Rais Samia kukubali kukutana CHADEMA ni kuwasaliti Watanzania wazalendo

Rais Samia kukubali kukutana CHADEMA ni kuwasaliti Watanzania wazalendo

Hiki chama cha siasa kinachoitwa Chadema kimejaa wanasiasa wanafiki na wajali matumbo yao. Hawana nia njema na taifa letu. Sio wa kuwakaribisha ikulu kabisa.

Kipindi taifa letu linapambana na janga la Korona mwaka jana walitoka bungeni na kutaka tuweke Lockdown. Walikuwa wakipotosha kuwa watu zaidi ya mia tano wanakufa na kuzikwa usiku.

Ndege zetu zilipokamatwa walifurahi na kupiga mayowe kana kwamba wao sio watanzania huku wakiliombea mabaya taifa letu ili ndege ziuzwe.

Kwa ufupi hii ni baadhi ya scenario zinazoonyesha kuwa hawa watu hawafai na sio wazalendo.

Hivyo haikupaswa kuwakaribisha kabisa ikulu maana ni chama hata wananchi walishajua hakifai. Umetusaliti wazalendo.
Na bado utalalama sana.
 
Hiki chama cha siasa kinachoitwa Chadema kimejaa wanasiasa wanafiki na wajali matumbo yao. Hawana nia njema na taifa letu. Sio wa kuwakaribisha ikulu kabisa.

Kipindi taifa letu linapambana na janga la Korona mwaka jana walitoka bungeni na kutaka tuweke Lockdown. Walikuwa wakipotosha kuwa watu zaidi ya mia tano wanakufa na kuzikwa usiku.

Ndege zetu zilipokamatwa walifurahi na kupiga mayowe kana kwamba wao sio watanzania huku wakiliombea mabaya taifa letu ili ndege ziuzwe.

Kwa ufupi hii ni baadhi ya scenario zinazoonyesha kuwa hawa watu hawafai na sio wazalendo.

Hivyo haikupaswa kuwakaribisha kabisa ikulu maana ni chama hata wananchi walishajua hakifai. Umetusaliti wazalendo.
Hata Yesu alikuja kwa ajili ya wenye njaa na wanyonge!
 
Baada ya kugundua ili nyuzi zako zipate wachangiaji humu ni jukwaani ni kuujadili cdm, basi kwa sasa umepata Chademaphobia kila uzi wako ni cdm. Na ukitaka kujua cdm ni habari kubwa, hebu anzisha uzi kuhusu TLP,ACT, CUF nk uone kama utapata hata wachangiaji 10. Yaani huyo mama kaamua kujitenga na siasa za yule dhalimu, anaachaje kuongea na chama kinachokubalika na wananchi bila nguvu ya dola?
Bro usingechangia maana sio lazima. Ila Chadema sio wazelendo full stop.
 
Chadema ni wazalendo. Sema tu kosa kubwa walilofanya ni kujikwa kwenye Mwamba(rock or stone).JPM Alikuwa ni Jiwe walilokataa waashi ,kila aliyejikwa alisambaratika. Rejea UKAWA,CHADEMA, amerudi mbuge mmoja tu. Sasa CCM Wawe makini sana kuchafua jina la huyo Yohana.maana historia inaonye huwezi kuwa salama kwa kupigana na JIWE. Mwanamageuzi JPM ni leader aliyo litaja jina la Mungu Zaidi alimetegemea Mungu katika utawala wake. Wezi na wachawi,hawamkubali
 
Uzalendo=Nationalism
Acheni kudanganya watu, uzalendo hauhamisishwi, kwa kauli mbiu, bali huingia kwa watu wenyewe tu kutokana na mambo mengi anayofanyiwa na nchi yake, hujiulizi kwanini kwa wazungu UZALENDO kwa nchi zao ni mkubwa sana?yaani nchi inaweza kuingia vitani na nchi nyingine kisa raia wake mmoja ametendewa ndio sivyo??
Hapa mnakuja mnadanganywa eti kujiita mzalendo tayari umekuwa mzalendo, huku upigaji wa mali za umma uko pale pale, wale masikini unaowambia uzalendo hata panadol tu hospital hakuna?!!anayewaamsha usingizini atapewa majina mabaya, mala anatumika na MABEBERU!!
 
