Rais Samia kufanya ziara ya kikazi Ufaransa na Ubelgiji

Rais Samia kufanya ziara ya kikazi Ufaransa na Ubelgiji

Kuongezewa tozo..kuongeza mikopo na kuwapa wazenji mgao mkubwa kupindukia..huku wazenji wakifutiwa ada za kuunganisha umeme wakati watanganyika ada za umeme zikiongezwa..au unaongelea yepi wewe mchamba wima.

#MaendeleoHayanaChama
Vumilia tu kama unaumia pesa ikienda kwa wazenji, chuki za kitoto hazikusaidii. Umeshasahau miaka michache iliyopita kila kitu kilivyokuwa kinapelekwa Chato?.

Umesahau nguvu tuliyotumia kuitetea Chato?. Hii ni awamu nyingine mkuu.
 
Samia ameshindwa kuushawishi Ulimwengu kwenye kuzingatia haki. Ameshindwa kupata mwaliko wa nchi yoyote miongoni mwa yale mataifa yanayozingatia haki na demokrasia...
Mtanzania katika ubora wake wa kukosoa. Tembea huko mikoani uone miradi mikubwa ya kimaendeleo inayoendelea kumalizika.

JPM hakuvuka mediterannean sea hata mara moja, huyu anakwenda huko nje kwa faida ya miradi mikubwa iliyoachwa na mtangulizi wake.
 
Ndio nini hizo mkuu, usikute ni "mibagia" flani expensive kutoka Paris na Brussels...
fromage-brie-baguette-et-deux-verres-de-vin-blanc-sur-fond-de-beton-fonce-mfrk25.jpg

Baguette ni huo mkate mrefu. Fromage ni hiyo nyeupe iliyokatwa kipande cha pembe tatu.
 
Rais wa Tanzania, Samia anatarajia kuelekea Nchini Ufaransa na baadaye Ubelgiji kikazi. Akiwa Ufaransa, atahudhuria Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali utakaojadili kuhusu Rasilimali Bahari Duniani...
Mhum! Mabeberu!! Atamsalimia na Tundu Lissu?
 
Vumilia tu kama unaumia pesa ikienda kwa wazenji, chuki za kitoto hazikusaidii. Umeshasahau miaka michache iliyopita kila kitu kilivyokuwa kinapelekwa Chato?.

Umesahau nguvu tuliyotumia kuitetea Chato?. Hii ni awamu nyingine mkuu.
Chato ni Tanganyika..zenji sio Tanganyika..chato hakuna serikali...hata akili kumbe huna unashindwa kutofautisha mambo madogo kama hayo..ukitoka mtwara ukienda chato unaishi kama mtwara..mana utapata kununua ardhi utajenga..nikuulize wewe mmatumbi. ukienda zenji..huna nafasi yakumiliki hata kipande cha ardhi..picha linaanza huna kitambulisho cha ukaazi.

#MaendeleoHayanaChama
 
Chato ni Tanganyika..zenji sio Tanganyika..chato hakuna serikali...hata akili kumbe huna unashindwa kutofautisha mambo madogo kama hayo..ukitoka mtwara ukienda chato unaishi kama mtwara..mana utapata kununua ardhi utajenga..nikuulize wewe mmatumbi. ukienda zenji..huna nafasi yakumiliki hata kipande cha ardhi..picha linaanza huna kitambulisho cha ukaazi.

#MaendeleoHayanaChama
Tanganyika ni Tanzania. Ondokana na roho za kibaguzi za sisi na wao, mwisho wake huwa mbaya.

Kwanini niende Zenji kumiliki ardhi wakati hii iliyopo bara inanishinda kuimiliki yote?. Haya ni mawazo ya visasi na ya kilofa.

Zenji ni ndogo kuliko mikoa mingi ya Tanzania bara, kama kweli unataka kumiliki ardhi zunguka huku bara mikoani utapata ardhi kubwa na ambayo haijawahi kutumiwa.
 
Rais wa Tanzania, Samia anatarajia kuelekea Nchini Ufaransa na baadaye Ubelgiji kikazi. Akiwa Ufaransa, atahudhuria Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali utakaojadili kuhusu Rasilimali Bahari Duniani...

