Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Hapo umenena aseeAtachokaje na yuko kwenye kampeni ya uchaguzi wa 2025?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo umenena aseeAtachokaje na yuko kwenye kampeni ya uchaguzi wa 2025?
Tuko nae hapa Mlimani City.Safari hii hajamtuma makamu wake?
Mmeanza uchuro.Atachokaje na yuko kwenye kampeni ya uchaguzi wa 2025?
Mahusiano ya Bishop wa Jimbo hilo na awamu iliyopita yalikuwa mabaya sana kwa wale mtakaokumbuka. Amekwenda mwenyewe kurudisha mahusiano hayo na kujenga daraja jipya.Makamu wake angefaa kwa hiyo shughuli
Mengine ni kujipendekeza tu
Wewe umetumia kichwa chako kufikiria mambo ya maana wengine vichwa vyao ni nyumba za matusi na malalamiko.Mahusiano ya Bishop wa Jimbo hilo na awamu iliyopita yalikuwa mabaya sana kwa wale mtakaokumbuka. Amekwenda mwenyewe kurudisha mahusiano hayo na kujenga daraja jipya.