Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahsante mkuu kwa kuendelea kunifumbua macho.Nyongeza mkuu Kalamu1.
Dalili ya athari za madeni na kupelekea austerity kutokea ni nchi kuchapisha fedha mpya kujaribu kuziba pengo.
Na sasa tumesikia tetesi humu JF nchi flani inakaribia kuchapisha pesa mpya hali ya uchumi ni tete.
Tusiogope kukokopa kutoka China, maana hata Marekani wanakopa kutoka Uchina. Bora tukakope wenyewe kuliko Wamarekani kutukopea sisi.1billion USD from IMF!??? Tutauzwa tunakoelekea.
Ni shida sana aisee, wazee wa kula asali na kujipimia kwa kamba.........serikali zitakazofuata shida wanayo kulipa madeni yaliyoota sugu hadi ukurutu.Kwa hizi ripoti za CAG??
Kweli mikopo ya bank za kibiashara unafilisiwa haraka sana.Ahsante mkuu kwa kuendelea kunifumbua macho.
Nilichokuwa najaribu kusogeza kwa wasomaji ni kulinganisha athari za mikopo toka sehemu mbalimbali. Akilini mwangu niliona kama nchi inapokopa toka nchi nyingine au kutoka kwa wafanyabiashara wa mabenki, kwamba mikopo hii ni lazima ilipwe kwa masharti yale yale yaliyokubaliwa mikopo ilipotolewa, vinginevyo nchi mkopaji anaweza kujikuta katika aibu kubwa sana na hata kufilisiwa.
Nilipotazama upande wa mikopo ya hwa IMF na WB, ambayo wakati mwingine ni kama wanalazimisha nchi ichukue mikopo hiyo, nikawa najiuliza kama inalazima ya kushikilia makubaliano ya ulipaji kama ilivyopangwa mwanzoni mwa mkopo. Kama nchi mkopaji anajisikia kuwa pesa ya kulipa hayo madeni inahitajika kufanyia shughuli nyingine muhimu kwa wakati huo, si kheri afanye shughuli hiyo kwanza, halafu atajadili ulipaji wa mkopo kwa majadiliano mapya na wakopeshaji?
Hizi 'austerity measures' kwa kweli ni kitanzi shingoni mwa wakopaji, lakini nadhani bado si kunyongwa kama yule aliyekopa kwenye mabenki ya biashara!
Inawezekana bado dhana yangu ikawa siyo sahihi, lakini bado ninaipa nafasi.
Tusiishie hapa mkuu wangu 'Titicomb' juu ya jambo hili.Kweli mikopo ya bank za kibiashara unafilisiwa haraka sana.
Au unashikiwa mali zako kama midege yetu ya ATCL.
nakuunga mkono hoja yako kuu.
Tunakopa sababu tuna capacity ya kukopesheka ila sio kwamba kuna jambo la maana la kufanya. Huyu mama kwa mwaka wake mmoja madarakani amemzidi hata Magufuli kwa kukopa kufanya mambo ambayo hayaeleweki.Mimi naona kama vile serikali yetu inakopa tu bila mpangilio maalumu.
Hakuna efforts zozote za maana za ku address wasteful and unnecessary spending.
Tumeona juzi hapa Rais alienda Marekani akakaa takriban wiki mbili kwa ajili ya kuzindua documentary kuhusu vitu ambavyo tayari vinajulikana.
Aliongozana na rundo la watu. Na wala hakupaswa kukaa huko muda wote huo.
Serikali iliingia gharama kiasi gani toka hiyo safari yake ya Marekani? Hatujui maana hakuna uwazi.
Na wote alioambatana nao, ilikuwa ni lazima aambatane nao? Sidhani!
Tanzania tuna austerity measures gani za kueleweka kuhusu government spending, revenue collection, etc?
Pesa tunazokopa kuna ulazima kweli wa kuzikopa?
Mi naona tunakopa kopa bila hata mpangilio.
Kwa lugha nyepesi mama ana akili za kukopa.She is being wrongly advised, huwezi kukopa ili kustabilize bei ya mafuta ambayo iko nje ya uwezo wako!! Utakopa mara ngapi kwani mafuta yatakuwa yanapanda bei kila leo!! Mtafute mbinu za ndani ili kurekebisha matumizi ya serikali sio mnakopa lakini bado mnaendelea na matumizi yenu ya hovyo!!! Kukopa sio suluhisho.
Baada ya vita ya Kagera kulikuwa na uchumi mgumu lakini Nyerere rallied the country to brace for the hardship; Sasa hawa wakina Msoga wanataka njia rahisi rahisi ya kukopa kuwatwisha mzigo wananchi huku wao hawataki kufunga mikanda!! Samia has a depecency syndrome which is wrong for the country!
