Rais Samia kuendelea kununua magoli ya Simba na Yanga sio uhujumu uchumi huu?

Rais Samia kuendelea kununua magoli ya Simba na Yanga sio uhujumu uchumi huu?

Leo msemaji Mkuu wa serikali Gerson Msigwa amesema Mama ataendelea kununua Magoli ya Simba na Yanga kwenye match za kimataifa.

Ina maa itakuwa ya kudumu hii, nadhani haijakaa sawa kimfumo wa fedha maana haijatamkwa kuwa ni kutoka kwenye mshahara wake au pesa zake binafsi au nini?

USSR

View attachment 2526950
Kuliko 1.5trn?
 
Back
Top Bottom