CCM(TANU/ASP) ingejaa wazalendo tangu tupate uhuru hii nchi ingekuwa mbali sana kwa maendeleo. Tusingekuwa hapa tulipo!

Wanasiasa karibu wote hapa Tz (kwa maoni yangu) ni wanafiki tu....at least kwa mantiki yako.
 
Acheni kudanganya watu, uzalendo hauhamisishwi, kwa kauli mbiu, bali huingia kwa watu wenyewe tu kutokana na mambo mengi anayofanyiwa na nchi yake, hujiulizi kwanini kwa wazungu UZALENDO kwa nchi zao ni mkubwa sana?yaani nchi inaweza kuingia vitani na nchi nyingine kisa raia wake mmoja ametendewa ndio sivyo??
Hapa mnakuja mnadanganywa eti kujiita mzalendo tayari umekuwa mzalendo, huku upigaji wa mali za umma uko pale pale, wale masikini unaowambia uzalendo hata panadol tu hospital hakuna?!!anayewaamsha usingizini atapewa majina mabaya, mala anatumika na MABEBERU!!
Naona kama unaenda nje ya mada.
 
Hiki chama cha siasa kinachoitwa Chadema kimejaa wanasiasa wanafiki na wajali matumbo yao. Hawana nia njema na taifa letu. Sio wa kuwakaribisha ikulu kabisa.

Kipindi taifa letu linapambana na janga la Korona mwaka jana walitoka bungeni na kutaka tuweke Lockdown. Walikuwa wakipotosha kuwa watu zaidi ya mia tano wanakufa na kuzikwa usiku.

Ndege zetu zilipokamatwa walifurahi na kupiga mayowe kana kwamba wao sio watanzania huku wakiliombea mabaya taifa letu ili ndege ziuzwe.

Kwa ufupi hii ni baadhi ya scenario zinazoonyesha kuwa hawa watu hawafai na sio wazalendo.

Hivyo haikupaswa kuwakaribisha kabisa ikulu maana ni chama hata wananchi walishajua hakifai. Umetusaliti wazalendo.
Si kwamba hauna akili... Hapana unazo tena zakutosha lakini kwa makusudi unaamua kuzitumia vibaya
 
Hiki chama cha siasa kinachoitwa Chadema kimejaa wanasiasa wanafiki na wajali matumbo yao. Hawana nia njema na taifa letu. Sio wa kuwakaribisha ikulu kabisa.

Kipindi taifa letu linapambana na janga la Korona mwaka jana walitoka bungeni na kutaka tuweke Lockdown. Walikuwa wakipotosha kuwa watu zaidi ya mia tano wanakufa na kuzikwa usiku.

Ndege zetu zilipokamatwa walifurahi na kupiga mayowe kana kwamba wao sio watanzania huku wakiliombea mabaya taifa letu ili ndege ziuzwe.

Kwa ufupi hii ni baadhi ya scenario zinazoonyesha kuwa hawa watu hawafai na sio wazalendo.

Hivyo haikupaswa kuwakaribisha kabisa ikulu maana ni chama hata wananchi walishajua hakifai. Umetusaliti wazalendo.
Nina uhakika ukikanyaga Milembe unalazwa
 
Niliposoma aya ya kwanza nikajua unawaongelea ccm maana mule mule yaani.
 
Rais anashughulika na watu waliochongea ndege kukamatwa? Waliofurahi watu wafe kwa korona? Hii sio sawa.
Mbona sisi tulikuwab tunashughulika na rais aliyekuwa akitukana wananchi na kufanya nchi kama duka lake?
 
Back
Top Bottom