Drifter
JF-Expert Member
- Jan 4, 2010
- 5,122
- 5,104
Unafikiri mambo ya Marekani yanalingana na ya “watu wasiojulikana” Bongo?ona sasa trump kakoswa tena kuuwawa,HAKUNA DEMOKRASIA DUNIA NZIMA!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unafikiri mambo ya Marekani yanalingana na ya “watu wasiojulikana” Bongo?ona sasa trump kakoswa tena kuuwawa,HAKUNA DEMOKRASIA DUNIA NZIMA!!
Maelezo meeeeeengi yaliyojaa pumba tupu, na hii ndio tafsiri halisi ya ujinga wa watanzania walio wengi...vichwani watupu ila ujuaji sasa!naomba nikuulize kaswali kadogo,ivi wewe ukipewa nafasi ya kuongoza nchi kwa siku moja tu unaweza?,,,mimi sio kwamba namtetea ila kuna wakati najiuliza kama mimi ningeweza,rais yupo bize mno,mara yupo huku mara kule,mara anafungua mradi huu mara ule,mara analetewa files za wa2 kunyongwa ,,,da!!!! mpaka najiulizaga,ivi anapata kweli utulivu wa kufurahia ndoa yake kweli????? ndo manake nyerere alisema ni mwendawazimu pekee anakomaa kwenda ikulu,,ujue,tuache unafiki,wengi we2 ikiwemo sisi pamoja na mimi,vifamilia vyetu,yaani unakuta una vitoto vi3 na kamke kamoja,lakini ata kulipa ada ya shule za watoto tunafeli mazee,,,,ata kulipa kodi ya pango ni issue kama kuaa tembo,,,,lakini 2napiga keleeeeeeeeeeeeeele!!! rais hawezi sijui kafeli,wakatu wewe mwenyewe ata nauli ya kutoka kijiweni kwako kwenda home unakopa!!!!,,,,,,,,ebu jamani,2mpe kamoyo huyu maza!!! mimi sio chawa wala nini,ila nawaza kwa kina tu!! sometimes nikiwa kwenye mishe zangu down town nakosa ata ela ya lunch,naenda kwa ntilie[mama zayomba]nakopa msosi so,nakosa confidence ya kumsahihisha huyu maza!!
sawa mwalimu,,,unajiona una akili nyingi,wakati umeishia form 2bMaelezo meeeeeengi yaliyojaa pumba tupu, na hii ndio tafsiri halisi ya ujinga wa watanzania walio wengi...vichwani watupu ila ujuaji sasa!
ningekaa kimya'kwani hapa nimeandika aua nimeongea?????''''alaf wewe sio mwalimu wangu!!!!!"kichwa kama mbegu ya korosho!!!!Hii ni takataka gani umeandika hapa? Mbona kwenye issue muhimu kama hii unaleta ujinga? Si heri ungekaa kimya kuliko kuanika upumbavu wako.