Hiyo inapaswa iwe taarifa kwa vyombo vya habari au ''TAARIFA KWA UMMA''!!!?
 
Mbona wanaficha ndege? Amechukua DREAMLINER ya ATCL nini? Kama ni hivyo hayo yatakuwa matumizi mabaya ya rasilimali za nchi!! Kuchukua ndege na kwenda kuisimamisha ikingoja mpaka ziara iishe ni gharama kubwa sana jamani.
Kipi bora kwenda nayo au inavyokuwa imekaa na kupaki bila kazi yoyote pale JNIA?
 
Kuelekea Ufaransa 10 February 2022

RAIS MWINYI AMUAGA RAIS SAMIA
SULUHU KABLA YA KWENDA UFARANSA NA UBELGIJI


RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi ameungana na viongozi mbali mbali wa Kitaifa katika kumuaga Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan anaeelekea nchini Ufaransa na baadae Ubelgiji kwa ziara maalum ya kikazi katika nchi hizo. Miongoni mwa viongozi aliuoungana nao Rais Dk. Mwinyi katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume ni Makamo wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Philp Mpango.


https://conferenceindex.org › event
International Conference on Blue Economy and Blue Growth ...

International Conference on Blue Economy and Blue Growth scheduled on July 19-20, 2022 at Paris, France
 
Kipi bora kwenda nayo au inavyokuwa imekaa na kupaki bila kazi yoyote pale JNIA?

Hii ndio imuoneshe kuwa yeye kuagiza ndege nyingine mpya halikuwa jambo jema kwa nchi yenye ndege zinazopaki pale JNIA kwa kukosa routes!! Angekuwa na busara angekwenda na commercial airline ingawa hiyo isingempa nafasi ya Kupitia Zanzibar kwenda kuwaaga wake wenzie!!!
 
Lisu take this opportunity to talk to Samia personally or alternatively , if this looks impossible, let Brussel talk to her about human and political rights violations in Tanzania particularly the treatment the opposition is going through. Make a special emphasis on Mbowe's saga. Make a lobbying to get Brussels talk to her on those issues
 
11 February 2022
Paris, France

LIVE : Mh. Rais Samia Suluhu Hassan ndani ya mkutano wa One Ocean Summit

Mh. Rais Samia Suluhu Hassan akiwa ndani ya mkutano wa One Ocean Summit unaoendelea jijini Paris Ufaransa unaozungumzia uchumi wa blue, usalama wa bahari, utunzaji wa mazingira ya bahari ya viumbe bahari, mikoko, matumbawe, mkakati wa kupunguza hewa ya mkaa (carbon), mabadiliko ya tabia nchi yanayotishia kumeza nchi-visiwa za baharini kama Tonga, Fiji, Mauritius, Zanzibar n.k

Mkutano huo upo chini ya uenyekiti wa rais Emmanuel Macron wa France, na nchi hiyo ndiyo inakalia kiti cha urais wa Jumuiya ya Ulaya EU kwa miezi sita kuanzia January 2022 na amechagiza uwepo wa kufuatilia kwa umakini uchumi wa buluu unaoihusu na kuigusa dunia yote.

Mbali ya viongozi wa kisiasa , wanahudhuri viongozi wa makampuni makubwa ya TEHAMA na teknolojia kama Apple, wamiliki wa kampuni kubwa za usafiri wa meli baharini, mabenki makubwa n.k ambao wote wameahidi kuchangia pakubwa katika uchumi wa buluu

LIVE: French President Macron chairs One Ocean summit


French President Emmanuel Macron chairs a segment of the One Ocean Summit, aimed at giving a strong political impetus to maritime issues.


Source : Reuters
 
Kwa maraisi wengi Duniani ziara ya 2-3 ni kubwa sana, sasa sisi Raisi anakaribia wiki nje ya nchi na hakuna at least sijasikia updates zozote kuhusu anachofanya, ni kwa nini ?
Acha atembeze bakuli.
 
Back
Top Bottom