Rais Samia kufanya ziara ya kikazi nchini Korea Kusini kuanzia Mei 31 - Juni 6

Rais Samia kufanya ziara ya kikazi nchini Korea Kusini kuanzia Mei 31 - Juni 6

Huku Rais akienda korea,Serikali itoe ufafanuzi kwa nini watanzania wananyimwa Visa ubalozi wa korea.mfano Mtanzania anayetaka kwenda Korea kwa safari ya biashara inatakiwa hawe na kiasi kisichopungua mil.100,000 Tsh. badala ya $10,000 iliyokuwa ikitakiwa hapo awali.
Mtanzania anayeta kwenda kusoma Korea anatakiwa hawe kiasi cha Tsh.Mil 80,000 badala ya $5,000 ya hapo awali na mengineyo...
Wizara ya Mambo ya nje nafikiri mgetoa ufafanuzi mzuri ni kwa nini watanzania wahahitaji kuonyesha kiasi kikubwa cha pesa katika ubalozi wa wakorea tofauti na hapo awali na hisitoshe unaweza kuonyesha supporting documents zako zote pamoja na hiyo pesa na bado ukanyimwa Visa bila sababu.
Serikali itoe taarifa wa nini kipindi cha nyuma watanzania walikuwa wakipewa visa na kwa sasa wa nini wananyimwa.
Nawakitaka kukunyima wanakuhitisha vitu vingi ili ushidwe kupeleka kwa wakati kisha maombi yako ya visa yanakuwa rejected.
Hizi amount maana yake ni nini? mil.100,000,mil 80,000
 
“The devil is always in the details” ama hapo kwenye neno “mingine” ndo pamekuchanganya? Kama hujui hapo ndo kwenyewe sasa.

“Mingine ni hati ya makubaliano kati ya Taasisi ya Utafiti wa Madini Tanzania (GST) na Taasisi ya Sayansi na Miamba na Madini ya Korea, ushirikiano utakaojikita katika utafiti, uchoraji ramani, rasilimali na shughuli za maabara.

Mbali na hilo, Waziri Makamba amesema kutakuwa na hati ya makubaliano kati ya Wizara ya Madini ya Tanzania na Wizara ya Viwanda na Biashara ya Korea kuhusu ushirikiano wa kuchambua na kufanya utafiti wa madini mkakati.

Halikadhalika kutasainiwa mkataba wa makubaliano kati ya Shirika la Taifa la Madini (Stamico) na Shirika la Ukarabati wa Migodina Rasilimali za Madini la Korea.”
 
“The devil is always in the details” ama hapo kwenye neno “mingine” ndo pamekuchanganya? Kama hujui hapo ndo kwenyewe sasa.

“Mingine ni hati ya makubaliano kati ya Taasisi ya Utafiti wa Madini Tanzania (GST) na Taasisi ya Sayansi na Miamba na Madini ya Korea, ushirikiano utakaojikita katika utafiti, uchoraji ramani, rasilimali na shughuli za maabara.

Mbali na hilo, Waziri Makamba amesema kutakuwa na hati ya makubaliano kati ya Wizara ya Madini ya Tanzania na Wizara ya Viwanda na Biashara ya Korea kuhusu ushirikiano wa kuchambua na kufanya utafiti wa madini mkakati.

Halikadhalika kutasainiwa mkataba wa makubaliano kati ya Shirika la Taifa la Madini (Stamico) na Shirika la Ukarabati wa Migodina Rasilimali za Madini la Korea.”
Wewe punguani,Kwa hiyo Utafiti wa Madini na wizi na huo udevel wako vinahusianaje? Mburula mna shida sana
 
Mbali na hilo, Waziri Makamba amesema kutakuwa na hati ya makubaliano kati ya Wizara ya Madini ya Tanzania na Wizara ya Viwanda na Biashara ya Korea kuhusu ushirikiano wa kuchambua na kufanya utafiti wa madini mkakati.

Note: Hapo ukiona kuna makubaliano kati ya wizara ya madini kwa upande wetu vs wizara ya viwanda na biashara ya Korea unafikiri kitu gani?

Mmoja ana rasilimali mwingine viwanda.

We unaonaje hapo?
 
Na wasi wasi mama anacheza kikoba sio kwa mikopo hii.😂😂
 
Mbali na hilo, Waziri Makamba amesema kutakuwa na hati ya makubaliano kati ya Wizara ya Madini ya Tanzania na Wizara ya Viwanda na Biashara ya Korea kuhusu ushirikiano wa kuchambua na kufanya utafiti wa madini mkakati.

Note: Hapo ukiona kuna makubaliano kati ya wizara ya madini kwa upande wetu vs wizara ya viwanda na biashara ya Korea unafikiri kitu gani?

Mmoja ana rasilimali mwingine viwanda.

We unaonaje hapo?
Ni lini umewahi ona Ziara za Kiserikali zinakosa makubaliano ya kudumisha ushirikiano? Wewe unadhani ushirikiano ni WA kudumisha nini labda?
 
Aende na mikoani basi kuona wananchi asitegemee machawa wa mitandaoni .2025 imefika
 
Nani kakwambia kuwa aliwakimbia? Hufahamu kuwa alikuwa nje ya Nchi? Hata kama pia angekuwepo na kwenda vipi kama hana dhamira ya kuwaongezea mishahara,kuwapandisha madaraja na kuboresha maslahi yao kwa ujumla? Si angekwenda tu na kuzungumza na kuondoka? Lakini watumishi wa umma wana imani kubwa sana na uongozi na serikali ya Mheshimiwa Rais kwa kuwa wanatambua namna anavyowajali na kuwapenda.kwa sababu wanafahamu ya kuwa ni wakati wake ndio wamepata kupandishwa madaraja,kulipwa stahiki zao,kupewa nyongeza ya mshahara ya kila mwaka,kulipwa malimbikizo ya madeni yao n.k.
Au sio , semaji
 
Tuliza kichwa na anza kufikiri kwa kutumia ubongo usitumie makalio kufikiri.Hizo nchi ukilinganisha na bongo ni sawa na kulinganisha mlima na kichuguu. Budget ya kwenu inategemea misaada kwa 99.9%, hizo nchi ulizozitaja hapo ndio zinazowapa hio misaada. Jitafakari kabla hujaandika pumba zako hapa.
China na Urusi watoe misaada? Hivi umewahi kufanya kazi na watching au warusi, wachina njaa tupu mara mia ata mzungu ana lipa vizur ukifanya kazi kwake utapiga atua. Lakini wachina masikini tu wananchi wao na wezi sana wa kuanzia votes vidogo vidogo, Mchina anaweza kukwambia muibe mifuko mitano ya saruji ukauze mgawane pesa. Tofauti na mzungu.
 
Hivi kwanini kiongozi wa China Urusi au Marekani na hata Brazil hawana ziara nyingi hivi kama hawa wa huku kwetu?
Au ndio huwa wanakwenda kuomba?
Wa huku kwetu wanakwenda kutembeza bakuli. Bakuli likijaa panya wanalitoboa na kulila kabisa. CCM hoyeee 🤣😂
 
China na Urusi watoe misaada? Hivi umewahi kufanya kazi na watching au warusi, wachina njaa tupu mara mia ata mzungu ana lipa vizur ukifanya kazi kwake utapiga atua. Lakini wachina masikini tu wananchi wao na wezi sana wa kuanzia votes vidogo vidogo, Mchina anaweza kukwambia muibe mifuko mitano ya saruji ukauze mgawane pesa. Tofauti na mzungu.
😃😃😃
 
Back
Top Bottom