Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
-
- #41
Imepungua maana mvua zimeanza kunyesha maeneo mbalimbali nchiniHii changamoto ya ukame imeisha?
Laana ya nini na kutoka kwa naniUna laana sio bure wewe kiumbe
Wawekezaji hawawezi kuja ktk nchi ambayo umeme siyo wa uhakika. Yaani unategemea kudra za mwenyezi Mungu! Hizi ni porojo tuIm
Imepungua maana mvua zimeanza kunyesha maeneo mbalimbali nchini
Sawa,msemaji wa tanescoKwa Sasa Hali ya Umeme Ni njema,Ikumbukwe kuwa changamoto ya umeme kwa kiasi kikubwa ilisababishwa na Hali ya ukame iliyokuwa umeikumba nchi yetu,Hata hivyo tunamshukuru serikali yetu kwa juhudi zake za kupambana na changamoto hii,lakini pia tunamshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutupatia mvua zinazoendelea kunyesha maeneo mbalimbali nchini mwetu ambayo itamsaidia kuongeza kina Cha maji na kumaliza tatizo la umeme
Changia hoja kwa hojaProfessor Shivji kasemaje kuhusu Rais
Hebu kamsome
Sawa, msemaji wa raisKwa Sasa serikali ya CCM ndicho inachokifanya chini ya Rais Samia ambapo wazawa wanapewa fursa za kukua na kukuza mitaji yao,ndio maana Mara tu Rais Samia alipoapishwa kuwa Rais alisema anahitaji Kodi za haki,haihitaji wafanyabiashara na wawekezaji wa kitanzania wasumbuliwe hovyo na TRA,akasema anataka wafanye biashara kwa amani Uhuru na utulivu kwa kuzingatia Sheria kanuni na taratibu zote zilizopo,Ndio maana unaona saiz hakuna malalamiko ya wafanyabiashara juu ya kuonewa au kukadiriwa makodi makubwa kwa kukomolewa au husikii habari za wafanyabiashara kupokonywa au kuchukuliwa pesa zao Benji.hii yote na juhudi zote hizi Ni katika kutaka kuona wazawa wanakuwa kibiashara na kuwekeza hapa nchini na kutoa fursa za ajira kwa vijana na kuchangia kuongeza mapato ya serikali kupitia kulipa Kodi,
Dhamira njema ya serikali ya Rais Samia katika kukuza uwekezaji wa wazawa imekuwa wazi na Mara nyingi ametamka hata hadharani
Hongera mshambwa wa shambwa kuna siku utalamba Kahawa na AsaliNdugu zangu, Rais Samia Ni zaidi ya kiongozi, Ni zaidi ya Mwanasiasa,Ni zaidi ya mwanadiplomasia,Ni zaidi ya jasusi wa kiuchumi,Ni zaidi ya komandoo wa Vita ya kiuchumi, Rais Mama Samia Ni mchanganyiko wa hivyo vyote,Ni mjumuiko wa hayo yote, Ni muunganiko wa hayo yote, Ndani yake utayaona hayo yote,Ni Rais kweli kweliii,Ni Rais anayejuwa maana ya kiapo Cha Urais alicho apa, Anajuwa yupo hapo kwa ajili ya Tanzania na Watanzania,Anajuwa Nini anafanya, Nini anatakiwa afanye kwa ajili ya Taifa hili.
Rais Samia anajuwa kuzivuta fursa popote pale katika uso wa Dunia kwa ajili ya watanzania,Anajuwa kunasa mitandao ya kifursa kwa ajili yetu, Ndio maana tunaona ndani ya muda mfupi wa uongozi wake namna wawekezaji na watalii walivyo miminika na kutiririka hapa nchini, h ii yote ni kutokana na jitihada za kidiplomasia zilizofanywa na Rais Samia. Hii yote Ni kutokana na ushawishi alionao Rais Samia kitaifa na kimataifa,Hii yote ni kutokana na namna Rais Samia anavyokubalika na kuungwa mkono na watu mbalimbali,hii yote ni kutokana na heshima kubwa aliyojijengea na kulijengea Taifa letu katika Sura ya kimataifa ambayo imeifanya Tanzania kuaminika na kuwa chaguo namba moja la wawekezaji na watalii.
