igwee frm anambra
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 957
- 1,496
Haina shida yoyote .... you went too far.Yes Kuna community kubwa ya Waktieto na pia community kubwa ya waislamu...Sasa wewe unaona ni sahihi alivyosndika?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haina shida yoyote .... you went too far.Yes Kuna community kubwa ya Waktieto na pia community kubwa ya waislamu...Sasa wewe unaona ni sahihi alivyosndika?
Magufuli alikuwa kichaaa, muache mama SSH afumue kila kitu.Shida ni pale mama anapoona mtangulizi wake hakuwa sahihi kwa kila kitu na sasa hivi anafumua mpaka visivyostahili Kenya akiwachekea atajutia badaye jamaa wanafiki sana mama Mungu akupe maarifa uwe shujaa
Ok shukraniHaina shida yoyote .... you went too far.
Zanzibar Tokea Lini ikaitwa Tanzania?Zanzibar ni Tanzania, hatuwezi kujisaga wenyewe.
Ambacho hukijui ni kwamba raisi lazima asafiri. Raisi asiyesafir huyo ni mshamba na aliyepitwa na wakati.Mualiko gani ule wa harakaharaka. Hawakusubiri hata SSH azoee mazingira ya ikulu? Nadhani hata baadhi ya milango ya ikulu alikuwa hajaigusa bado wamesha mtuma sijui Amina nani vile maana mama yule alikuwa anaongea kwa kuhema utadhani alitembea kwa miguu kutokea Nairobi.
hahah. kenyatta noma sana alimtumia samia suluhu mama Amini ambae pia anavaa hijabu ili amlegeze samiaMualiko gani ule wa harakaharaka. Hawakusubiri hata SSH azoee mazingira ya ikulu? Nadhani hata baadhi ya milango ya ikulu alikuwa hajaigusa bado wamesha mtuma sijui Amina nani vile maana mama yule alikuwa anaongea kwa kuhema utadhani alitembea kwa miguu kutokea Nairobi.
hivi znz kuna kitu gani ambacho bara hakipo, znz na bara nchi gami tajiriZanzibar Tokea Lini ikaitwa Tanzania?
Wacha Karma iwatafune kwa utapeli wenu
Mkuu, mie kiukweli siwapendi hawa jamaa kwa tabia yao ya kudandia kila kilicho chetu kiuchumi kukifanya kuwa chao. Siku moja nilikuwa nasikiliza radio moja ya nje ya kimataifa nikamsikia mzungu mmoja akihojiwa kuhusu uelewa wake kwa nchi ya Tanzania, akasema yeye alikuwa akiifaham Tanzania kama ni sehemu ya Kenya.Magufuli aliwadhibiti vizuri sana Manyang'au..
Samia asilegeze
Ziara hii ni nafasi kwetu kujua yeye ni kiongozi wa namna gani.Shida ni pale mama anapoona mtangulizi wake hakuwa sahihi kwa kila kitu na sasa hivi anafumua mpaka visivyostahili Kenya akiwachekea atajutia badaye jamaa wanafiki sana mama Mungu akupe maarifa uwe shujaa
Naona unapoteza muda wangu.Zanzibar Tokea Lini ikaitwa Tanzania?
Wacha Karma iwatafune kwa utapeli wenu
Nadhani haya mambo hayataki jazba, sisi na Kenya sio maadui ila wahasimu wa mambo ya nani bora ambalo ni jambo zuri kama litaleta faida za kiushindani lakini sisi sio maadui kabisa. Simba na Yanga sio maadui wahasimu tu ndio kama sisi na Kenya. Kenya ndio nchi inayoongoza uwekezaji mkubwa kwetu ni number moja sasa huyo sio adui, nakumbuka maneno ya Kikwete aliyaongea hata yeye ni kichaa tu anaweza kuvunja uhusiano sababu tumeshikana sana kiuchumi sasa Mama anarekebisha tu tulipokosea mambo binafsi ya urafiki na Odinga hayana tija na sisi maslahi ya nchi mbele. Kenya wanatuhitaji na sisi tunawahitaji. Mama weka mambo sawa leo hakuna hata bus linaenda Kenya au kuja huku biashara zitaendaje.Mwaliko uliletwa haraka haraka, kana kwamba kuna dharura!
