ITEGAMATWI
JF-Expert Member
- Jan 26, 2012
- 5,340
- 4,086
Mkuu hebu niambie unaelewaje hiyo kauli ya kipaumbele chenye tija?Nilichosema mimi mkuu ni kwamba ziara za Rais katika nchi mbalimbali zinapaswa kubase kwenye vipaumbele vyenye tija kwa Taifa.
Kwani Rais anapoenda Congo hatuna ubalozi huko?
Ohhh my Godness!!!Mkuu nimeitumia japani kama mfano tu wala sijamaanisha kuwa ina tija kuliko Burundi. Angalia andiko langu kuna neno "kwa mfano" kabla ya kuitaja Japan.
Sasa umejuaje kuwa alienda Russia kwa sababu ni jirani yake na wala siyo kwa sababu ni kipaumbele chenye tija kwa nchi yake?
Mimi msimamo wangu ni uleule hata kama hutaki kuelewa; kuwa Taifa huwa linaongozwa kwa kuzingatia vipaumbele vyenye tija.Je,Congo Burundi na wengineo wana tija kwetu kuliko Mataifa mengine duniani hadi tuwape kipaumbele cha kuanza kuwatembelea?
Again,nilitumia japan kama mfano tu kama nilivyosema hapo juu.
Hoja yangu ni nyepesi sana ila ngumu sana kwako kuielewa.Mimi sijalazimisha aanze kwenda popote pale ila hoja yangu ya msingi ni kwamba anapaswa aanze kwenda kule ambapo ni kipaumbele chenye tija kwa Taifa letu kwa sababu Taifa huongozwa kwa kuzingatia vipaumbele.
Yaani kwenda kuwabembeleza majirani waendelee kutumia bandari yako na kufanya biashara na wewe sio kipaumbele chenye tija kwa definition yako? Ila kwenda china kuwaomba wafungue kiwanda cha bajaji na bodaboda kwako ndiyo kipaumbele chenye tija au sikuelewi vizuri?