Rais Samia kufanya ziara ya kikazi Ufaransa na Ubelgiji

Rais Samia kufanya ziara ya kikazi Ufaransa na Ubelgiji

Samia ameshindwa kuushawishi Ulimwengu kwenye kuzingatia haki. Ameshindwa kupata mwaliko wa nchi yoyote miongoni mwa yale mataifa yanayozingatia haki na demokrasia.

Amebakia tu kuvizia mikutano ambayo hata haina umuhimu mkubwa, sawa na alivyokuwa akifanya Robert Mugabe miaka ya mwisho ya utawala wake.

Hakika Samia, anasubiria kwa hamu kubwa kwisha kwa kesi ya Mbowe ili aweze kujikosha kwa kuwachukulia hatua maofisa wa polisi walioandaa hiyo kesi. Na baada ya hapo atapokelewa na mataifa mengi, akiwaacha polisi na uchafu wao huku yeye akimwagiwa sifa.

Hii kesi ya Mbowe, kuna baadhi ya maofisa wa Polisi, hawataisahau maana utakuwa ndio mwisho wao katika utumishi wa umma.
Kwahiyo hizo nchi unazozisema watu hawashitakiwi wanademka tu.
 
Rais wa Tanzania, Samia anatarajia kuelekea Nchini Ufaransa na baadaye Ubelgiji kikazi. Akiwa Ufaransa, atahudhuria Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali utakaojadili kuhusu Rasilimali Bahari Duniani.

Aidha, atashuhudia utiaji Saini baina ya Serikali ya Tanzania na Ufaransa katika sekta za Miradi ya Maendeleo, ushirikiano katika Masuala ya Uchumi wa Buluu, usalama wa Bahari, Sekta ya Usafiri na Maendeleo endelevu.

Taarifa zaidi:


Ni wasaa mzuri sana wa kwenda kukutana na Tundu Lissu. Akili kubwa ya Lissu na makada makini wa CDM inahitajika mno hivi sasa hapa nchini.

Akili hii kukosekana katika vyombo vya maamuzi imepelekea kuwa na ombwe kubwa la uongozi nchini. Mathalani, Bunge limelala, mhimili wa mahakama umesinzia, na serikalini kumejaa wababaishaji wengi sana.
 
Ame endorse fedha ili ndege zaidi ziletwe

Je unadhani ni akili kuagiza ndege nyingine wakati hizi zilizopo bado hazitumiki kwa ufanisi unaotakiwa hivyo shirika kutengeneza hasara? Sidhani kama Hangaya anaelewa anachopitisha mezani kwake!!!
 
Mwacheni akazurure tu kama yule mshika rimoti wa msoga. Akienda kubembea Jamaica mtujulishe pia.
 
Samia ameshindwa kuushawishi Ulimwengu kwenye kuzingatia haki. Ameshindwa kupata mwaliko wa nchi yoyote miongoni mwa yale mataifa yanayozingatia haki na demokrasia.

Amebakia tu kuvizia mikutano ambayo hata haina umuhimu mkubwa, sawa na alivyokuwa akifanya Robert Mugabe miaka ya mwisho ya utawala wake.

Hakika Samia, anasubiria kwa hamu kubwa kwisha kwa kesi ya Mbowe ili aweze kujikosha kwa kuwachukulia hatua maofisa wa polisi walioandaa hiyo kesi. Na baada ya hapo atapokelewa na mataifa mengi, akiwaacha polisi na uchafu wao huku yeye akimwagiwa sifa.

Hii kesi ya Mbowe, kuna baadhi ya maofisa wa Polisi, hawataisahau maana utakuwa ndio mwisho wao katika utumishi wa umma.
We jiulize ana muda gani madarakani?

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Je unadhani ni akili kuagiza ndege Nyingine wakati hizi zilizopo bado hazitumiki kwa ufanisi unaotakiwa hivyo shirika kutengeneza hasara? Sidhani kama Hangaya anaelewa anachopitisha mezani kwake!!!
Reviving taasisi kubwa kama hizo kunahitajika uumie kwanza ndipo uanze kuona faida. Wa kulaumiwa ni awamu zilizopita zilizo ua hayo mashirika so tukae tu bila kuwa na shirika letu la ndege? Niambie nchi ambazo ni G20 ambazo hazina mashirika yake ya ndege!!
 
