digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,926
- 17,880
Sijaona ubaya,ni sawana mwalimu kumpa zawadi mwanafunzi wake anayefanya vizuri darasani,the president is right,anachofanya ni kuwamotivate wachezaji wetu,hiyo tunaita positive motivation
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gambo umepanik sn[emoji1787]Hizo milioni tano ni asprini ngapi au madawati mangapi kule namtumbo??
Yote majibuMaoni yako sasa ni yapi ni kwamba ni sahihi anachofanya Samia kwa sababu hata Magufuli nae alikuwa anagawa hela au kwamba si sahihi ila tusimlaumu kwa sababu hata Magufuli pia alikuwa anagawa hela?
Yule Mwendawazimu ndiyo alikuwa akigawa hovyo hovyo njiani eti 'akisikamishwa' or rather msafara wake ukisimamishwa na wanakijiji basi huwa na maburungutu ya milioni tano tano na kumgawia kila anayejisikia kumgawia, bora hii inaweza kupigiwa mahesabu na kujulikana ni kiasi gani kimetoka na pia ni ku-motivate wachezaji.Leo msemaji Mkuu wa serikali Gerson msigwa amesema Mama ataendelea kununua Magoli ya Simba na Yanga kwenye match za kimataifa.
Ina maa itakuwa ya kudumu hii, nadhani haijakaa sawa kimfumo wa fedha maana haijatamkwa kuwa ni kutoka kwenye mshahara wake au pesa zake binafsi au nini?
USSR View attachment 2526950
Sukuma gang mirija yao ya ufujaji imebanwa hivyo wana hasira sana kwa sasa.Unajitoa ufahamu kwenye chama chenu cha mboga mboga?
Wenzako wanaunga juhudi au hautaki buku 7?
Bingo.Inaitwa motisha...
[emoji3581]Sijaona ubaya,ni sawana mwalimu kumpa zawadi mwanafunzi wake anayefanya vizuri darasani,the president is right,anachofanya ni kuwamotivate wachezaji wetu,hiyo tunaita positive motivation
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]Yote majibu
Usitake kufananisha kila hela na madawati 🤣 kuna posho ya recreation ya raisi acha aitumie.Hizo milioni tano ni asprini ngapi au madawati mangapi kule namtumbo??
Yaani Rais wa nchi anatoa motisha katika maendeleo ya soka bado unaleta fikra hasi? Simba au Yanga kufanikiwa kuna faida kubwa kwa nchi. Wanaitangaza nchi, wanaongeza ubora wa ligi yetu, ni hamasa ya ajira kwa vijana. Tuache fikra hasi katika kila jambo. #Michezo ni uchumi. Mhe. Rais Dk. Samia endelea mbele.🙏🙏🙏Leo msemaji Mkuu wa serikali Gerson msigwa amesema Mama ataendelea kununua Magoli ya Simba na Yanga kwenye match za kimataifa.
Ina maa itakuwa ya kudumu hii, nadhani haijakaa sawa kimfumo wa fedha maana haijatamkwa kuwa ni kutoka kwenye mshahara wake au pesa zake binafsi au nini?
USSR View attachment 2526950
Sijaona kosa lake.Kuna vitu vinashangaza sana ,ajabu kuna watoto wanasomea nje na kukaa chini kwa kukosa vyumba vya madarasa na madawati
Na mimi nimetaka kujua maoni yake ni yapi katika hayo mambo mawili.Yote majibu
Kuna baadhi ya mambo huyatafutii suluhisho lake unayaacha kuendelea kuwepo uwe unayafanya kidogo kidogo ili uonekane unafanya kitu.Kuna vitu vinashangaza sana ,ajabu kuna watoto wanasomea nje na kukaa chini kwa kukosa vyumba vya madarasa na madawati
Si mnasema huyo ilikuwa ukiuliza unauliwa? Sasa hivi hakuna kuuliwa ndio maana watu wanahoji.Kuna mtu nae alikua anagawa pesa kwenye msafara wake.mbona ukuuliza?
Yeye kakufa
Wewe nawe upeo wako ni mdogo sana !!! Sasa Milioni 5 kwa Rais wa Nchi ni kitu gani?!Leo msemaji Mkuu wa serikali Gerson Msigwa amesema Mama ataendelea kununua Magoli ya Simba na Yanga kwenye match za kimataifa.
Ina maa itakuwa ya kudumu hii, nadhani haijakaa sawa kimfumo wa fedha maana haijatamkwa kuwa ni kutoka kwenye mshahara wake au pesa zake binafsi au nini?
USSR
View attachment 2526950
Yani mtu agombee kutoa hela ili kuonyesha kumuunga mkono Rais halafu basi hataki chochote?Wewe nawe upeo wako ni mdogo sana !!! Sasa Milioni 5 kwa Rais wa Nchi ni kitu gani?!
Kwanza unaweza kuta Rais hatoi hizo pesa, ni watu wengine wanaweza kugombea kuzitoa ktk kumuunga Rais mkono katika azma yake!
Mashabiki mengi ya CHADEMA ni vil.aza sana, hasa kama huyu USSR!