Rais Samia kukomba Wawekezaji na Wafanyabiashara wakubwa wa Kimarekani kuja kuwekeza Tanzania

Wawekezaji mahiri toka nje ya nchi wana data na taarifa za kutosha kuhusu usalama na maslahi ya kuwekeza fedha zao katika nchi mbali mbali duniani. Hawashawishiki kiurahisi kwa ahadi na blabla za wanaotafuta fedha toka kwao. Kesi njingi Kati ya Tz na waweke zaji zimeharibu sifa yetu nje ya nchi. Mambo mengine tunayajua baada ya Mali zetu kukamatwa huko nje - kama ile ndege ya ATCL inayomaliza mwaka huko Uholanzi. Ubabe wetu unaishia mpakani au "boda".
 
Sawa,msemaji wa tanesco

Ova
 
Sawa, msemaji wa rais

Ova
 
Hongera mshambwa wa shambwa kuna siku utalamba Kahawa na Asali
 
Sawa, msemaji wa rais

Ova
Mrangi Mimi siyo msemaji wa Rais Bali naongea na kuandika ninachokiona, kwa kuwa mvua zinaonyesha na hata kipofu anaweza Tambua Jambo Hilo,hivyo Kama Zina nyesha Ni lazima kina Cha maji katika mabwawa yetu ya kuzalisha umeme yataongezeka maji
 
Rais Samia Suluhu anaupiga mwingi mpaka Marekani
 
Rais Samia Suluhu ameboresha mazingira ya uwekezaji na Tanzania tunafaidika sana kupitia wawekeza
 
Acha uongo umeme umeanza kusumbua toka mwendazake aende zake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…