Huyo choko @ the sunk cost fallacy anatetea upuuzi wowote alimradi uwe associated na bi. tozo tu ila nishamchana more than 1 time.Ukiniuliza mimi nilichojifunza vita kubwa kwenye siasa za nchi hii kupitia kiongozi mzalendo kama Magufuli it’s about who wins in the war of disinformation in an attempt to influence the wider society by way exploiting the mass ignorance.
Kila binadamu ana mapungufu yake, binafsi sijawahi kuziafiki kabisa insecurities za Magufuli ata alipokuwa hai za kupambana watu aliozani wapinzani wake ndani ya CCM, jinsi alivyokata watu tofauti na kanuni za chama kwenye uchaguzi mkuu kulikuwa na umungu mtu, na maamuzi yake ya kiimani badala ya logic in some rare instances kubwa zaidi how he handled COVID na mambo mingine machache ambayo yalikuwa costly.
But then I look at the bigger picture mengi aliyoyafanya yalikuwa ni ya lazima na yameisaidia nchi sana. Sasa basi yale mazuri yalitakiwa kuenziwa na mabaya yake atajijua yeye na mungu wake huko halipo.
Tatizo lilipo leo ni wahuni kutumia mabaya yake machache kama vile ndio uongozi wake wote ulikuwa ivyo na autafai kuiga.
Kwa nchi yetu ni rahisi sana kuwachota wajinga wajinga kwenye taifa ili kumeza ujinga kwa msaada wa chawa wa wahuni walio wengi na mama mwenyewe akiwa puppet on the string wa wahuni kwa sasa.
Ila nadhani baadhi ya wahuni washaanza kuona kuporomoka kwa kasi ya haraka alipotufikisha Magufuli wameanza kujifunza kumbe swala la kuendesha nchi on the bigger picture sio swala la mzaha kama walivyodhanI.
Kwa mfano: ni hivi kuna watu wanalaumu mbinu za Magufuli za kupambana na wakwepa kodi bila ya kufahamu sheria zetu za kodi zinasemaje
Ukishakuwa mkwepa kodi wengi wetu atufahamu taratibu zinataka TRA wachukue hatua gani (ata Mwigulu mpaka anakuwa waziri alikuwa hafahamu ni sheria kwenye uchunguzi kurudi nyuma mpaka miaka mitano) halafu wafanyabiashara wengi hasa wadogo ata concept ya VAT ilikuwa shida mpaka Magufuli akaagiza TRA ebu watoe somo pia.
Hizi hatua zetu ni cha mtoto niamini hizo nchi za ulaya wana random testing ukisikia tu umechaguliwa kuja kukaguliwa for personal income tax au business tax you better have all your five years evidence ready; vinginevyo utatia akili. Na ukisikia wanakuja kukukagua for tax fraud or tax evasion ujue hilo ni swala la records zako ambazo tayari wanazo na zina utata ndio wanakuja kukuhakiki mziki wake sio mdogo kabisa.
Hayo mambo ya kodi sheria zake za nchi yoyote jinsi ya kufanya mambo zinatokana na adaptation ya international frameworks.
Sasa kwetu TRA inapofanya kazi kwa standard na taratibu za tax investigation za kimataifa, kwenye jamii yenye uelewa mdogo including walipa kuhusu masuala ya sheria zinasemaje au utaratibu wenyewe wa kukaguliwa unafananaje. Ukizingatia taratibu zenye za upekuzi zinahusisha bank seizure for purposes of matching concepts (bank reconciliation) swala ambalo uwezi kufanya bila ya kuingia kwenye account ya biashara.
Kwenye mazingira kama hayo yanayoweza onekana ya ukatili wakati ni standard procedures za ulimwenguni unahitaji mtu kama kigogo tu kupotosha kinachoendelea ni chuki kwa wafanyabiashara na wale wapuuzi wa Twitter kusambaza upuuzi tayari una fake news.
Ukiwa kiongozi wa ovyo kama bi tozo na kuwasikiliza Twitter Republic wana mtazamo gani inakula kwako kwenye makusanyo; soon unajikuta uwezi kulipa madeni ukiwalegezea wafanyabiashara.
Huo ni mfano mmoja sasa to counter argue inabidi utumie muda mwingi kuto elimu swala ambalo Magufuli hakuwa na muda nalo.
Hapo ndio wanapotumiwa mafala kama huyu The Sunk Cost Fallacy fallacy yeye anataka watu wote wanaostahili kulipa kodi walipe kilicho halali je anajua sheria zinasemaje kuhusu namna ya kuchunguza kodi ilipwe halali kwa kwa wakawaida; aelewi ili ndoto zake zifikiwe hatua zenyewe kutokana na uelewa mdogo ndani ya jamii yetu inabidi kiongozi abebe mzigo wa lawama za kutungiwa uongo ikibidi ilimradi TRA wadai kodi stahiki kama serikali itimize wajibu wake. .
