EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 10,576
- 16,644
Hiyo taarifa inasambaa tu kwenye ukoo wenu na kogonga kwenye vichwa vyenu visivyo na akili timamu,vichwa vilivyorithi kutokuwa na akili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna hata anayesoma hayo magazeti yako ya kusifia,unajipa msongo wa mawazo tu kwani kamwe huwezi kuteuliwa. Wewe ni kichaa fresh. Weka hata post yangu moja tu ambayo nimetukana.Wewe ndiye unadharauliwa na kuonekana huna akili Timamu kwa tabia yako ya kutukanana matusi utafikiri mgonjwa.
Hapo adabu na heshima vimekosekana wapi chawa?Acha utoto wako ndugu yangu. Uwe na adabu na heshima.
🤣 🤣 🤣M
Mbona unaingilia anga za Lucas mwashambwa?
Jisemee wewe under mhitaji HATUJA KUTUMA UTUSEMEE.JPM katuacha tukiwa Bado tunamwitaji
Na wewe ujisemee mwenyewe Mimi nawasemea wale walionitumaJisemee wewe under mhitaji HATUJA KUTUMA UTUSEMEE.
Hicho ndio kipimo, toka lini maendeleo ukubwa ukawa factor.Korea ni kanchi kadogo sana 🤣. Kama mikoa miwili ,korea ina square kilometers laki moja, Tanzania ina square kilometers laki tisa.
Korea 100,339 km²
Tanzania 947,300km²
Anaupiga mwingi mno.
Hapo kuna msaada gani na wakati kuna dili la madini na wakorea wanajuwa wanachokitaka unasema usd 2.5b ni msaada.Msaada ila yule Jamaa yenu alikuwa anawaambia mnajenga Kwa pesa zenu 😂😂
Lakini atapata 6.5 trillion, kuna hasara gani? Angekaa ofcn angeipata hiyo?Wangemfundisha na urubani awe anaendesha mwenyewe maana anapenda sana kukaa angani kuliko ofisini tuliko muajiri.
Wa Tanzania hatujui tunataka nini. JK alisafiri sana lakini pesa zilikuwepo, watu wakamsema mpaka basi akaja JPM, yeye hakusafiri lakini alisemwa kila kona Rais gani hasafiri leo kaja anasafiri imekuwa shida tena. Nini tunataka? Je miaka ile JPM hasafiri kuna kitu kiliboreka.Hii ni new version ya JK yaani JK pro max.
How?Hapo kuna msaada gani na wakati kuna dili la madini na wakorea wanajuwa wanachokitaka unasema usd 2.5b ni msaada.
Hata hapo ni pesa zetu tu.
Wanasafiri sana kufanya biashara zao binafsiHivi kwanini kiongozi wa China Urusi au Marekani na hata Brazil hawana ziara nyingi hivi kama hawa wa huku kwetu?
Au ndio huwa wanakwenda kuomba?
Miaka hiyo Korea ilikuwa inapigana Vita na Marekani huo uchumi wenu mliokuwa mnashinda uchi hadi watu wazima ilikuwa sawa na taifa kama hilo?Miaka ya 1960's nchi yetu ilikuwa inakaribiana kabisa kiuchumi na hiyo nchi!! Halafu leo hii tunachukua lidege likubwa, ndani likiwa limejaa wasanii! Kwenda kuomba mkopo wenye masharti nafuu!!
Aisee Waafrika bora mngeendelea tu kutawaliwa.