Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na bado utalalama sana.Hiki chama cha siasa kinachoitwa Chadema kimejaa wanasiasa wanafiki na wajali matumbo yao. Hawana nia njema na taifa letu. Sio wa kuwakaribisha ikulu kabisa.
Kipindi taifa letu linapambana na janga la Korona mwaka jana walitoka bungeni na kutaka tuweke Lockdown. Walikuwa wakipotosha kuwa watu zaidi ya mia tano wanakufa na kuzikwa usiku.
Ndege zetu zilipokamatwa walifurahi na kupiga mayowe kana kwamba wao sio watanzania huku wakiliombea mabaya taifa letu ili ndege ziuzwe.
Kwa ufupi hii ni baadhi ya scenario zinazoonyesha kuwa hawa watu hawafai na sio wazalendo.
Hivyo haikupaswa kuwakaribisha kabisa ikulu maana ni chama hata wananchi walishajua hakifai. Umetusaliti wazalendo.
Hata Yesu alikuja kwa ajili ya wenye njaa na wanyonge!Hiki chama cha siasa kinachoitwa Chadema kimejaa wanasiasa wanafiki na wajali matumbo yao. Hawana nia njema na taifa letu. Sio wa kuwakaribisha ikulu kabisa.
Kipindi taifa letu linapambana na janga la Korona mwaka jana walitoka bungeni na kutaka tuweke Lockdown. Walikuwa wakipotosha kuwa watu zaidi ya mia tano wanakufa na kuzikwa usiku.
Ndege zetu zilipokamatwa walifurahi na kupiga mayowe kana kwamba wao sio watanzania huku wakiliombea mabaya taifa letu ili ndege ziuzwe.
Kwa ufupi hii ni baadhi ya scenario zinazoonyesha kuwa hawa watu hawafai na sio wazalendo.
Hivyo haikupaswa kuwakaribisha kabisa ikulu maana ni chama hata wananchi walishajua hakifai. Umetusaliti wazalendo.
Bro usingechangia maana sio lazima. Ila Chadema sio wazelendo full stop.Baada ya kugundua ili nyuzi zako zipate wachangiaji humu ni jukwaani ni kuujadili cdm, basi kwa sasa umepata Chademaphobia kila uzi wako ni cdm. Na ukitaka kujua cdm ni habari kubwa, hebu anzisha uzi kuhusu TLP,ACT, CUF nk uone kama utapata hata wachangiaji 10. Yaani huyo mama kaamua kujitenga na siasa za yule dhalimu, anaachaje kuongea na chama kinachokubalika na wananchi bila nguvu ya dola?
Acheni kudanganya watu, uzalendo hauhamisishwi, kwa kauli mbiu, bali huingia kwa watu wenyewe tu kutokana na mambo mengi anayofanyiwa na nchi yake, hujiulizi kwanini kwa wazungu UZALENDO kwa nchi zao ni mkubwa sana?yaani nchi inaweza kuingia vitani na nchi nyingine kisa raia wake mmoja ametendewa ndio sivyo??Uzalendo=Nationalism
Rais anashughulika na wote.Mfano haufanani.
Naona kama unaenda nje ya mada.Acheni kudanganya watu, uzalendo hauhamisishwi, kwa kauli mbiu, bali huingia kwa watu wenyewe tu kutokana na mambo mengi anayofanyiwa na nchi yake, hujiulizi kwanini kwa wazungu UZALENDO kwa nchi zao ni mkubwa sana?yaani nchi inaweza kuingia vitani na nchi nyingine kisa raia wake mmoja ametendewa ndio sivyo??
Hapa mnakuja mnadanganywa eti kujiita mzalendo tayari umekuwa mzalendo, huku upigaji wa mali za umma uko pale pale, wale masikini unaowambia uzalendo hata panadol tu hospital hakuna?!!anayewaamsha usingizini atapewa majina mabaya, mala anatumika na MABEBERU!!
Si kwamba hauna akili... Hapana unazo tena zakutosha lakini kwa makusudi unaamua kuzitumia vibayaHiki chama cha siasa kinachoitwa Chadema kimejaa wanasiasa wanafiki na wajali matumbo yao. Hawana nia njema na taifa letu. Sio wa kuwakaribisha ikulu kabisa.
Kipindi taifa letu linapambana na janga la Korona mwaka jana walitoka bungeni na kutaka tuweke Lockdown. Walikuwa wakipotosha kuwa watu zaidi ya mia tano wanakufa na kuzikwa usiku.
Ndege zetu zilipokamatwa walifurahi na kupiga mayowe kana kwamba wao sio watanzania huku wakiliombea mabaya taifa letu ili ndege ziuzwe.
Kwa ufupi hii ni baadhi ya scenario zinazoonyesha kuwa hawa watu hawafai na sio wazalendo.
Hivyo haikupaswa kuwakaribisha kabisa ikulu maana ni chama hata wananchi walishajua hakifai. Umetusaliti wazalendo.
Wanyonge na wazalendo ni wachimba chimvi tuu mkuuHivi uzalendo kwa lugha ya kiingereza ni nini?
Hivi uzalendo kwa lugha ya kiingereza ni nini?
Nina uhakika ukikanyaga Milembe unalazwaHiki chama cha siasa kinachoitwa Chadema kimejaa wanasiasa wanafiki na wajali matumbo yao. Hawana nia njema na taifa letu. Sio wa kuwakaribisha ikulu kabisa.
Kipindi taifa letu linapambana na janga la Korona mwaka jana walitoka bungeni na kutaka tuweke Lockdown. Walikuwa wakipotosha kuwa watu zaidi ya mia tano wanakufa na kuzikwa usiku.
Ndege zetu zilipokamatwa walifurahi na kupiga mayowe kana kwamba wao sio watanzania huku wakiliombea mabaya taifa letu ili ndege ziuzwe.
Kwa ufupi hii ni baadhi ya scenario zinazoonyesha kuwa hawa watu hawafai na sio wazalendo.
Hivyo haikupaswa kuwakaribisha kabisa ikulu maana ni chama hata wananchi walishajua hakifai. Umetusaliti wazalendo.
Patriotism; NationalismHivi uzalendo kwa lugha ya kiingereza ni nini?
Mchawi mpe mwanao amlee!Rais anashughulika na watu waliochongea ndege kukamatwa? Waliofurahi watu wafe kwa korona? Hii sio sawa.
Watanzania wa wapi mpo hivi daah inasikitisha sana aiseeRais anashughulika na watu waliochongea ndege kukamatwa? Waliofurahi watu wafe kwa korona? Hii sio sawa.
Mbona sisi tulikuwab tunashughulika na rais aliyekuwa akitukana wananchi na kufanya nchi kama duka lake?Rais anashughulika na watu waliochongea ndege kukamatwa? Waliofurahi watu wafe kwa korona? Hii sio sawa.