Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Sijanyimwa chochote maana sijawahi kuomba!Ni kweli mkuu na Mungu aliliona hilo aliamua kukunyima
Huwezi nyimwa usichokiomba.
Umejifunzia Kiswahili ukubwani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijanyimwa chochote maana sijawahi kuomba!Ni kweli mkuu na Mungu aliliona hilo aliamua kukunyima
Umenyimwa uraisSijanyimwa chochote maana sijawahi kuomba!
Huwezi nyimwa usichokiomba.
Umejifunzia Kiswahili ukubwani?
Sijauomba!Umenyimwa urais
Pia hakuna Jimbo Katoliki la Ngara bali ni Jimbo Katoliki Rulenge - NgaraTanzania hakuna "Jimbo Kuu Katoliki la Ngara bali kuna "Jimbo Katoliki la Ngara"
ukiwa na mawazo kama hayo umeishiwa hoja hebu tuambie waliotujengea reli yakati tuliwapa nini halafu diyo uje uzungumzie ya mamaMwalimu Nyerere alikwisha wahi kusema Mzungu si mjinga akukopeshe bure pasipo kutaka kitu, Mtukufu Raisi wetu Samiah atuambie (atuweke wazi) terms and conditions alizopewa na wazungu kufanikisha hilo.
Maana nachojua wale si wajomba ama ndugu zetu tuseme wanakupa tu pesa pasipo kitu, hivyo mabadiliko hayo ya kuifanya Tanzania kuonekana kama ulaya yaendane na uwazi wa makubaliano baina ya nchi yetu na mabeberu.
Wanamlazimisha kuhudhuria huyu mama ni mdini sana ndio maana jana kapokelewa na wavaa mashuka vichwani kama yeyeWakuu After 6 years Tz Utakuwa kama Ulaya.
Wakuu Leo Chief Hangaya anatarajiwa Kuwa Mgeni Rasmi Kwenye sherehe za Kutimiza Miaka 50 ya Jimbo Katoliki Rulenge - Ngara -Kagera.
Ànatarajiwa kutua Uwanja wa ndege wa Chato(Chato Airport) kuanzia muda wa sa 5 asubuhi kwa Saa za Afrika Mashariki.
Atakuwa mgeni Rasmi Leo na baada ya Kumaliza Activities Huo atarajea Tena Dar Ili kuendelea kufikiria Jinsi ya Nchi Yetu itakavyokuwa Kama Ulaya baada ya Miaka 6.
Tuliwapa utajiri wakatuachia ufukaraukiwa na mawazo kama hayo umeishiwa hoja hebu tuambie waliotujengea reli yakati tuliwapa nini halafu diyo uje uzungumzie ya mama
Aisee Kanda ya Ziwa anaipenda khaa..Wakuu After 6 years Tz Utakuwa kama Ulaya.
Wakuu Leo Chief Hangaya anatarajiwa Kuwa Mgeni Rasmi Kwenye sherehe za Kutimiza Miaka 50 ya Jimbo Katoliki Rulenge - Ngara -Kagera.
Ànatarajiwa kutua Uwanja wa ndege wa Chato(Chato Airport) kuanzia muda wa sa 5 asubuhi kwa Saa za Afrika Mashariki.
Atakuwa mgeni Rasmi Leo na baada ya Kumaliza Activities Huo atarajea Tena Dar Ili kuendelea kufikiria Jinsi ya Nchi Yetu itakavyokuwa Kama Ulaya baada ya Miaka 6.
Kusafiri ni hobby hata mimi napenda Sana,kukaa sehemu moja ni kero.Ana penda sn safari, hivi huwa hachoki?
Bado na wewe umekoseaTanzania hakuna "Jimbo Kuu Katoliki la Ngara bali kuna "Jimbo Katoliki la Ngara"
Ni Kama Yupo Tu, Hana Impact yoyote.
.
Huyo Mama ana roho ya Kupenda Kila Kitu Yeye
Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo mambo ya kikatoliki wazanzibar tunakwazika sana, mama hatakiwi kuhudhuria sherehe hizo tumeamini na kumuona yeye akiwa ni muislamu dini yetu inakataza kabisa kushirikiana na KanisaWakuu After 6 years Tz Utakuwa kama Ulaya.
Wakuu Leo Chief Hangaya anatarajiwa Kuwa Mgeni Rasmi Kwenye sherehe za Kutimiza Miaka 50 ya Jimbo Katoliki Rulenge - Ngara -Kagera.
Ànatarajiwa kutua Uwanja wa ndege wa Chato(Chato Airport) kuanzia muda wa sa 5 asubuhi kwa Saa za Afrika Mashariki.
Atakuwa mgeni Rasmi Leo na baada ya Kumaliza Activities Huo atarajea Tena Dar Ili kuendelea kufikiria Jinsi ya Nchi Yetu itakavyokuwa Kama Ulaya baada ya Miaka 6.
Hayo mambo ya kikatoliki wazanzibar tunakwazika sana, mama hatakiwi kuhudhuria sherehe hizo tumeamini na kumuona yeye akiwa ni muislamu dini yetu inakataza kabisa kushirikiana na Kanisa
Kosea Kuoa/Kuolewa Lakini Siyo KuchaguaTumepatikana hatimaye...... fujo hizi mpaka 2025
Hakuna kitu kama hicho ni kukosa kaziNi sehemu ya majukumu yake.