Kijakazi
JF-Expert Member
- Jun 26, 2007
- 7,093
- 10,469
UTAFANYA NINI SASA...
hakuna …
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UTAFANYA NINI SASA...
Kwani kunashida gani kununua drone kwa shs.99.0 bil.Watapigaje pesa?
Kwani kunashida gani kununua drone kwa shs.99.0 bil.Watapigaje pesa?
Auze tu! so long as tunapata faida na hakuna mekezaji anabeba bandari au mbuga mgongoni na kuondoka nayo!Atauza kila kitu mpk tukome
kama kachoka aachie ngazi aende kupumzika kazimkazi,hajalazimishwa!Salaam Wakuu,
Kulingana na Ratiba ya kazi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kesho 13 Oct 2023, anatakiwa afanye ziara Mkoa wa Manyara.
Kumbuka Jana ndo amerudi kutoka ziarani India.
Nashauri apumzike japo wiki sababu atachoka sana. Nakumbuka alifanya ziara Arusha hadi akaomba maji ya kunywa baada ya kujisikia vibaya sababu wa Uchovu.
Hawa wanaume wanaoandaa ziara ya rais wetu, wazingatie yeye ni mama mtu mzima ambaye katumia nguvu nyingi kujifungua na kulea, hivyo asipelekeshwe kijeshi jeshi.
Heee mama halafu kidume??Uongo mbaya Mama kidume hachoki jana tu alikuwa Hindustan.
Huna akili, ukimuulizia mtu nyumba anaibeba?Auze tu! so long as tunapata faida na hakuna mekezaji anabeba bandari au mbuga mgongoni na kuondoka nayo!
Hiyo pesa si bora walipane poshoKwani kunashida gani kununua drone kwa shs.99.0 bil.
Lakini Manyara Rais anaenda kushiriki kilele cha mbio za mwenge we uhuru ambao utazimwa Octoba 14, 2023 mjini Babati. Hayo mengine ya Tanzanite mnatoa wapi?!alikuwa Katar huko amesaini mikataba mingi na India nako pia kafanya kufuru ya mikataba hivyo kilichopo ni utekelezaji, Mkoa wa Manyara una rasilimali nyingi sana hivyo ameanzia huko, Tanzanite yetu inatokea Manyara na India ni mwizi mkubwa wa Tanzanite yetu, udokta wa wa kupewa India unafikiri ni wa bure?…
Lakini Manyara Rais anaenda kushiriki kilele cha mbio za mwenge we uhuru ambao utazimwa Octoba 14, 2023 mjini Babati. Hayo mengine ya Tanzanite mnatoa wapi?!
Sisi wananchi wa Manyara tumeshukuri tukio hiki kufanyika katika Mkoa huu manake barabara nyingi za vijijini zimewekwa vizuri achilia mbali mandhari ya mji wetu wa Babati kubadilika ghafla.
Boss, hiyo azma ya mambo ya Tanzanite hata kama ingekuwepo wala siyo lazima aende Mkoani Manyara physically. Usichanganye mafaili bure humu.kwa hiyo ulitaka wakwambie anakwenda kwa ajili ya mikataba na India na wizi Tanzanite yetu unaofanywa na India ambao hata wamempa udkt? fwatilia hiyo ziara mpaka iishe halafu urudi ulete mrejesho kama ukipenda …
Boss, hiyo azma ya mambo ya Tanzanite hata kama ingekuwepo wala siyo lazima aende Mkoani Manyara physically. Usichanganye mafaili bure humu.
Wacha tuone chifu.angalia pattern za utawala uliopo majibu yote unayapata, kwanza hakuna awamu inayotabirika kama hii, naweza hata kukwambia kinachofwatia kwenye hiyo ziara ni hamisha hamisha na kuteua kwenye madini, …
Hujui kiswahil cha Kitaa.Heee mama halafu kidume??
Unaelewa ulicho andika wewe?
Futa huo ujinga wako
Yaani drone sh 500,000/= na sh 98.5 wanagawana, Mungu akunyime nini!Hiyo pesa si bora walipane posho
We jamaa ulisemaga haitoki mtwara na ikatoka, sitakusahauSASA WEWE HELA HUNA,UTAPEWA KITU GANI UENDELEZE??MASKINI DAWA YAKO UNAYOJUA NI ULOZI TUH