Pre GE2025 Rais Samia kuachia madaraka nako ni Busara!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Kalamu Nzito

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2015
Posts
349
Reaction score
805
Ni wazi kwamba Rais nchi imemshinda. Ile hotuba yake ya kwamba amejigeuza chura kiziwi sasa naanza kuielewa.

Ni kwamba hatokaa asikilize kelele za aina yoyote. Kama kiongozi ukiziba masikio, tayari unakosa sifa ya kuwa kiongozi. Nchi hii inaweza kwenda bila Samia.

Pia soma: Ally Mohamed Kibao auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana

Wapo watu wenye nia na uthubutu wa kuongoza. Tunafahamu aliingia madarakani kwa bahati mbaya ndio maana.

Kuachia madaraka nayo ni busara pia.
 
Hata hii Teka-poteza-ua ya viongozi mbalimbali wa kisiasa nayo ameamua kuinyamazia kimya??
 
Hivi hata kama ni kulegalega hivi maagizo tu anashindwa kuyatoa?mwanamke gani huna roho ya huruma kwa watoto wa wanawake wenzio?nina uhakika ni mbinu za watu fulani lakini kwa nini asitoe agizo moja lenye nguvu?
 
Vitabu vitakatifu vinasema Mwanaume ni kichwa cha nyumba/familia. Hii inathihirisha kuwa pia Mwanaume ni kichwa cha Nchi, ni ubishi tu wa binadamu ila Uongozi wa Nchi unahitaji Mwanaume tena mwenye hofu ya Mungu na anayekerwa na ufisadi na uvujaji wa mali ya umma.
 
Nini kinaendelea? Kuna shida kubwa mahala. Mwenye akili zake timamu lazima atajiuliza.
 
Dah...
Yani hata kukamata uno la ke wangu hapa nashindwa..
Sijui ni nchi gani hii tupo..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…