Lethergo
JF-Expert Member
- Aug 7, 2023
- 6,534
- 11,421
Itoshe kusema hivyo kwa hio majibu ya maswali yenu yamepata majibu✍️✍️✍️✍️✍️. Mwanamke ni mwanamke tu, kuna vitengo vingine hawezi kuhimili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itoshe kusema hivyo kwa hio majibu ya maswali yenu yamepata majibu✍️✍️✍️✍️✍️. Mwanamke ni mwanamke tu, kuna vitengo vingine hawezi kuhimili.
. Hapana mimi siyo chawa, mimi nimefuata Quran inavyosema.Baada ya Mtume Muhammad SAW tumeambia anafuatia nani!??
Naona chawa mnataka kubadili taratibu za Imani ya dini ya Kiislam duniani Kwa ajili ya mama tu. Hongereni
Naona wanahisi Rais analindwa kama kama anavyolindwa mkuu wa wilaya vile...Swala la ulinzi wa Rais halına mjadala, hivyo kusema kwanini aliingia amevaa ijabu kama ni la kawaida, kuingia na ijabu ilikuwa ni sehemu ya ulinzi wa Rais hivyo acheni ubabaifu katika maswala niyeti!
Akili zao ni duni !Upo sahihi mkuu, lakini wenye dini yao wametanguliza Mihemko zaidi bila kupitia kitabu chao.
Sijaona kilicho haribika hapo, zaidi ya sisi kukuza hili jambo.
BalaaHata wa madafu, watu walihoji sana kwenda ikulu..
. Hata angevaa mavazi ya kiume bado mngeleta kelele tu.What is the JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala bro! Kwanini avae mavazi ya kike? Kwanini asingebski na muonekano wa kiume? Kwanini kuficha! Si nyumba ya Allah, anaona kila kitu, kwanini hila sasa! Kulikuwa na haja gani, ya kuuficha umma kwamba mlinzi, mmoja wapo ni Dume!?
Kipindi Fulani Diamond aliimba wimbo, akatsja neon"hallelujah "kwa jinsi wa Islam walivyomjia juu kwamba ameutusi uislam, niliona kweli majority muslim are stupid!
Ila hutasikia wakimsema Zuchu jinsi anavyozinishwa na mond bila ndoa, Ila mwezi wa Ramadan anatinga msikitini kama ka maraika vile!
Labda ndo lengo lao, yawezekana kuna vidume vilivaa madera ili kumvizia SSH, wakakutana na mwamba naye ameva dera. 😁😁Kwani hiyo nayo inawauma nini? Au walitarajia ulinzi upungue ili wamteke Mama yetu? Mbona kama vile kuna njama fulani zimejificha nyuma ya Pazia. Wewe kama siyo Mlinzi huwezi kujua kila kitu kinacho husu ulinzi.
Hayo ni machaguo tu, kama ulivyochagua wewe kulalia kitanda cha chuma, badala la kulalia kitanda cha mbao.Kwa upande wangu, naona walio'raise' hili suala is for the sake of curiosity. Ila ulivyojibu, naona wewe ndiye mwenye mihemko kuliko wao. Kama inaruhusiwa mwaume kuingia msikitini, kwa nini ajifunike kama mwanamke au kwa wakati huo anakuwa na hadhi ya kike? Si angevaa tu kama wanaume wengine wanavyovaa wakiingia msikitini au hiyo sehemu aliyopo mwaume akiingia lazima avae kama mwanamke? Naomba kuelimishwa hapa.
hayo ni mavazi ya kike mkuu. Kwa hiyo siku hizi dera ni nguo ya kishoga??
. Ebu niambie Kanzu na dera kuna UTofauti gani??
. Sijaona swali fikirishi hapo. Yawezekana huyo ni moja wapo tu aliyeonekana kwenye camera.Hapa ndipo naipenda jamii forum. Umeuliza swali gumu na fikilishi kama nilivyokuwa nafikilia. Hivi mbona nje kwenye mikutano ya hadhara ndiko kwenye hatari lakini bado anatemebea na mlinzi wa Kike. What exactly happened?