Mahusiano ya Bishop wa Jimbo hilo na awamu iliyopita yalikuwa mabaya sana kwa wale mtakaokumbuka. Amekwenda mwenyewe kurudisha mahusiano hayo na kujenga daraja jipya.
Mahusiano ya Bishop wa Jimbo hilo na awamu iliyopita yalikuwa mabaya sana kwa wale mtakaokumbuka. Amekwenda mwenyewe kurudisha mahusiano hayo na kujenga daraja jipya.