Rais Samia kufanya ziara ya siku mbili Nchini Kenya kuanzia 04|05|2021

Rais Samia kufanya ziara ya siku mbili Nchini Kenya kuanzia 04|05|2021

Magufuli aliwadhibiti vizuri sana Manyang'au..
Samia asilegeze
Hili ni la kuzingatia sana, sana, sana

Hawa Wakenya wanataka kumlainisha Mama ili afuate wanayotaka wao kwa faida yao.

Kwakweli Mama Samia anapaswa aendelee kukaza kama JPM alivyowafanya na sio kulegeza
 
Hili ni la kuzingatia sana, sana, sana

Hawa Wakenya wanataka kumlainisha Mama ili afuate wanayotaka wao kwa faida yao.

Kwakweli Mama Samia anapaswa aendelee kukaza kama JPM alivyowafanya na sio kulegeza
Jambo la kwanza, nadhani mama ni lazima aambiwe kwamba Kenya sio majirani zetu pekee, kiasi cha kumchukulia muda wake mwingi kushughulika nao.

Tunao majirani zetu wengine ambao kwa kweli hatujafanya juhudi kubwa za kushirikiana nao. Hata Uganda mwenyewe, nchi ambayo tumeimwagia damu zetu, mpakani kuna njia moja tu hapo Mtukula inayotuunganisha, Kenya karibuni tunazo njia nne kuu za mwingiliano kati yetu; tena barabara zote zimechongwa vizuri.

Kwa nini sasa tuingie gharama nyingine tena kujenga barabara ya kuambaambaa pwani toka Malindi hadi Bagamoyo?

Kwa nini, angalao tusitumie pesa ya namna hiyo kuimarisha bandari ya kutuunganisha kwa uhakika zaidi na DRC ambao hatuna hata njia moja ya moja kwa moja kati ya nchi hizi?

Ninachoona kilichobaki kati yetu na Kenya, ni wao kutusambazia uchafu wao wa rushwa na ufisadi ili vishamiri zaidi hapa kama vilivyo huko kwao.

Hii ndiyo hatari kubwa tunayoweza kukumbana nayo kama tutalegeza misimamo aliyokuwa ameiweka marehemu Magufuli.
 
Jambo la kwanza, nadhani mama ni lazima aambiwe kwamba Kenya sio majirani zetu pekee, kiasi cha kumchukulia muda wake mwingi kushughulika nao.

Tunao majirani zetu wengine ambao kwa kweli hatujafanya juhudi kubwa za kushirikiana nao. Hata Uganda mwenyewe, nchi ambayo tumeimwagia damu zetu, mpakani kuna njia moja tu hapo Mtukula inayotuunganisha, Kenya karibuni tunazo njia nne kuu za mwingiliano kati yetu; tena barabara zote zimechongwa vizuri.

Kwa nini sasa tuingie gharama nyingine tena kujenga barabara ya kuambaambaa pwani toka Malindi hadi Bagamoyo?

Kwa nini, angalao tusitumie pesa ya namna hiyo kuimarisha bandari ya kutuunganisha kwa uhakika zaidi na DRC ambao hatuna hata njia moja ya moja kwa moja kati ya nchi hizi?

Ninachoona kilichobaki kati yetu na Kenya, ni wao kutusambazia uchafu wao wa rushwa na ufisadi ili vishamiri zaidi hapa kama vilivyo huko kwao.

Hii ndiyo hatari kubwa tunayoweza kukumbana nayo kama tutalegeza misimamo aliyokuwa ameiweka marehemu Magufuli.


Unajifanya ni mchumi Na hujui lolote kuhusu biashara. Hiyo biashara kawafundisha Mwinyi kutoka Zanzibar. Yeye aliwawekea freedom ya biashara. huyo mlaanifu Baba yenu Nyerere akijua vita Na kuvamia nchi Za watu tu.
 
Back
Top Bottom