Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujaelewa nini???????Ni nini hiki mkuu. 🤔🤔
Kwa hiyo sio elimu, hadithi wala dalili 😀Hii ni mila, lakini siyo maandiko ya Quran, bali wanazuoni waliamua kuongeza hilo la mila...
Danganya toto, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mbona wanasema, kwenye nchi zao ushoga ni marufuku... Inakuwaje tena iwe hivyo??
Raisi Mwinyi pia aliwahi pigwa vibao na Muislamu kwenye hafla ya waislamu ukumbi WA Diamond Jubilee Dar es salaamRais anaingia popote na ulinzi wake full tight security hata huko anakoenda kuswali. Nani anawaamini waumini wenzake kuwa ni salama? Akina Benazir Bhuto na Indira Gandhi security system yao ilizembea yakawakuta makubwa
Nje wakitoka. Kumbuka na yeye ni binadamu. Sioni kama kulikuwa na umuhimu huo.wa kumuingiza mwanaume sehemu ya wanawake. Ni kumdhalilishaHpo afya imechekiwa kwanza hivyo tumbo kuvuruga sahau. Sheikh kumtokea anatokea wapi ndani ya room la wamama?
halafu itokee rais kafanyiwa kitu kibaya ndani ya kuswali huko kisa waislam wenzake hawana ubaya nani anawaamini waumini hao? Ulinzi na usalama ni lazima umzunguke kuhakikisha yuko salama. Kikwete akiwa kwenye kampeni kuwania awamu ya pili huko mwanza aliibuka mwehu mmoja na kumletea tafrani jukwaani. Nadhani walinzi wa rais walijifunza mkasa ule pamoja na ule wa mwinyi. Msikitini hakai Mungu, watu wa shetani wamejaa mule hakuna wa kuwaamini kwa usalama wa rais timu ya ulinzi iingie na ifanye kazi yao kama kawaidaRaisi Mwinyi pia aliwahi pigwa vibao na Muislamu kwenye hafla ya waislamu ukumbi WA Diamond Jubilee Dar es salaam
Kwa hiyo mlinzi alivua mabuti au aliingia nayo?Rais anaingia popote na ulinzi wake full tight security hata huko anakoenda kuswali.
unaambiwa walinzi walivaa kama watu wa misikitini wanavyovaa ili kuheshimu utamaduni waoKwa hiyo mlinzi alivua mabuti au aliingia nayo?
Unamvalishaje mwanaume. HijjabKumdhalulilisha nini??, kwani walikuwa uchi 🤨🤨??