Sasa Rais Samia yupo Marekani kwa mualiko maalumu wa Rais Wa Marekani Joe Biden, Watanzania tutarajie mengi kutoka kwa Rais wetu,kitakuwa ni kishindo Cha mafuriko ya fursa nchini, Naamini anakwenda kuvuta wawekezaji na wafanyabiashara Wakubwa, Tutegemee na kutarajia fursa mbalimbali za kiuchumi kutiririkia nchini mwetu. Wapo viongozi wengi huko wa mataifa mengine,Lakini simuoni wa kushindana na Rais Samia kifursa,simuoni wa kuwakomba wawekezaji Zaid ya Rais Samia, simuoni wakumzidi ushawishi Rais Samia na Tanzania yetu,Tanzania Ni kubwa, Rais Samia Ni Maarufu na mashuhuri, huyu Ni Mama wa shoka,lazima vyombo vya habari vya kimataifa vitamani kufanya Naye mazungumzo ya masuala mbalimbali, lazima wawekezaji watamani kuonana na Rais Samia.
Rais wetu Mpendwa Ni Nyota iwakayo inayoweza kuwaongoza wavuvi Ziwani,Tanzania yetu lazima ing'ae ,lazima ivune fursa,lazima tunufaike na ziara hii ya Rais wetu, Lazima itikise na kutetemesha,lazima inase mabillioni ya kiuwekezaji kuja kwetu, lazima tupate madollar ya Kimarekani kupitia uwekezaji,lazima Tunufaike.
Ndugu zangu watanzania Rais wetu yupo kazini,sote tunamuona namna anavyoipambania nchi yetu,Tumuunge mkono na kumtia moyo,Tumpe Faraja na kumwombea Afya njema na nguvu za Kuendelea kututumikia watanzania,Hakika tutafurahi wenyewe Kama ambavyo Tumeona Taifa likipiga Hatua mbele za kimaendeleo ndani ya muda mfupi katika kila Secta.
Kazi Iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.:0742-676627
Mrangi Mimi siyo msemaji wa Rais Bali naongea na kuandika ninachokiona, kwa kuwa mvua zinaonyesha na hata kipofu anaweza Tambua Jambo Hilo,hivyo Kama Zina nyesha Ni lazima kina Cha maji katika mabwawa yetu ya kuzalisha umeme yataongezeka majiSawa, msemaji wa rais
Ova
Huyo anaandaliwa nafasi ya uenezi huko UWT.Hongera mshambwa wa shambwa kuna siku utalamba Kahawa na Asali
Acha dharau zakoHuyo anaandaliwa nafasi ya uenezi huko UWT.
Rais Samia Suluhu anaupiga mwingi mpaka MarekaniNdugu zangu, Rais Samia Ni zaidi ya kiongozi, Ni zaidi ya Mwanasiasa,Ni zaidi ya mwanadiplomasia,Ni zaidi ya jasusi wa kiuchumi,Ni zaidi ya komandoo wa Vita ya kiuchumi, Rais Mama Samia Ni mchanganyiko wa hivyo vyote,Ni mjumuiko wa hayo yote, Ni muunganiko wa hayo yote, Ndani yake utayaona hayo yote,Ni Rais kweli kweliii,Ni Rais anayejuwa maana ya kiapo Cha Urais alicho apa, Anajuwa yupo hapo kwa ajili ya Tanzania na Watanzania,Anajuwa Nini anafanya, Nini anatakiwa afanye kwa ajili ya Taifa hili.
