Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hpo afya imechekiwa kwanza hivyo tumbo kuvuruga sahau. Sheikh kumtokea anatokea wapi ndani ya room la wamama?Ndo available hijab 🧕 1
sasa ndo sheikh ikitokea kamuelewa akamtongoza ingekuwaje?
Haya mwamba na hijab yake tumbo la kuhara limemshika atakwenda choo gani.kwani usalama wa kike hamnaa.basi angevaa hata NINJA.
😃😃😃😃
Duniani kote wanalijua hili kwamba,wanawake mia Moja hawawezi toa suluhisho la jambo bila busara ya mwanaume japo Moja.Kuna faida gani wa kurecruit watoto wa kike kwenye kazi za usalama?
Nyongeza: aslani abadani ni haramu kwa mwanaume yeyote kujigeuza kuwa mwanamke (kufanana) kwa kuvaa au kujipamba/kujiremba. Mfano mwanaume kuvaa gauni, kanga/kitenge, juba, nikabu, nk. Mwanaume kutumia mapambo ya kike km bangili, hereni, kutoboa pua na kuweka vipini, kutumia lipstick, KUVAA VITO VYA DHAJABU nk.Assalamu 'alaikum. Kwa mujibu wa mafundisho ya Mtume Muhammad (s.a.w.), wanaume na wanawake wanasali katika sehemu tofauti wakati wa ibada katika msikiti. Hii ni kwa sababu ya mambo ya utaratibu na adabu katika ibada.
Kuhusu mavazi, Mtume (s.a.w.) ameamuru wanaume wavae kanzu au nguo ndefu zinazofunika kiganja na magoti. Wanawake wamekwishaelekezwa kuvaa hijab, yaani kufunika vichwa, nyuso na mabega yao wakati wa ibada. Hii ni kwa ajili ya heshima na adabu katika kuabudu.
Hivyo basi, wanaume na wanawake wanasali katika sehemu tofauti, na wanaume wanavaa kanzu au nguo ndefu wakati wa ibada, wakati wanawake wanavaa hijab. Haya ni mafundisho yaliyotolewa na Mtume Muhammad (s.a.w.) kwa ajili ya uadilifu na utaratibu wa ibada.
Underline "mihemko" kwenye uwasilishaji wa mleta uzi na mimi nipo hapo kwenye mihemko kati yake na wanaohoji: nani kahemka: yeye, hao wanaohoji au yeye na wao?Hayo ni machaguo tu, kama ulivyochagua wewe kulalia kitanda cha chuma, badala la kulalia kitanda cha mbao.
Ulinzi wa rais hauratibiwi na raisMachawa wanakuambia mama anakubalika na kupendwa na mamilioni ya watanzania!
Hofu ya nini sasa?
Cc: Lucas Mbwa wa Shamba
Kwahiyo sio nyumba ya Mungu tena? Mpaka ajenge Mungu physical ndio inakuwa ya Mungu?. Hizo nyumba za ibada zimeazishwa na nani kwani 🤔🤔 ??
. Wapi huko umeona nyumba ya ibada imejengwa na mungu??
. Mbona liko wazi hili, nchi za wezetu security ipo juu zaidi kuliko huko black continent. Kwa usalama unahaki ya kufanya kila namna kuona Rais anakuwa salama iwe ibadani au sehem nyingine za kazi.
Naamini walinzi wa kike wapo ambao ingefaa kuingia nao hapo au labda kama wanataka kusema wale walinzi wake wa kike hawana uwezo wa kumlinda raisi wetu.Kwa nini hajafanya Sawa mkuu..
Kwamba Quran inaruhusu mwanaume kuvaa kama mwanamke?Hakuna sehem sehem ya Quran inayokataza kufanya hivyo.. Kama ipo ilete hapa tuisome wote..
Kweli kabisa!😁😁😁, Rais lazima alindwe mkuu.
Sijielewi Kivipi mkuu...Wewe hujielewi yaani ni sawa mwanaume kuvaa hijab na kijifanya mwanamke na kuingia msikitini kweli??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wapigwe mawe Kwa kuchochea ushoga Tena msikitini.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Duu hii kali ya mwaka kwa hiyo mwana akapiga hijab aisee huu ni udhalilishaji wa dini [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ila kapendeza halafu katulia tuli unaweza mposa Kama hujui.