Blood of Jesus
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 4,486
- 8,098
Kenya itastawi sana. Ruto ni mtumishi wa Mungu Aliye hai, Yehova.Mh DR William Samoi Ruto na Wakenya wengi wamemtukuza za Mungu wa Mbinguni na Bwana Yesu Kristo kwenye hii sherehe ya uapisho. Injili na nyimbo za Gospeli za kutosha .
YESU KRISTO NI BWANA NA MWOKOZI