Rais Samia anajuwa kuzivuta fursa popote pale katika uso wa Dunia kwa ajili ya watanzania,Anajuwa kunasa mitandao ya kifursa kwa ajili yetu, Ndio maana tunaona ndani ya muda mfupi wa uongozi wake namna wawekezaji na watalii walivyo miminika na kutiririka hapa nchini, h ii yote ni kutokana na jitihada za kidiplomasia zilizofanywa na Rais Samia. Hii yote Ni kutokana na ushawishi alionao Rais Samia kitaifa na kimataifa,Hii yote ni kutokana na namna Rais Samia anavyokubalika na kuungwa mkono na watu mbalimbali,hii yote ni kutokana na heshima kubwa aliyojijengea na kulijengea Taifa letu katika Sura ya kimataifa ambayo imeifanya Tanzania kuaminika na kuwa chaguo namba moja la wawekezaji na watalii.
Sasa Rais Samia yupo Marekani kwa mualiko maalumu wa Rais Wa Marekani Joe Biden, Watanzania tutarajie mengi kutoka kwa Rais wetu,kitakuwa ni kishindo Cha mafuriko ya fursa nchini, Naamini anakwenda kuvuta wawekezaji na wafanyabiashara Wakubwa, Tutegemee na kutarajia fursa mbalimbali za kiuchumi kutiririkia nchini mwetu. Wapo viongozi wengi huko wa mataifa mengine,Lakini simuoni wa kushindana na Rais Samia kifursa,simuoni wa kuwakomba wawekezaji Zaid ya Rais Samia, simuoni wakumzidi ushawishi Rais Samia na Tanzania yetu,Tanzania Ni kubwa, Rais Samia Ni Maarufu na mashuhuri, huyu Ni Mama wa shoka,lazima vyombo vya habari vya kimataifa vitamani kufanya Naye mazungumzo ya masuala mbalimbali, lazima wawekezaji watamani kuonana na Rais Samia.
Rais wetu Mpendwa Ni Nyota iwakayo inayoweza kuwaongoza wavuvi Ziwani,Tanzania yetu lazima ing'ae ,lazima ivune fursa,lazima tunufaike na ziara hii ya Rais wetu, Lazima itikise na kutetemesha,lazima inase mabillioni ya kiuwekezaji kuja kwetu, lazima tupate madollar ya Kimarekani kupitia uwekezaji,lazima Tunufaike.
Ndugu zangu watanzania Rais wetu yupo kazini,sote tunamuona namna anavyoipambania nchi yetu,Tumuunge mkono na kumtia moyo,Tumpe Faraja na kumwombea Afya njema na nguvu za Kuendelea kututumikia watanzania,Hakika tutafurahi wenyewe Kama ambavyo Tumeona Taifa likipiga Hatua mbele za kimaendeleo ndani ya muda mfupi katika kila Secta.
Kazi Iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.:0742-676627
Rais Samia Suluhu ameboresha mazingira ya uwekezaji na Tanzania tunafaidika sana kupitia wawekezaNi vigumu mno. Hakuna mwekezaji atakuja kuwekeza pahala ambapo kuna sera zinazobadilika kulingana ni nani rais. Yaani tungejifunza kwa waarabu au wachina ingekuwa poa sana. Waarabu au wachina hawana ujinga wa eti demokrasia, wao lete uwekeze ila lazima tugawane faida. Ila bongo eti madini wanasomba mkisema mbane walipe kodi eti miga kumbe kuna wajinga fulani wana 10% na wamewemeza singapore etc
Acha uongo umeme umeanza kusumbua toka mwendazake aende zakeKwa Sasa Hali ya Umeme Ni njema,Ikumbukwe kuwa changamoto ya umeme kwa kiasi kikubwa ilisababishwa na Hali ya ukame iliyokuwa umeikumba nchi yetu,Hata hivyo tunamshukuru serikali yetu kwa juhudi zake za kupambana na changamoto hii,lakini pia tunamshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutupatia mvua zinazoendelea kunyesha maeneo mbalimbali nchini mwetu ambayo itamsaidia kuongeza kina Cha maji na kumaliza tatizo la umeme