Rais Samia kukubali kukutana CHADEMA ni kuwasaliti Watanzania wazalendo

Rais Samia kukubali kukutana CHADEMA ni kuwasaliti Watanzania wazalendo

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Hiki chama cha siasa kinachoitwa Chadema kimejaa wanasiasa wanafiki na wajali matumbo yao. Hawana nia njema na taifa letu. Sio wa kuwakaribisha ikulu kabisa.

Kipindi taifa letu linapambana na janga la Korona mwaka jana walitoka bungeni na kutaka tuweke Lockdown. Walikuwa wakipotosha kuwa watu zaidi ya mia tano wanakufa na kuzikwa usiku.

Ndege zetu zilipokamatwa walifurahi na kupiga mayowe kana kwamba wao sio watanzania huku wakiliombea mabaya taifa letu ili ndege ziuzwe.

Kwa ufupi hii ni baadhi ya scenario zinazoonyesha kuwa hawa watu hawafai na sio wazalendo.

Hivyo haikupaswa kuwakaribisha kabisa ikulu maana ni chama hata wananchi walishajua hakifai. Umetusaliti wazalendo.
 
Hiki chama cha siasa kinachoitwa Chadema kimejaa wanasiasa wanafiki na wajali matumbo yao. Hawana nia njema na taifa letu. Sio wa kuwakaribisha ikulu kabisa.

Kipindi taifa letu linapambana na janga la Korona mwaka jana walitoka bungeni na kutaka tuweke Lockdown. Walikuwa wakipotosha kuwa watu zaidi ya mia tano wanakufa na kuzikwa usiku.

Ndege zetu zilipokamatwa walifurahi na kupiga mayowe kana kwamba wao sio watanzania huku wakiliombea mabaya taifa letu ili ndege ziuzwe.

Kwa ufupi hii ni baadhi ya scenario zinazoonyesha kuwa hawa watu hawafai na sio wazalendo.

Hivyo haikupaswa kuwakaribisha kabisa ikulu maana ni chama hata wananchi walishajua hakifai. Umetusaliti wazalendo.
Kama ni hivyo Uzalendo ni UHANITHI
 
Hiki chama cha siasa kinachoitwa Chadema kimejaa wanasiasa wanafiki na wajali matumbo yao. Hawana nia njema na taifa letu. Sio wa kuwakaribisha ikulu kabisa.

Kipindi taifa letu linapambana na janga la Korona mwaka jana walitoka bungeni na kutaka tuweke Lockdown. Walikuwa wakipotosha kuwa watu zaidi ya mia tano wanakufa na kuzikwa usiku.

Ndege zetu zilipokamatwa walifurahi na kupiga mayowe kana kwamba wao sio watanzania huku wakiliombea mabaya taifa letu ili ndege ziuzwe.

Kwa ufupi hii ni baadhi ya scenario zinazoonyesha kuwa hawa watu hawafai na sio wazalendo.

Hivyo haikupaswa kuwakaribisha kabisa ikulu maana ni chama hata wananchi walishajua hakifai. Umetusaliti wazalendo.
Wazalendo mliosalitiwa mnatoka taifa gani Afrika?
 
Hiki chama cha siasa kinachoitwa Chadema kimejaa wanasiasa wanafiki na wajali matumbo yao. Hawana nia njema na taifa letu. Sio wa kuwakaribisha ikulu kabisa.

Kipindi taifa letu linapambana na janga la Korona mwaka jana walitoka bungeni na kutaka tuweke Lockdown. Walikuwa wakipotosha kuwa watu zaidi ya mia tano wanakufa na kuzikwa usiku.

Ndege zetu zilipokamatwa walifurahi na kupiga mayowe kana kwamba wao sio watanzania huku wakiliombea mabaya taifa letu ili ndege ziuzwe.

Kwa ufupi hii ni baadhi ya scenario zinazoonyesha kuwa hawa watu hawafai na sio wazalendo.

Hivyo haikupaswa kuwakaribisha kabisa ikulu maana ni chama hata wananchi walishajua hakifai. Umetusaliti wazalendo.
Yaani mwaka huu mataga mtakufa tu, chuki ya MPIGAJI NAMBA MOJA, bado mnazo tu, huyu mama hana akili hizo , kubalini tu, ndio maana unaona approach nyingi anazotumia ni tofauti na meko, zile zilikuwa za KIZANDIKI!!wananchi wapi hao?ila Mungu acha aitwe mungu, amefanya kitu cha maana sana kwa WATZ.
 
