watanzania hawajawahi kuumia,wala hawajamtuma akawasemee.Watanzania wanaumia nini, wakati Jiwe ndo alianzisha ujinga wote huu..anachoma vifaranga vina kosa gani sasa? Chizi sana lile ndo lilisababisha shida zote hizo mahusiano kuvurugika
Jiwe nimeishamalizana nae..analiwa na mafunza tu huko chiniwatanzania hawajawahi kuumia,wala hawajamtuma akawasemee.
kajipeleka mwenyewe huko.
halafu hasira zako kwa jiwe hazina madhara,zaidi unazidi kuumia tu kila siku.
mama kashasema kama nani!!!!Uyabadili kama nani? Mama kishasema wewe omboleza tu arobaini
Nchi gani wanyama hai kusafirishwa bila vibali? Basi beba hata bata wako jaribu kuingia hata kwa Madiba tu uone, hizi sheria zinalinda kusambaa kwa magonjwa ya wanyama au yanayotokana na wanyama, jiwe alifuata sheria tu.Watanzania wanaumia nini, wakati Jiwe ndo alianzisha ujinga wote huu..anachoma vifaranga vina kosa gani sasa? Chizi sana lile ndo lilisababisha shida zote hizo mahusiano kuvurugika
sasa mbona kama nawewe unaliwa hivi!!!!Jiwe nimeishamalizana nae..analiwa na mafunza tu huko chini
mgonjwa wa akili huyo atakuchosha.Nchi gani wanyama hai kusafirishwa bila vibali? Basi beba hata bata wako jaribu kuingia hata kwa Madiba tu uone, hizi sheria zinalinda kusambaa kwa magonjwa ya wanyama au yanayotokana na wanyama, jiwe alifuata sheria tu.
Wewe toa maoni yako uko huru lakini Mama kaongea kama Rais wa nchi hii kauli yake ndiyo ya mwisho ila wewe unaweza kuongea unachotaka. leo anapigilia msumari wa mwisho huko Nairobi.mama kashasema kama nani!!!!
vipi uhuru wa kujieleza pia[emoji23][emoji23][emoji23],mama si alisema??
kajieleze useme mama alisema.utajua hujui.
Niambie Uliwahi ona wapi hao viumbe hai wanachomwa?Nchi gani wanyama hai kusafirishwa bila vibali? Basi beba hata bata wako jaribu kuingia hata kwa Madiba tu uone, hizi sheria zinalinda kusambaa kwa magonjwa ya wanyama au yanayotokana na wanyama, jiwe alifuata sheria tu.
Wewe unaliwa mavisasa mbona kama nawewe unaliwa hivi!!!!
Naona hujui kitu kama unafikiri hivyo kama ulivyoandika hapo.kama US na China lakini ugomvi wao utakuta wa kibiashara mwisho wa siku.
Ni viwanda vipi Zanzibar vinavyotengeneza bidhaa hizo unazoandika hapa? Sasa inaonekana dhahiri hujui unachoeleza hapa.mbona hata sisi Tanzania nchi moja lakini tuliwafanyia hujuma wa Zanzibar na kuuwa biashara za kwa kuweka double taxation wakati zamani ukitoka Zanzibar miaka ya 90 ukinunua TV unakuja nayo huku bure kuona kule vitu rahisi watu wengi wanapanda boat kwenda Zanzibar wakaleta tax tena mwisho wa siku wakauwa biashara za Zanzibar kwa makusudi tu na sisi nchi moja sasa tuite nini hii hujuma?
Sina haja tena ya kupoteza muda wangu na mtu ambaye kumbe kichwani hana kitu.unategemea wa Kenya wasihujumu kulinda maslahi yao? sisi tulihujumu Zenji kulinda Kariakoo waulize watu miaka ya 90 shopping ilikuwa wap
Sina muda wa kupoteza kujibishana na wewe tena. Unaandika upuuzi mtupu.Sasa magendo anafanya nani? wa Tanzania au wakenya, maana nashindwa kuelewa wanaotorosha hayo madini ni wa Tanzania kuingiza Kenya sasa jiulize kwanini wanafanya hivyo? sababau soko letu lilikuwa halina uhakika na hakukuwa na sehemu za kuuza madini kwa bei ya ushindani. kitu kizuri alichofanya JPM aliona tatizo hili ndio maana akafungua sehemu kila mkoa za minada ya madini ni hatua nzuri na naunga mkono ila bado kazi ya ziada inatakiwa kufanya kuleta ufanisi. Mtu akijuwa hapa nauza napokea cash atakuja lakini akiona malipo baada ya miezi atakimbilia Nairobi maana bei ipo na anapokea cash. ndio sababu ya JPM kuchukuwa hatua zile kuzuia magendo kuweka utaratibu mzuri wa soko hatua zaidi zinatakiwa kuboresha hili ndio maana umemskia Mama kasema bado madini yanatoroshwa chinichini kwa chini ujiulize why? anapeleka sehemu anapata bei kubwa na uhakika ndio sababu.