Sasa mama ameamua kuitikia mwaliko huo wiki ijayao. Haieleweki yaliyokuwemo ndani ya barua ile iliyowasilishwa kwake Dar es Salaam yalihitaji atembelee haraka hivyo; bila shaka ni ya manufaa makubwa kwao; na pengine na kwetu pia hadi mama akaona asichelewe zaidi.
Ni mwezi juzi tu, March, hawa jamaa walipokataza mahindi ya wakulima wetu yasiende kwao kwa visingizio vya kuwa yana 'mycotoxins', uamzi waliofanya kibabe na wakustukizia, kumbe ulikuwa ni uamzi uliotokana na kulinda maslahi ya wakulima wao zaidi kuliko athari za afflatoxins..., hivi huko kwao mahindi ya wakulima wao hayana tatizo hilo!
Na huko miaka ya nyuma je, walipokuwa wakila mahindi yetu, walikufa wangapi? Sisi tunaokula hayo mahindi, miili yetu ni sugu? Uamzi huo haukuwa wa kiungwana kwa jirani unayeshirikiana naye katika biashara.
Siyo hivyo tu, hawa jamaa ni wazuri sana wa kulaumi na kulalamikia wengine huku wao wakijiona kuwa ndio kipimo kinachotakiwa kutumiwa na majirani zao.
Sukari, maziwa mayai, kuku wa Uganda wamezuia kuingia kwao wakilinda wazalishaji wao, huku wao wakihimiza Uganda inunue bidhaa kutoka kwao.
Sasa angalia wanavyomkaribisha mama atakapotembelea -
Wanaandika: Tanzania President to visit Kenya this week.
"She has the responsibility of correcting the continuous tariff between the two neighbouring countries."
Kwa hiyo ni wajibu wa mama kurekebisha, wao hawana linalowahusu!
Wakati mama Samia akitembelea huko, ni vema awe na uelewa mpana kuhusu majirani zetu hawa. Hawa tumetoka nao mbali sana, na bila shaka historia yote anaifahamu vyema.
Ni vizuri pia ajikumbushe wenzake (marais) walivyoshughulika na hawa majirani. Asije akajikuta yeye anasakamia tu toka kwa huyo mwenzake ambaye anajulikana kuwa kizabinazabina mkubwa. Hana msimamo yupo kila mahala, akijiuza na kuwachimba wenzake.
Kahangaika sana na EPA, akitaka tutumbukie tu humo kwa manufaa yake bila kujali sisi tutafaidika vipi. Anatafuta kuingia kwenye mikataba ya kibiashara na mataifa mengine, bila kujali uhusika wake katika jumuia yetu...
Bila shaka haya yatakuwa ni sehemu ya maongezi kati yao, na pengine mama naye kajiandaa ipasavyo.
Tutamsikiliza kwa makini.
====
By Aggrey Mutambo
Senior Diplomatic Writer
Nation Media Group
What you need to know:
If the visit goes ahead as planned, the Tanzanian leader will be coming to Nairobi nearly five years since her predecessor made a similar visit.
Tanzanian President Samia Suluhu is likely to visit Nairobi this week in a trip laden with diplomatic significance.
If the visit goes ahead as planned, the Tanzanian leader, who took over from John Pombe Magufuli following his death in March, will be coming to Nairobi nearly five years since her predecessor made a similar visit.
The trip was confirmed by two diplomats familiar with the arrangement.
She has the responsibility of correcting the continuous trade tiffs between the two neigbouring countries.
In a speech to Parliament last week, President Suluhu told legislators that her administration will pursue economic diplomacy with partners in the region and across the world, signaling intent to repair relations with the outside world.
“If you call it a change, then it will be a renewed effort on economic diplomacy,” she said, referring to better ties with the East African Community, Southern Africa Development Community and the recent Africa Continental Free Trade Area (AfCTA).
Collaboration
President Suluhu’s policy, she pledged, will run on a smoother domestic programme to attract investors, while sustaining relations with key partners the country trades with.
She thinks her diplomats must work better at making the country attractive rather than being an island.
“Our diplomatic staff have to be competent in striking deals in investment and trade promotion as well as seek strategic partners in tourism”, she said.
The itinerary of the planned Kenyan trip had not been made public by Saturday with officials indicating there were still final touches to be made. But the Sunday Nation understands she intends to meet with business lobbies in Nairobi, after holding talks with President Uhuru Kenyatta to discuss bilateral issues.
Renewed trust
This would be her first State visit since taking power, although she has already made an official trip to Uganda where the two countries signed a multi-billion-dollar oil pipeline deal with French oil giant Total and China’s CNOOC.
