beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,880
- 6,368
Rais wa Tanzania, Samia anatarajia kuelekea Nchini Ufaransa na baadaye Ubelgiji kikazi. Akiwa Ufaransa, atahudhuria Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali utakaojadili kuhusu Rasilimali Bahari Duniani.
Aidha, atashuhudia utiaji Saini baina ya Serikali ya Tanzania na Ufaransa katika sekta za Miradi ya Maendeleo, ushirikiano katika Masuala ya Uchumi wa Buluu, usalama wa Bahari, Sekta ya Usafiri na Maendeleo endelevu.
Taarifa zaidi:
Aidha, atashuhudia utiaji Saini baina ya Serikali ya Tanzania na Ufaransa katika sekta za Miradi ya Maendeleo, ushirikiano katika Masuala ya Uchumi wa Buluu, usalama wa Bahari, Sekta ya Usafiri na Maendeleo endelevu.
Taarifa zaidi: