Rais Samia kuanza safari ya kikazi nchini DR Congo

Rais Samia kuanza safari ya kikazi nchini DR Congo

Unapodai kuwa Kenya,Rwanda na Burundi zina tija kwa uchumi wa Tanzania umetumia data na statistics gani?Umetumia credible source gani katika information zako?Umetumia tafiti gani za uchumi?Haya mambo ya uchumi siyo mambo ya kupiga porojo kama alivyokuwa anafanya magufuli bali ni masuala ya data kutoka kwenye credible sources pamoja na tafiti.

Unapodai kwa mfano kuwa Congo au Rwanda ina tija katika uchumi wetu umelinganisha nchi hizi na nchi gani?Rwanda inaweza kuwa na tija katika uchumi wetu kumbe tija yake ni ndogo mara kumi ukilinganisha na nchi nyingine kutoka Ulaya na marekani kwa mfano.Haya mambo ya tija katika uchumi yanahitaji ufanye kwanza comparative analysis ya masuala mazima ya uchumi.Umefanya comparative analysis gani katika nchi mbalimbali hadi ugundue kuwa Congo inapaswa kupewa kipaumbele katika ziara za Rais kwa sababu ina tija kwetu kuliko nchi nyingine kutoka mfano ulaya na Marekani?

Wewe unaongea tu porojo kuwa Rwanda,Burundi sijui Congo zina tija kwetu bila kuwa na credible sources za data,statistics,informations na kadhalika.Mbaya zaidi hujafanya comparative analysis yoyote ile katika nchi mbalimbali ili kujua ni nchi zipi kwa uhakika zina tija kwetu kabla ya kufikia conclusion yako.Haya mambo huwa hayafanywi kama unavyotaka kufanya hapa.Haya mambo ni sayansi.

Huyu Mama wa Kambo anaependa kuzurura kama yale mapaka yasiyofugwa yeye anaenda tu Congo huko na kadhalika ila mradi aonekane kuwa Rais yupo ziarani.She is inept.
Dah! Mkuu umejua kunichosha..

Nilipoona umeanza kwa kuhoji no credible information has been provided to suport utija wa nchi tajwa, nikajua utamalizia kwa kutoa credible information kujustfy kukandia kwako.

Sio poa Mkuu kuchoshana! Don't do this next time.
 
Dah! Mkuu umejua kunichosha..

Nilipoona umeanza kwa kusema no credible information has been provided to suport utija wa nchi tajwa, nikajua utamalizia kwa kutoa credible information kujustfy kukandia kwako.

Sio poa Mkuu kuchoshana! Don't do this next time.
Ni kweli unapokataa taarifa uliyopewa ni vizuri uje na taarifa mbadala baada ya kuweka maneno kutoka kwenye Oxford English Dictionary tu bila hizo data, information, statistics na what have you! Ukifanya hivyo kila mtu makini humu JF atakubaliana na wewe.
 
Kama mshauri wake ni vasco da gama unategemea nini?

Halafu nchi anazosafiri kwenda zina mchango mdogo kwenye uchumi wetu.

Asafiri kutafta wawekezaji wa maana huko Ulaya walete mitaji kutusaidia ku exploit hizi natural resources tulizonazo.

Sio muda utasikia ana ziara Somalia.

Yaani hapa tumeingia cha kike kweli.
Wee mzes Congo ana mchango mdogo kwa Tanzania kuwa siliazi mkuu
 
Kama mshauri wake ni vasco da gama unategemea nini?

Halafu nchi anazosafiri kwenda zina mchango mdogo kwenye uchumi wetu.

Asafiri kutafta wawekezaji wa maana huko Ulaya walete mitaji kutusaidia ku exploit hizi natural resources tulizonazo.

Sio muda utasikia ana ziara Somalia.

Yaani hapa tumeingia cha kike kweli.
Alienda comoro juzi vasco
 
Dah! Mkuu umejua kunichosha..

Nilipoona umeanza kwa kuhoji no credible information has been provided to suport utija wa nchi tajwa, nikajua utamalizia kwa kutoa credible information kujustfy kukandia kwako.

Sio poa Mkuu kuchoshana! Don't do this next time.
Mimi nilikuwa namhoji mleta comment ili nijue majibu anayotoa yapo official kiasi gani au ni porojo tu.
 
Sawa. Lakini siwalikataa kutukopesha on those slim and flimsy reasons za mazingira!
Sasa kama Bwawa halikidhi vigezo vya kimazingira kwa nini wakopeshe?
Bwawa linatumia 2% ya eneo lote la hiyo hifadhi wanayo pigia kelele. Ujenzi wa hili Bwawa has never been a controversial issue kwetu, limekuwa hivyo kwao chini ya msingi mkubwa wa kutaka tusijitegemee kwa upande wa nishati nafuu na jadidifu na badala yake tuendelee kutumia mimashine yao ya umeme kama ile ya yule Sighasingha pale Tegeta na akina Symbion! Acheni hizo, TUMEWASITUKIA!
Mimi sijasema kuwa Bwawa lilikuwa na controversial issues kwetu sisi pekee.Nilichokuwa namaanisha ni kuwa Bwawa lilikuwa controversial kwa taasisi ambazo Tanzania inafanya nazo kazi na pia kwa Tanzania yenyewe ndiyo maana kuna profesa aliwahi kuandika research juu ya ujenzi wa Bwawa hilo na kuonyesha kuwa halifai kujengwa katika eneo husika.

Tanzania imesaini mikataba mingi sana ya kimataifa including mikataba ya kimazingira.Kama kwenye taasisi za kimataifa ambazo Tanzania imesaini mikataba huko zimeona kuwa Bwawa halijakidhi vigezo vya kimazingira na kwa hiyo halifai kujengwa kwenye eneo husika kwani kuna shida gani hapo?

Kwani Tanzania ililazimishwa kusaini mikataba hiyo?Tanzania si ilisaini mikataba hiyo ili kuridhia maamuzi mbalimbali yatakayokuwa yanatolewa na taasisi hizo?
 
Oooh hongera kwake, Ikiwezekana hata hapa awe anapita ontransit tu.. Tunamuahidi kuendelea kulipa tozo kwa bidii
 
Sasa kama Bwawa halikidhi vigezo vya kimazingira kwa nini wakopeshe?

Mimi sijasema kuwa Bwawa lilikuwa na controversial issues kwetu sisi pekee.Nilichokuwa namaanisha ni kuwa Bwawa lilikuwa controversial kwa taasisi ambazo Tanzania inafanya nazo kazi na pia kwa Tanzania yenyewe ndiyo maana kuna profesa aliwahi kuandika research juu ya ujenzi wa Bwawa hilo na kuonyesha kuwa halifai kujengwa katika eneo husika.

Tanzania imesaini mikataba mingi sana ya kimataifa including mikataba ya kimazingira.Kama kwenye taasisi za kimataifa ambazo Tanzania imesaini mikataba huko zimeona kuwa Bwawa halijakidhi vigezo vya kimazingira na kwa hiyo halifai kujengwa kwenye eneo husika kwani kuna shida gani hapo?

Kwani Tanzania ililazimishwa kusaini mikataba hiyo?Tanzania si ilisaini mikataba hiyo ili kuridhia maamuzi mbalimbali yatakayokuwa yanatolewa na taasisi hizo?
Mikataba ipi? Mbona juzi timu ya wataalamu wetu ilikuwa pale Geneva na ikawaelimisha wanachama na viongozi wa UNESCO ambao walitaka kuifuta Selous kutoka kwenye orodha ya Urithi wa Dunia!? Lakini walipopewa data na facts na figures na statistics sahihi, wao wenyewe walikubali kuwa tulilisha "matango pori" na akina TOBO na NYEPESI na hivyo kugeuza na kufuta hiyo dhamira yao ya awali na kuibakizia Selous hadhi yake ya awali.

Kusaini mikataba ni kitendo cha uungwana lakini kama kuna upotoshaji, mnayo haki ya kupinga na kutoa elimu sahihi ili Jumuiya ya Kimataifa iiuone ukweli na kutoa uamuzi sahihi.
 
Wapi nimeandika Kongo ,Burundi ,Rwanda na Kenya kuna tija kwetu kiuchumi kuliko nchi NYINGINE ?!!!

Unaniwekea mdomoni mwangu yanayopita kichwani mwako?!!
Mimi nilidai kuwa siyo sahihi Rais kuzunguka hapahapa Afrika mashariki kila siku.Wewe ukasema ni muhimu sana kwa sababu ya regional economy.

Hapa ulisahau kuwa Rais anapaswa kuzunguka kulingana na vipaumbele vyenye tija.Taifa huwa linaongozwa kwa kuangalia vipaumbele na wala siyo kwa mapenzi ya Rais.