Frequent non-tariff wars with Kenya have slowed down trade to an average of Sh40 million a year, down from Sh64 billion during Jakaya Kikwete’s era.
Nairobi has indicated renewed trust in the organs of the East African Community whose secretariat is now headed by Kenyan, Dr Peter Mathuki. “We intend to sort out the issues through the established organs of the EAC,” said Johnson Weru, PS for Trade when asked on Kenya’s plan to eliminate the trade wars.
amutambo@ke.nationmedia.com
UPDATES:
Tanzania President Samia Suluhu Hassan is set to jet into Kenya Tuesday, May 4th, for a two-day State Visit.
According to @StateHouseKenya,H.E Pres. Uhuru Kenyatta will receive H.E Pres. Suluhu at State House.
Bahati mbaya watu hawaelewi investment ya wa Kenya hapa kwetu wanaongoza Africa. Sisi sio maadui ila tunashindana kwa maendeleo ni jambo zuri na Mama anaenda kuweka mambo sawa cross border business lazima irudi kama kawaida tulikuwa na ndege za Kenya 6 times a day leo sijui mara 3 kwa wiki na uhakika tutaanza kuona biashara tena kwa wingi na sote tunahitajiana sana tu.Ntatofautiana na wanaobeza hii ziara kwa wakenya, mimi naunga mkono asilimia 100 Kenya ni muhimu sana kwa uchumi wetu na sisi ni muhimu sana kwa uchumi wao.
Hizo nchi zote ulizozitaja wamewekeza nini hapa kwetu kwenye Foregn direct investment? Kenya wamewekeza kiasi kikubwa hapa kuliko nchi yoyote ya Africa. Mama kesho anaenda kuweka mambo sawa biashara irudi wewe labda unaongelea wale wanunuzi wa Kariakoo. Hawa wana inject FDI nchini ndio kipimo cha uchumi kukua. Kikwete alishasema haya ni kichaa tu anaweza kuharibu uhusiano huu. Mama yuko vizuri anajuwa waliteleza wapi. Kumbuka Nairobi ni hub ya mashirika yote makubwa wana office zao pale huwezi kudharau hilo ukaenda Lilongwe au kucheza ndombolo Kinshansa.Nani kashabikia kujifungia.
Kwani Kenya ndio dunia pekee? DRC, Malawai, Zambia, Mozambique, Uganda, Rwanda, Burundi, Comoro, na kwingineko, huko hakuna dunia?
Nimekusoma kwa taratibu nikuelewe vizuri.Nadhani haya mambo hayataki jazba, sisi na Kenya sio maadui ila wahasimu wa mambo ya nani bora ambalo ni jambo zuri kama litaleta faida za kiushindani lakini sisi sio maadui kabisa. Simba na Yanga sio maadui wahasimu tu ndio kama sisi na Kenya. Kenya ndio nchi inayoongoza uwekezaji mkubwa kwetu ni number moja sasa huyo sio adui, nakumbuka maneno ya Kikwete aliyaongea hata yeye ni kichaa tu anaweza kuvunja uhusiano sababu tumeshikana sana kiuchumi sasa Mama anarekebisha tu tulipokosea mambo binafsi ya urafiki na Odinga hayana tija na sisi maslahi ya nchi mbele. Kenya wanatuhitaji na sisi tunawahitaji. Mama weka mambo sawa leo hakuna hata bus linaenda Kenya au kuja huku biashara zitaendaje.
Sasa hili la kuwekeza naona limekutoa akili kwelikweli.Hizo nchi zote ulizozitaja wamewekeza nini hapa kwetu kwenye Foregn direct investment? Kenya wamewekeza kiasi kikubwa hapa kuliko nchi yoyote ya Africa. Mama kesho anaenda kuweka mambo sawa biashara irudi wewe labda unaongelea wale wanunuzi wa Kariakoo. Hawa wana inject FDI nchini ndio kipimo cha uchumi kukua. Kikwete alishasema haya ni kichaa tu anaweza kuharibu uhusiano huu. Mama yuko vizuri anajuwa waliteleza wapi. Kumbuka Nairobi ni hub ya mashirika yote makubwa wana office zao pale huwezi kudharau hilo ukaenda Lilongwe au kucheza ndombolo Kinshansa.
Jibu swalihivi znz kuna kitu gani ambacho bara hakipo, znz na bara nchi gami tajiri