Rais Samia kufanya ziara ya kikazi Ufaransa na Ubelgiji

Rais Samia kufanya ziara ya kikazi Ufaransa na Ubelgiji

Anaenda kutembeza kopo..ili mgao uende zenji..kisha watanganyika walipe deni.

#MaendeleoHayanaChama
 
Hii ziara ni faida kwa Zanzibar. Hongera zenji
Yap, nimeona hicho kitu aseee na kuna kitu nime_note sehemu nyingi ambazo Dr. Hussein akienda anapeperusha bendera ya 🇹🇿 na siyo ya Zanzibar.
 
Safari njema mh.SSH ,,ukirudi tuletee vya Ulaya.

Zamani wakiweka wazi kwenye hizo safari Rais anaongozana na Watu gani!! Siku hizi Mbona inafichwa mkubwa wa delegation ya Samia huko nje ya nchi?

Hivi Kweli ni lazima Rais aende kuudhuria mikutano kama hiyo ambayo balozi wetu wa Ufaransa angeweza kutuwakilisha, kupunguza matumizi ya fedha za kigeni yasiyo ya lazima!!
 
Rais anatekeleza ilani ya ccm. Kwenye ilani ya ccm bara hakuna habari za uchumi wa blue. Habari hizo utazipata kwa Rais mwinyi Zanzibar. So ziara hii inaibeba zanzibar
Una uhakika ilani ya CCM haijaongelea uchumi wa blue au unabwabwaja tu mkuu?
 
Rais wa Tanzania, Samia anatarajia kuelekea Nchini Ufaransa na baadaye Ubelgiji kikazi. Akiwa Ufaransa, atahudhuria Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali utakaojadili kuhusu Rasilimali Bahari Duniani...
Amsalimie Tundu huko Ubeleshi
 
Rais akiagana na viongozi kabla ya kuondoka kuelekea Ufaransa
Screenshot_20220209-180537_Twitter.jpg
 
Anaenda na ndege ya ATCL wasije ikamata huko
 
Mbona wanaficha ndege? Amechukua DREAMLINER ya ATCL nini? Kama ni hivyo hayo yatakuwa matumizi mabaya ya rasilimali za nchi!! Kuchukua ndege na kwenda kuisimamisha ikingoja mpaka ziara iishe ni gharama kubwa sana jamani.
 
Anaenda na ndege ya ATCL wasije ikamata huko

Hilo linawezekana kabisa kuna wale LEBANESE Waliokuwa wanaidai ATC kwa kuwakodishia lile dege bovu la iana ya AIRBUS wanaziwinda sana hizo ndege kwani hawajalipwa deni lao la mchongo!!
 
Mbona wanaficha ndege? Amechukua DREAMLINER ya ATCL nini? Kama ni hivyo hayo yatakuwa matumizi mabaya ya rasilimali za nchi!! Kuchukua ndege na kwenda kuisimamisha ikingoja mpaka ziara iishe ni gharama kubwa sana jamani.
Kama ataleta kikubwa zaidi ya hicho hakuna tatizo. Kumbuka ziara ya obama aliye paa na watu zaidi ya 800 bila kutaja walinzi na wana usalama waliotangulia na vifaa mbalimbali
 
Back
Top Bottom