Wewe ulipodai kuwa ni muhimu Rais kuzunguka hapahapa Afrika mashariki kwa sababu ya regional economy ulipaswa kutoa data zinazoonyesha kuwa hizi nchi zinazotuzunguka zina tija kuliko Mataifa mengine mfano ya Ulaya na Marekani na zinapaswa kupewa kipaumbele.Hukufanya hivyo na hilo ndiyo kosa lako ambalo unapaswa kuomba msamaha kwa uma.
Sikuweka hizo STATISTICS za kusupport hoja yangu....haya nazisubiri STATISTICS zako "kinzani"......
Nimeshakuambia huko juu kuwa sitaweka statistics hapa ni mpaka uombe msamaha kwa uma kwa kosa ulilofanya hapo juu.Hujaona comment hiyo?
 
Wakuu Kazi Iendeleee.

Taarifa zilizopo ni kwamba Rais Samia ana ziara ya kikazi nchini Congo.

Ataanza ziara hiyo wakati atakapotoka Zambia kwenye inauguration ya Hakainde Hichilema.

Akifika Congo atapokekewa na Mwenyeji Wake Rais Felix Tshisekedi.

Hakika Ziara zimeanza na Zimetaradadi
Achanje tuu mbuga hamna namna tushaingia cha kike

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi ni muumini wa regional intergration zaidi kuliko inter-continental, nawaona hao jamaa zako walioendelea kama ni watu wa kutafuta fursa za kunyonya nchi zinazoendelea tu ( Refer masharti ya bandari ya bagamoyo). Hizi nchi jirani tunafanya biashara yenye kuaminiana zaidi kila pande ikipata maslahi halali kulingana na huduma inayoitoa kwa mwenzake.

Kwenda kuwapigia magoti wazungu na kopo la misaada zama zake naona kama zimeshapitwa na wakati.
Taifa huwa linaongozwa kwa kuangalia vipaumbele vyenye tija na wala siyo kwa mapenzi ya mtu kama wewe unavyodai kuwa ni muumini wa regional intergration.

Kama regional intergration haina maslahi mapana kwa Taifa haipaswi kuwa kipaumbele cha Taifa.Mfano labda kama Japani amewekeza zaidi Tanzania kuliko Burundi na tunapata mapato mengi pamoja na faida nyingine kutoka Japan basi Japan huyo anapaswa kuwa kipaumbele chetu na wala siyo huyo Burundi ambae hana Tija kubwa kwetu.
 
Hii ziara inaweza kuwa ya kimkakati na ya muhimu pengine kuliko ziara zote zilizofanyika toka mama aingie ikulu. Ni jambo la wazi kuwa katika nchi zote za maziwa makuu, DRC imejaaliwa kuwa na idadi kubwa ya watu takriban watu 120,000,000.

Itakumbukwa kuwa Tanzania tumejaaliwa kuwa na bandari, ambapo miongoni mwa nchi zinazotumia bandari yetu ni DRC.

Tanzania imekuwa ujenzi mkubwa wa reli ya mwendokasi ambayo inategemewa kuwa msaada mkubwa wa usafirishaji wa watu na mizigo kuelekea nchi za Rwanda, Burundi na DRC. Kimkakati, kama ujenzi huo utakamilika, Tanzania itakuwa imalamba dume kwa sababu tutaweza kujiinua kiuchumi kupitia sekta ya usafirishaji pamoja na kufaidika na masoko ya bidhaa zetu kupitia wato miliuoni miamoja waliopo mashariki mwa Kongo.

Mnyonge mnyongeni lakini haki haki yake apewe. Ziara ya Rais wetu huko DRC haipaswi kubezwa kwa sababu kiuchumi inalipa tofauti na nchi kama Rwanda, Burundi na Uganda ambazo zinapitisha mizigo yao katika bandari yetu ya Dar Es Salaam lakini, mizigo yao kidogo kuliko ile DRC kutokana na idadi ya watu katika nchi hizo ni ndogo.

Hongera Mh. Raisi wetu kwa kupanga ziara ya kimkakati ya DRC ambayo ni muhimu sana kwa musakabali wa uchumi wa nchi yetu.
Hii nchi ina miaka zaidi ya 60 sasa toka tuipokee toka kwa Mkoloni, ila ni kama tumepata Uhuru mwezi uliopita.
 
Back
Top Bottom