Sikuachi kwa hili.Vipi unaniambia unaishi kiushikaji? nchi isiyoangalia maslahi yake basi uongozi hawafai ushikaji wa nini. Jana nimesikia Serikali ya Tanzania ikisema Kenya wameinvest zaidi ya billion moja na kitu $ Tanzania na ku rank among top na kutengeneza ajira alfu 56 haya maneno ya serikali sasa ushikaji gani unaongelea hapa. Miaka ya 70 mpaka 80 wakati mipaka imefungwa hakuna biashara ndio wakati Kenya ikatuacha kwa mbali na hakukuwa na biashara yoyote baina yetu.
Mimi mhujumu uchumi mkubwa sana wala sio shida hilo. Mkiambiwa Zanzibar nchi hapana mnakataa ikija kwenye kodi Zanzibar inakuwa nchi. Zanzibar mmeiuwa sababu ya wivu badala ya kushindana kuleta sheria za ajabu kuwafanya maskini. Mama kishongea huko ni wazi kila kitu kitakuwa open nyinyi wenye roho mbaya ya kutaka kila mtu awe maskini zama zenu zimeisha. wivu mzuri na wewe kuwa tajiri wewe kila mtu mwenye mafanikio mhujumu uchumi unataka tuwe wote maskini. Mama kishafungua njia nyeupe au hujamsikiliza.Naona hujui kitu kama unafikiri hivyo kama ulivyoandika hapo.
Ni viwanda vipi Zanzibar vinavyotengeneza bidhaa hizo unazoandika hapa? Sasa inaonekana dhahiri hujui unachoeleza hapa.
Wewe kama ni raia wa hapa, basi ni mmoja wa wahujumu wakubwa na njia zako za uhujumu zilibanwa, sasa unadhani mama atalegeza urudi tena kuwa kibaraka wa hao wanaovuruga juhudi zetu.
Bidhaa ziletwe Zanzibar kutoka nje, halafu unataka ziingizwe Tanzania Bara bila kodi? Nilishakuuliza kama kweli unayo akili timamu.
Sina haja tena ya kupoteza muda wangu na mtu ambaye kumbe kichwani hana kitu.
Nadhani hujakula sukari guru wewe na pipi nyeupe.Sikuachi kwa hili.
Kenya ilituacha mbali enzi za Moi? Ndiyo, hilo kundi la wala rushwa waliwaacha mbali wakenya wenzao. Kenya haikutuacha sisi mbali.
Sasa ndio umepotea kabisaaaaa!Mimi mhujumu uchumi mkubwa sana wala sio shida hilo. Mkiambiwa Zanzibar nchi hapana mnakataa ikija kwenye kodi Zanzibar inakuwa nchi. Zanzibar mmeiuwa sababu ya wivu badala ya kushindana kuleta sheria za ajabu kuwafanya maskini. Mama kishongea huko ni wazi kila kitu kitakuwa open nyinyi wenye roho mbaya ya kutaka kila mtu awe maskini zama zenu zimeisha. wivu mzuri na wewe kuwa tajiri wewe kila mtu mwenye mafanikio mhujumu uchumi unataka tuwe wote maskini. Mama kishafungua njia nyeupe au hujamsikiliza.
Rais wenu nani tena? Rais ni SSH, huyo mwingine ni chakula ya minyoo. Forget about his existencekasome ulichomwandikia marehemu rais wetu.
ukiishatangaza vita usipangie watu silaha,pigana uwezavyo.
nikajua rais ni tundu lissu[emoji1787][emoji1787][emoji1787].Rais wenu nani tena? Rais ni SSH, huyo mwingine ni chakula ya minyoo. Forget about his existence
Ndio unajua Sasa?Mada hii inahusu ziara ya Samia...
Kwani nani kaianzisha!Ndio unajua Sasa?