mtu hawezi kuja kukwambia muwe mnabadilishana wake zenu siku moja moja,ukakubali sababu unajiamini 6x6.
wao walituma offa yao,tuna haki ya kujiridhisha nayo kwanza.
unalalamikia kutojiamini,undhani huo ugonjwa unatibiwa na makelele humu,au kuwapa watu nafasi watu wafanye hizo kazi!!!huwaamini watanzajia wenzako,nani atajisumbua kuwaamini??
yeye kama kaamua kumwona mwendazake ni kilaza shauri yeke,ila nchi itamnyea asielewe anashika wapi.tumemwonya approach yake kwa walipa kodi,kwa wakenya nk.ana haki kikatiba kusikiliza au kupuuza.