Rais Samia kuisimamisha Dunia kutokea Cuba hapo Kesho

Rais Samia kuisimamisha Dunia kutokea Cuba hapo Kesho

Ndugu zangu watanzania, mwenzenu ndio naamka, nauliza tu dunia ilishasimama huko? Mweshimiwa sana mwashamba nisaidie, thanks
 
Kuandaa tu uchaguzi wa serikakinza mitaa kachemka - mambo hivyo hovyo...ati Dunia khaaa!!
 
IKIWAPENDEZA Moderator NA MUANZILISHI WA JF Maxi Malewo MUWEKE KITUFE CHA KUBLOCK THREAD ISIONEKANE KWANYE PROFILE YA MTU, MFANO MM NINA ALLERGY NA THREAD ZA KUSIFU NA KUABUDU(THREAD ZA KICHAWA). NATANGULIZA SHUKRANI HUKU NIKIBUBUJIKWA NA MACHOZI( MTUSAIDIE ILI TUWEZE KULINDA AFYA ZETU ZA AKILI) NADHANI JF ITAKUWA BORA ZAID NA ITAONGEZA CHACHU YA WATU KUANZISHA THREAD ZENYE MANTIKI PIA KUPUNGUZA MAGOMVI KWAKUA CHAWA WATAKOSA ENGAGEMENT( LIKE AND COMMENT), HIVYO ITAWALAZIMU KUBADILIKA NA KUANZA KUTUMIA AKILI ZAO VIZURI KWAKUA BILA HIVYO WATAKUWA WANAJIONGELESHA WENYEWE.
 
Huyu anaitwa msomi wa UDSM Kisima cha fikra kumbe takataka kabisa ya chooni
 
Yes, afisa wa Ubalozi wa Cuba alionekana ITV jana akitoa angalizo na ahirisho hilo, kutokana na uwepo wa kimbunga chenye athari ambacho kimeathiri usafiri wa anga.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Siku ya kesho Zaidi ya Nusu Billion ya watu Duniani Kwote wataelekeza macho na masikio yao Nchini Cuba .pale Ambapo kinara wa Dunia wa kupigania matumizi ya nishati safi ya kupikia Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi atakapokuwa mgeni Rasmi katika kongamano la kiswahili .

Ambapo duru za kisiasa zinaonyesha kuwa kongamano hilo linasubiriwa kwa hamu na shauku kubwa sana na mamilioni ya watu Duniani Kwote.Lakini pia uwezo wa kiuongozi na maono Makubwa ya Rais Samia yamepelekea kuwa gumzo na kuteka hisia za watu wengi sana Duniani Kwote.

Ikumbukwe ya kuwa RAIS Samia ndiye Rais Mwanamke pekee barani Afrika na mwenye ushawishi mkubwa sana hapa Afrika.Na ambaye inatajwa kuwa kama Afrika ingekuwa ni Nchi Moja basi Mama huyu shupavu,imara,hodari na madhubuti kwelikweli angechaguliwa kuwa Rais Wa Afrika.

Soma Pia: Rais Samia Mgeni Rasmi Kongamano la Kiswahili Havana Cuba Novemba 7-10, 2024

Usikose kufuatilia kongamano hilo litakalofuatiliwa na Dunia nzima na kuwa live au mbashara kupitia vyombo mbalimbali vya habariView attachment 3145518

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Mungu kasema NO. Hakuna jambo kama hilo.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Siku ya kesho Zaidi ya Nusu Billion ya watu Duniani Kwote wataelekeza macho na masikio yao Nchini Cuba .pale Ambapo kinara wa Dunia wa kupigania matumizi ya nishati safi ya kupikia Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi atakapokuwa mgeni Rasmi katika kongamano la kiswahili .

Ambapo duru za kisiasa zinaonyesha kuwa kongamano hilo linasubiriwa kwa hamu na shauku kubwa sana na mamilioni ya watu Duniani Kwote.Lakini pia uwezo wa kiuongozi na maono Makubwa ya Rais Samia yamepelekea kuwa gumzo na kuteka hisia za watu wengi sana Duniani Kwote.

Ikumbukwe ya kuwa RAIS Samia ndiye Rais Mwanamke pekee barani Afrika na mwenye ushawishi mkubwa sana hapa Afrika.Na ambaye inatajwa kuwa kama Afrika ingekuwa ni Nchi Moja basi Mama huyu shupavu,imara,hodari na madhubuti kwelikweli angechaguliwa kuwa Rais Wa Afrika.

