Huku Rais akienda korea,Serikali itoe ufafanuzi kwa nini watanzania wananyimwa Visa ubalozi wa korea.mfano Mtanzania anayetaka kwenda Korea kwa safari ya biashara inatakiwa hawe na kiasi kisichopungua mil.100,000 Tsh. badala ya $10,000 iliyokuwa ikitakiwa hapo awali.
Mtanzania anayeta kwenda kusoma Korea anatakiwa hawe kiasi cha Tsh.Mil 80,000 badala ya $5,000 ya hapo awali na mengineyo...
Wizara ya Mambo ya nje nafikiri mgetoa ufafanuzi mzuri ni kwa nini watanzania wahahitaji kuonyesha kiasi kikubwa cha pesa katika ubalozi wa wakorea tofauti na hapo awali na hisitoshe unaweza kuonyesha supporting documents zako zote pamoja na hiyo pesa na bado ukanyimwa Visa bila sababu.
Serikali itoe taarifa wa nini kipindi cha nyuma watanzania walikuwa wakipewa visa na kwa sasa wa nini wananyimwa.
Nawakitaka kukunyima wanakuhitisha vitu vingi ili ushidwe kupeleka kwa wakati kisha maombi yako ya visa yanakuwa rejected.