki mazee,,,na wala wewe sio mwalimu wangu,au sio bhana!!!........nina haki ya kufikiri ninachoamini ,halikhadhalika nawe una haki yako,lakini utambue pia,PUMBA ndo inasababisha kuku wanakuwa na afya,na miongini mwa nya tamu na bora ni nyama ya kuku!!! marehemu ROBERT NESTA MARLEY lipata kusema" EVERY ONE HAS THE THE RIGHT TO DECIDE!!!!"Maelezo meeeeengi lakn pumba tupu
Kijana upeo wako bado ni mdogo kuyanyambua mambo haya, tambua kwamba urais ni taasisi na yeye ni msimamizi tu..haitaji rasilimali zake binafsi kuongoza nchi, kinachohitajika kwake ni hekima na maono tu.naomba nikuulize kaswali kadogo,ivi wewe ukipewa nafasi ya kuongoza nchi kwa siku moja tu unaweza?,,,mimi sio kwamba namtetea ila kuna wakati najiuliza kama mimi ningeweza,rais yupo bize mno,mara yupo huku mara kule,mara anafungua mradi huu mara ule,mara analetewa files za wa2 kunyongwa ,,,da!!!! mpaka najiulizaga,ivi anapata kweli utulivu wa kufurahia ndoa yake kweli????? ndo manake nyerere alisema ni mwendawazimu pekee anakomaa kwenda ikulu,,ujue,tuache unafiki,wengi we2 ikiwemo sisi pamoja na mimi,vifamilia vyetu,yaani unakuta una vitoto vi3 na kamke kamoja,lakini ata kulipa ada ya shule za watoto tunafeli mazee,,,,ata kulipa kodi ya pango ni issue kama kuaa tembo,,,,lakini 2napiga keleeeeeeeeeeeeeele!!! rais hawezi sijui kafeli,wakatu wewe mwenyewe ata nauli ya kutoka kijiweni kwako kwenda home unakopa!!!!,,,,,,,,ebu jamani,2mpe kamoyo huyu maza!!! mimi sio chawa wala nini,ila nawaza kwa kina tu!! sometimes nikiwa kwenye mishe zangu down town nakosa ata ela ya lunch,naenda kwa ntilie[mama zayomba]nakopa msosi so,nakosa confidence ya kumsahihisha huyu maza!!
ona sasa trump kakoswa tena kuuwawa,HAKUNA DEMOKRASIA DUNIA NZIMA!!Kijana upeo wako bado ni mdogo kuyanyambua mambo haya, tambua kwamba urais ni taasisi na yeye ni msimamizi tu..haitaji rasilimali zake binafsi kuongoza nchi, kinachohitajika kwake ni hekima na maono tu.
mkipata misukosuko mnaanza kulalamika!!Ni wazi kwamba Rais nchi imemshinda. Ile hotuba yake ya kwamba amejigeuza chura kiziwi sasa naanza kuielewa.
Ni kwamba hatokaa asikilize kelele za aina yoyote. Kama kiongozi ukiziba masikio, tayari unakosa sifa ya kuwa kiongozi. Nchi hii inaweza kwenda bila Samia.
Pia soma: Ally Mohamed Kibao auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
Wapo watu wenye nia na uthubutu wa kuongoza. Tunafahamu aliingia madarakani kwa bahati mbaya ndio maana.
Kuachia madaraka nayo ni busara pia.
Hata hii Teka-poteza-ua ya viongozi mbalimbali wa kisiasa nayo ameamua kuinyama
Hii ni takataka gani umeandika hapa? Mbona kwenye issue muhimu kama hii unaleta ujinga? Si heri ungekaa kimya kuliko kuanika upumbavu wako.naomba nikuulize kaswali kadogo,ivi wewe ukipewa nafasi ya kuongoza nchi kwa siku moja tu unaweza?,,,mimi sio kwamba namtetea ila kuna wakati najiuliza kama mimi ningeweza,rais yupo bize mno,mara yupo huku mara kule,mara anafungua mradi huu mara ule,mara analetewa files za wa2 kunyongwa ,,,da!!!! mpaka najiulizaga,ivi anapata kweli utulivu wa kufurahia ndoa yake kweli????? ndo manake nyerere alisema ni mwendawazimu pekee anakomaa kwenda ikulu,,ujue,tuache unafiki,wengi we2 ikiwemo sisi pamoja na mimi,vifamilia vyetu,yaani unakuta una vitoto vi3 na kamke kamoja,lakini ata kulipa ada ya shule za watoto tunafeli mazee,,,,ata kulipa kodi ya pango ni issue kama kuaa tembo,,,,lakini 2napiga keleeeeeeeeeeeeeele!!! rais hawezi sijui kafeli,wakatu wewe mwenyewe ata nauli ya kutoka kijiweni kwako kwenda home unakopa!!!!,,,,,,,,ebu jamani,2mpe kamoyo huyu maza!!! mimi sio chawa wala nini,ila nawaza kwa kina tu!! sometimes nikiwa kwenye mishe zangu down town nakosa ata ela ya lunch,naenda kwa ntilie[mama zayomba]nakopa msosi so,nakosa confidence ya kumsahihisha huyu maza!!
Taarifa zilisambaa kuwa ameuwawa muda mchache baada ya kuchoma ile pichahakika mkuu hivibyule kijana wa mbeya aliechoma picha hajaonekana mpaka leo
Nafasi ilikuja kama kikohozi,hakuitarajia na hakuwahi kuuwaza uraisi,Ni wazi kwamba Rais nchi imemshinda. Ile hotuba yake ya kwamba amejigeuza chura kiziwi sasa naanza kuielewa.
Ni kwamba hatokaa asikilize kelele za aina yoyote. Kama kiongozi ukiziba masikio, tayari unakosa sifa ya kuwa kiongozi. Nchi hii inaweza kwenda bila Samia.
Pia soma: Ally Mohamed Kibao auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
Wapo watu wenye nia na uthubutu wa kuongoza. Tunafahamu aliingia madarakani kwa bahati mbaya ndio maana.
Kuachia madaraka nayo ni busara pia.