Rais Samia kuhudhuria sherehe za kutimiza Miaka 50 ya kanisa Katoliki Jimbo la Ngara

Kwa machifu alipewa kuwa Chifu Mkuu, sijui huko anaweza akapewa kuwa Askofu Mkuu?
 
ukiwa na mawazo kama hayo umeishiwa hoja hebu tuambie waliotujengea reli yakati tuliwapa nini halafu diyo uje uzungumzie ya mama
 
Wanamlazimisha kuhudhuria huyu mama ni mdini sana ndio maana jana kapokelewa na wavaa mashuka vichwani kama yeye
 
Mnaalika na kufanya ibada na watesaji wa watu wasio na hatia?
 
ukiwa na mawazo kama hayo umeishiwa hoja hebu tuambie waliotujengea reli yakati tuliwapa nini halafu diyo uje uzungumzie ya mama
Tuliwapa utajiri wakatuachia ufukara
 
Aisee Kanda ya Ziwa anaipenda khaa..
 
Rekebisha tittle ni miaka 25 sio 50 mkuu
 
Hayo mambo ya kikatoliki wazanzibar tunakwazika sana, mama hatakiwi kuhudhuria sherehe hizo tumeamini na kumuona yeye akiwa ni muislamu dini yetu inakataza kabisa kushirikiana na Kanisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…