Kumbe Zuhura tayari ameshaanza nae kula urefu wa kamba yake??Rais wa Tanzania, Samia anatarajia kuelekea Nchini Ufaransa na baadaye Ubelgiji kikazi. Akiwa Ufaransa, atahudhuria Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali utakaojadili kuhusu Rasilimali Bahari Duniani...
Naona barua ya kwanza ya Zuhura Yunus 😁😁Rais wa Tanzania, Samia anatarajia kuelekea Nchini Ufaransa na baadaye Ubelgiji kikazi. Akiwa Ufaransa, atahudhuria Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali utakaojadili kuhusu Rasilimali Bahari Duniani...
Uchawi huu sasa,kwa hiyo ukiona neno uchumi wa blue basi unawaza Zenj,kwamba Bara hakuna Bahari sio?Hii ziara ni faida kwa Zanzibar. Hongera zenji
Ingekuwa huku 🚮🚮Je,Tanzania ingekuwa wapi kama ingepata kiongozi mzalendo?
1: Uchumi wa Tanzania ungekuwa wa kati daraja la juu tofauti na hali ilivyo sasa ambapo Tanzania imeporomoka kutoka nafasi yake ya 8 kati ya nchi 10 zenye uchumi bora Africa mpaka nje ya top 10 na kuzidiwa na vinchi kama Ghana na Angola....hudia wale waliowachagua wakikata keki ikulu!
Wacha kazi iendelee!
Rais anatekeleza ilani ya ccm. Kwenye ilani ya ccm bara hakuna habari za uchumi wa blue. Habari hizo utazipata kwa Rais mwinyi Zanzibar. So ziara hii inaibeba zanzibarUchawi huu sasa,kwa hiyo ukiona neno uchumi wa blue basi unawaza Zenj,kwamba Bara hakuna Bahari sio?
Huko Zanzibar hakuna Ilani ya CCM?Rais anatekeleza ilani ya ccm. Kwenye ilani ya ccm bara hakuna habari za uchumi wa blue. Habari hizo utazipata kwa Rais mwinyi Zanzibar. So ziara hii inaibeba zanzibar
Huko Zanzibar hakuna Ilani ya CCM?