Yaani mwaka huu mataga mtakufa tu, chuki ya MPIGAJI NAMBA MOJA, bado mnazo tu, huyu mama hana akili hizo , kubalini tu, ndio maana unaona approach nyingi anazotumia ni tofauti na meko, zile zilikuwa za KIZANDIKI!!wananchi wapi hao?ila Mungu acha aitwe mungu, amefanya kitu cha maana sana kwa WATZ.
Uzalendo=Nationalism
 
Hiki chama cha siasa kinachoitwa Chadema kimejaa wanasiasa wanafiki na wajali matumbo yao. Hawana nia njema na taifa letu. Sio wa kuwakaribisha ikulu kabisa.

Kipindi taifa letu linapambana na janga la Korona mwaka jana walitoka bungeni na kutaka tuweke Lockdown. Walikuwa wakipotosha kuwa watu zaidi ya mia tano wanakufa na kuzikwa usiku.

Ndege zetu zilipokamatwa walifurahi na kupiga mayowe kana kwamba wao sio watanzania huku wakiliombea mabaya taifa letu ili ndege ziuzwe.

Kwa ufupi hii ni baadhi ya scenario zinazoonyesha kuwa hawa watu hawafai na sio wazalendo.

Hivyo haikupaswa kuwakaribisha kabisa ikulu maana ni chama hata wananchi walishajua hakifai. Umetusaliti wazalendo.
You live in the past brother!
 
Kwako uzalendo ni nini mkuu?

1. Mtu akikushauri usinunue ndege bila kujenga mfumo imara wa kuziendesha ukamkatalia simply kwa kuwa hazina iko chini yako ukanunua alafu ukaanza kupost hasara ya bilions kila mwaka na kwa kujua ubishi wako umekuponza ukadanganya na kujipa gawio akikucheka na kukudhihaki nani anakuwa sio mzalendo hapo? Kumbuka katika hela ulizonunulia hizo ndege hata yeye alichangia kwa kodi yake.

2. Bila kujali kafanya nini, kumpiga mwenzako risasi 30 kwa bunduki ya kivita kwa sababu tu mmepishana mawazo alafu aka savaivu kw shida shida huku ukizuia upatikanaji wa tiba yake wala ndugu na rafiki zake kumuombea dua apone, hii ndio definition ya uzalendo halisi kwako?

3. Unasema Chadema imejaa wanasiasa wanaojali matumbo yao, well, hivi umepitia ripoti ya CAG ambae ni mtu wako kabisa uliyemchagua kutoka katika kundi lako! umeona sehemu yoyote katika hela za serekali zimeliwa na matumbo ya walio CCM au Chadema?

4. Aliyezuia na kuvuruga masoko ya korosho na mazao mengine na kusababisha maisha ya watanzania mamilioni kuvurugika kabisa nii Chadema? Uzalendo kwako maana yake nini kwani Boss?
 
Uzalendo wa awamu 5 ilikuwa ndiooooo bila reasoning
 
Hiki chama cha siasa kinachoitwa Chadema kimejaa wanasiasa wanafiki na wajali matumbo yao. Hawana nia njema na taifa letu. Sio wa kuwakaribisha ikulu kabisa.

Kipindi taifa letu linapambana na janga la Korona mwaka jana walitoka bungeni na kutaka tuweke Lockdown. Walikuwa wakipotosha kuwa watu zaidi ya mia tano wanakufa na kuzikwa usiku.

Ndege zetu zilipokamatwa walifurahi na kupiga mayowe kana kwamba wao sio watanzania huku wakiliombea mabaya taifa letu ili ndege ziuzwe.

Kwa ufupi hii ni baadhi ya scenario zinazoonyesha kuwa hawa watu hawafai na sio wazalendo.

Hivyo haikupaswa kuwakaribisha kabisa ikulu maana ni chama hata wananchi walishajua hakifai. Umetusaliti wazalendo.

Baada ya kugundua ili nyuzi zako zipate wachangiaji humu ni jukwaani ni kuujadili cdm, basi kwa sasa umepata Chademaphobia kila uzi wako ni cdm. Na ukitaka kujua cdm ni habari kubwa, hebu anzisha uzi kuhusu TLP,ACT, CUF nk uone kama utapata hata wachangiaji 10. Yaani huyo mama kaamua kujitenga na siasa za yule dhalimu, anaachaje kuongea na chama kinachokubalika na wananchi bila nguvu ya dola?
 
Yatima hadeki ndugu yangu kwahiyo kubali tu kuwa mambo yamebadilika sanana nchi imepona.

Hongera mama yetu Mama Samia Suluhu Hassan.
Nanukuu "Adui yako akikusifia, jiulize umekosea wapi" mwisho wa kunukuu.
 
Back
Top Bottom