Kwahiyo hizo nchi unazozisema watu hawashitakiwi wanademka tu.
Kushtakiwa au kushtaki, unafahamu kupo nchi zote ila kesi za kijinga za kubambikia watu wanaoonekana kuwa si watiifu kwa wenye mamlaka, zipo tu Tanzania na baadhi ya nchi zinazoongozwa kidikteta.
 
Je unadhani ni akili kuagiza ndege Nyingine wakati hizi zilizopo bado hazitumiki kwa ufanisi unaotakiwa hivyo shirika kutengeneza hasara? Sidhani kama Hangaya anaelewa anachopitisha mezani kwake!!!
Hawa ni members wa G20. Nichambulie angalau nchi tatu humo zisizo na mashirika ya ndege
Screenshot_20220209-204534.png
 
Kikubwa asirudi na madeni Mana tutadaiwa sisi ,tunalomwomba arudi na TUNDU LISU
 
Utakuwa mbumbu sana kama hutajali gharama unazotumia kwenda kutembeza bakuri huku huna uhakika hilo bakuri lako litajaa kiasi gani!! Hiyo waswahili wanaiita" BIASHARA BILA DAFTARI.................."

Wale wawekezazi wa bomba la Mafuta toka Uganda mpaka bandari ya Tanga , hawakufuatwa na Jiwe huko kwao ,walikuja wenyewe!!! Sasa nyie Chawa msivyokuwa na aibu sasa hivi mtaanza kusifia kuwa hilo bomba la Mafuta ni juhudi za Hangaya!!!
"bakuri" ndio nini?
 
Utakuwa mbumbu sana kama hutajali gharama unazotumia kwenda kutembeza bakuri huku huna uhakika hilo bakuri lako litajaa kiasi gani!! Hiyo waswahili wanaiita" BIASHARA BILA DAFTARI.................."

Wale wawekezazi wa bomba la Mafuta toka Uganda mpaka bandari ya Tanga , hawakufuatwa na Jiwe huko kwao ,walikuja wenyewe!!! Sasa nyie Chawa msivyokuwa na aibu sasa hivi mtaanza kusifia kuwa hilo bomba la Mafuta ni juhudi za Hangaya!!!
Halafu kukukumbusha tu bomba la mafuta ilikuwa lipite huko kenya lakini negotiators kutoka huku wakaenda kufanya lobbying uganda.
 
Reviving taasisi kubwa kama hizo kunahitajika uumie kwanza ndipo uanze kuona faida. Wa kulaumiwa ni awamu zilizopita zilizo ua hayo mashirika so tukae tu bila kuwa na shirika letu la ndege? Niambie nchi ambazo ni G20 ambazo hazina mashirika yake ya ndege!!

Suala sio kuwa na shirika la ndege, hapa kinachohojiwa ni namna hilo shirika linavyokuwa capitalized kwa ununuzi wa ndege kiholela bila mpango wa kulisaidia shirika lifufuke na badala yake tunalilundikia madeni!!
Hizo ndege zilitakiwa kununuliwa kufuatana na uhitaji wa soko na sio kulundika ndege ambazo baadae hutolewa viti vya passengers na kutumika kama Cargo planes kwasababu ndege hazina viable passenger routes!!!
 
Rais wa Tanzania, Samia anatarajia kuelekea Nchini Ufaransa na baadaye Ubelgiji kikazi. Akiwa Ufaransa, atahudhuria Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali utakaojadili kuhusu Rasilimali Bahari Duniani.

Aidha, atashuhudia utiaji Saini baina ya Serikali ya Tanzania na Ufaransa katika sekta za Miradi ya Maendeleo, ushirikiano katika Masuala ya Uchumi wa Buluu, usalama wa Bahari, Sekta ya Usafiri na Maendeleo endelevu.

Taarifa zaidi:


Huyu naye! Mbona hajataja tarehe ambazo rais ataenda huko Ufaransa na ubelgiji anasema tu eti “anatarajia kuondoka nchini”. Angetoa tu taarifa za uapishwaji kisha akipata details za kutosha kuhusu hiyo safari tarajiwa ndo aje na taarifa ya kueleweka. Duh!
 
Aliambatana na msafara wa zaidi ya watu 800. Kati ya hao kulikuwa na wafanya biashara, viongozi, walinzi wana usalama wapishi madaktari na wafanyakazi wengineo.

Nje ya perimeter ya ikulu kulikuwa na wanajeshi wa majini na vyombo vya huko tulivyo weza kuviona na ambavyo hatukuweza kuviona. Na wengine utakaopenda kujiongezea mwenyewe
sawa mkuu wacha nifuatilie kuhusu hii idadi
 
Back
Top Bottom