Tatizo sio kuongeza VAT ina maana watu million 50 tu ukikusanya kodi kikamilifu toka kwao hayo maendeleo hutayafanya?Hiyo VAT sasa unadhani hizo huduma zote zinatoka wapi? sasa kama unaona kukopa hutaki kuna mawili tax ziongezwe na zikiongezwa kelele kuna njia nyingi za kufidia moja ni mikopo kwa ajili ya maendeleo anayelipa ni serikali kwenye mapato yake wewe VAT yako bado 15% malalamiko kama serikali ingekuja kusema unajuwa tumekopa ili kulipa VAT iwe 20% hapo watu wangelia ila wewe hujaongeza unachochangia still 15% sasa kilio cha nini?
Unaongeza wages bill kwa 1.5T then unageuka unenda IMF kukopa 2T...Kwa lugha nyepesi mama ana akili za kukopa.
Major difference btn mwendazake na Samia ni matumizi ya akili binafsi katika kufanya maamuzi.
You are sick in the head niamini.Tofauti ni ipi? Magufuli amekopa sana afdb na world bank na pia pssf (ikiwemo kutopeleka michango). Unajua kwamba ilifika mahali zile bond za serikali kwa wanunuzi wa ndani ilibidi wafanye printing ya hela kulipa faida za waliokopesha serikali?
Huyu mama japo namuona hayupo competent kwa nafasi ya uraisi lakini ameikuta nchi ina hali mbaya sana kifedha. Hata wazo la kuweka tozo kwenye miamala ilikuwa ni katika harakati za magufuli kuhangaika kupata fedha za kuendesha serikali. Nina uhakika asingekuwa amekufa zile tozo zingekuwa kali zaidi ya sasa.
Tukubali kwamba magufuli aliipeleka nchi pabaya sana na ule uongo wake kwamba tunajenga kwa hela za ndani. Kakuta deni la taifa around 32 trillion na amekufa tukiwa 58 trillion, almost double.
Kwenye mafuta unajua ni shilingi ngapi walisema wanataka kukopa?Ushawai ona nchi ikauzwa, wacha wakope kwa maendeleo ya taifa
Sisi sisi ndo tunataka mafuta yashuke kodi na ushuru upunguzwe af bado ss tunaongea sana Rais akikopa tunataka nn sasa
You have got no brain in your head.You are sick in the head niamini.
Umeandika nini hichi?Hiyo VAT sasa unadhani hizo huduma zote zinatoka wapi? sasa kama unaona kukopa hutaki kuna mawili tax ziongezwe na zikiongezwa kelele kuna njia nyingi za kufidia moja ni mikopo kwa ajili ya maendeleo anayelipa ni serikali kwenye mapato yake wewe VAT yako bado 15% malalamiko kama serikali ingekuja kusema unajuwa tumekopa ili kulipa VAT iwe 20% hapo watu wangelia ila wewe hujaongeza unachochangia still 15% sasa kilio cha nini?
Sawa kwa miaka 5 ya JPM kulikuwa na ungezeko la $B9 ukigawa kwa 5 utapata wasta wa ongezeko la $B 1.8 kwa Mwaka.Nilaumu kwa lipi? Magufuli aliharibu uchumi kwa kuvuruga private sector,FDI na kudanganya kwamba hakopi wakati anakopa tena kwa riba kubwa na ufisadi juu kwa hiyo hafai kabisa na kulaumiwa ni haki yake [emoji116]
View attachment 2222424
View attachment 2222425
View attachment 2222426
View attachment 2222504
Unatumia matako kufanya ujinga wako huo...Sawa kwa miaka 5 ya JPM kulikuwa na ungezeko la $B9 ukigawa kwa 5 utapata wasta wa ongezeko la $B 1.8 kwa Mwaka.
Sasa twende kwa mama yenu; deni sasa hivi kilo $B37 ukikomotoa hapo unaua kuwa mama yenu ni ovyo sana yaani ndani ya Mwaka Moja tu demi limeongezeka mara dufu
Kunya hio trillion 2 basi,Kwa hiyo wewe unaona ni pesa nyingi sana hiyo sio? Yaani Til.2 ndio imekuchanganya? Maskini wa akili na mali 😄😄
Aisee Machadomo kichwani hamna kitu khaa,hivi unajua bajeti yetu ni dola bil.ngapi?
Hata likianza kulipwa mwaka 2025 haibadilishi ukweli kuwa mama amekopa 37BUnatumia matako kufanya ujinga wako huo...
Mimi sio kilaza kama mke wako ambae utamueleza huo utopolo akaitikia kama nyumbu..
Kwa hiyo hilo ongezeko likaleta jumla ngapi ya deni lote?
Ulivyo mweupe kichwani kwamba deni likikopwa leo linaanza kulipwa leo leo? Saizi Mama analipa madeni yaliyokopwa miaka iliyopita.
Mtawanga Sana 😬😬😬😬Hata likianza kulipwa mwaka 2025 haibadilishi ukweli kuwa mama amekopa 37B