Soma Pia: Rais Samia Mgeni Rasmi Kongamano la Kiswahili Havana Cuba Novemba 7-10, 2024

Usikose kufuatilia kongamano hilo litakalofuatiliwa na Dunia nzima na kuwa live au mbashara kupitia vyombo mbalimbali vya habariView attachment 3145518

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Acha uchawa wee Mwashambwa. Unakua mshamba sasa. Ukitaka kumtendea Samia haki mpe sifa anazostahili. Anazo sifa zake nzuri tu sio unamlundikia ulaghai. Hii ndio ubaya wa nyie chawa.
 
Mlioko duniani eti jana dunia ilisimama? Mimi nipo Jupiter.

Imekuwa safari ya mkosi aliyeenda kumsaidia kaangukia pua safari ya Cuba imeahirishwa na kimbunga.
Laana hizo mzee unaenda kutoa speech gani ya maana na ww ni mpuuzi tu mbele ya wanaume.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Siku ya kesho Zaidi ya Nusu Billion ya watu Duniani Kwote wataelekeza macho na masikio yao Nchini Cuba .pale Ambapo kinara wa Dunia wa kupigania matumizi ya nishati safi ya kupikia Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi atakapokuwa mgeni Rasmi katika kongamano la kiswahili .

Ambapo duru za kisiasa zinaonyesha kuwa kongamano hilo linasubiriwa kwa hamu na shauku kubwa sana na mamilioni ya watu Duniani Kwote.Lakini pia uwezo wa kiuongozi na maono Makubwa ya Rais Samia yamepelekea kuwa gumzo na kuteka hisia za watu wengi sana Duniani Kwote.

Ikumbukwe ya kuwa RAIS Samia ndiye Rais Mwanamke pekee barani Afrika na mwenye ushawishi mkubwa sana hapa Afrika.Na ambaye inatajwa kuwa kama Afrika ingekuwa ni Nchi Moja basi Mama huyu shupavu,imara,hodari na madhubuti kwelikweli angechaguliwa kuwa Rais Wa Afrika.

Soma Pia: Rais Samia Mgeni Rasmi Kongamano la Kiswahili Havana Cuba Novemba 7-10, 2024

Usikose kufuatilia kongamano hilo litakalofuatiliwa na Dunia nzima na kuwa live au mbashara kupitia vyombo mbalimbali vya habariView attachment 3145518

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Hakuna kitu hapo.
 
Labda kwa wizi wa haki za wapinzani. Mwislamu gani safi anafanya haya yanayofanywa na mkwe wake.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Siku ya kesho Zaidi ya Nusu Billion ya watu Duniani Kwote wataelekeza macho na masikio yao Nchini Cuba .pale Ambapo kinara wa Dunia wa kupigania matumizi ya nishati safi ya kupikia Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi atakapokuwa mgeni Rasmi katika kongamano la kiswahili .

Ambapo duru za kisiasa zinaonyesha kuwa kongamano hilo linasubiriwa kwa hamu na shauku kubwa sana na mamilioni ya watu Duniani Kwote.Lakini pia uwezo wa kiuongozi na maono Makubwa ya Rais Samia yamepelekea kuwa gumzo na kuteka hisia za watu wengi sana Duniani Kwote.

Ikumbukwe ya kuwa RAIS Samia ndiye Rais Mwanamke pekee barani Afrika na mwenye ushawishi mkubwa sana hapa Afrika.Na ambaye inatajwa kuwa kama Afrika ingekuwa ni Nchi Moja basi Mama huyu shupavu,imara,hodari na madhubuti kwelikweli angechaguliwa kuwa Rais Wa Afrika.

Soma Pia: Rais Samia Mgeni Rasmi Kongamano la Kiswahili Havana Cuba Novemba 7-10, 2024

Usikose kufuatilia kongamano hilo litakalofuatiliwa na Dunia nzima na kuwa live au mbashara kupitia vyombo mbalimbali vya habariView attachment 3145518

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Wewe ni lijinga kama wajinga wenzako huko ccm...huko cuba kaingia mitini location inasoma barbados....mungu msamehe huyu lofa na mpumbavu
 
Mtu
Ndio maana huelewi kinachoendelea hapa Nchini.kwa taarifa yako kwa sasa Tanzania chini ya Rais Samia ndio chaguo nambari moja la watalii, wawekezaji,wafanyabiashara wakubwa na watu mbalimbali maarufu kama vile wana michezo.kwa sasa kila eneo ukipita ni maendeleo tu na miradi mbalimbali ya maendeleo inaendelea kutekelezwa kwa kasi ya Mwanga.
Mwenye akili timamu hawezi kukuelewa labda zero brain wenzako wa ccm....acha kula ugoro ndio mana hauko timamu
 
Back
Top Bottom