Rais Samia kuanza safari ya kikazi nchini DR Congo

Kwani Kenya inaubaya gani ukilinganisha na TZ?
 
Kwani Kenya inaubaya gani ukilinganisha na TZ?
ndugu huoni wanavyosumbuliwa na magaidi? wewe sasa hivi semea tu huo ushabiki na mimi sijayaandika haya ili kubishana natoa hadhari tu kuwa tuangalie na maisha ya wenzetu tutunze amani yetu tufanye kazi basi
 
Safi saana mkuu! Hebu nitajie hizo nchi sasa?

Pia nikupe Hint tu kuwa nchi ya kwanza mama kuitembelea ni Kenya ambayo kiuchumi ni miongoni mwa top 5 ya nchi zilizowekeza zaidi Tz, kijamii ndiyo sitaki kabisa kuitaja lakini naamini ndiyo nchi ambayo muingiliano wake kijamii ni mkubwa zaidi na Tz, Kisiasa hapo sina data.
 
ndugu huoni wanavyosumbuliwa na magaidi? wewe sasa hivi semea tu huo ushabiki na mimi sijayaandika haya ili kubishana natoa hadhari tu kuwa tuangalie na maisha ya wenzetu tutunze amani yetu tufanye kazi basi
Kwani ugaidi ni tatizo au ubora wa raisi?
 
Hii JF sikuhizi imevamiwa na watoto, kwamba DRC haina mchango wa kiuchumi kwa Tanzania? Unajua kuwa DRC ni mshirika wetu mkubwa wa Bandari ya DSM? Nyie watoto mbaki FB huko.
 
JF mevamiwa na watoto wa shule brother hawasomi taarifa, wanashinda FB tu.
 
Umetumia data gani au statistics gani au credible source gani kujua kuwa Burundi,Congo,Kenya na Rwanda zina tija kuliko nchi zingine kama vile Marekani,Uengreza,Japan,China na kadhalika kwa mfano?
Zaidi ya misaada na kuimport vitu kutoka nchi hizo ambazo mwisho wa siku wao ndiyo wanafaidika zaidi kwa kuingiza fedha kwenye nchi zao tunapata nini mpaka uone ndiyo nchi zenye kipaumbele chenye tija kwa definition zako?
 
Zaidi ya misaada na kuimport vitu kutoka nchi hizo ambazo mwisho wa siku wao ndiyo wanafaidika zaidi kwa kuingiza fedha kwenye nchi zao tunapata nini mpaka uone ndiyo nchi zenye kipaumbele chenye tija kwa definition zako?
World bank juzi wametoa mkopo wa gharama nafuu kwa Tanzania kwa ajili ya elimu,tehama ambao ni TSH 2.7 trillion.Hii hela ni nyingi sana.Tanzania inachangia nini world bank hadi ipewe hela hizi?Tanzania haichangii chochote huko kwa sababu ni masikini.

Nchi kama Marekani inachangia zaidi ya asilimia arobaini katika bank hii na inakuwa na mamlaka ya kusema kuwa ni nani apewe nini na ni nani asipewe.Sasa kama nchi inapokea mkopo wa 2.7 trillion kutoka kwa wakubwa hawa,hawa siyo kipaumbele cha Taifa?Ni nani mwingine anaweza kukupa kiasi kikubwa cha fedha namna hii?

Kumbuka pia kuwa mkopo kama huu siyo tu kwamba ni wa gharama nafuu lakini pia muda mwingine husamehewa kabisa.
 
Safi saana mkuu! Hebu nitajie hizo nchi sasa?
Nimeshaanza kuzitaja katika comment yako ya nyuma na tutazijadili sana hapa.
Kwa hiyo unataka kusema kuwa Kenya ndiye kipaumbele chenye tija kwa Tanzania kuliko mataifa yote duniani?🤡🤡🤡
 
Bandari kongo wanayo na sasa wamejenga barabara kuunganisha DRC na Angola ili watumie bandari makini ya antlantic
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…