Rais Samia kukubali kukutana CHADEMA ni kuwasaliti Watanzania wazalendo

Rais Samia kukubali kukutana CHADEMA ni kuwasaliti Watanzania wazalendo

Hiki chama cha siasa kinachoitwa Chadema kimejaa wanasiasa wanafiki na wajali matumbo yao. Hawana nia njema na taifa letu. Sio wa kuwakaribisha ikulu kabisa.

Kipindi taifa letu linapambana na janga la Korona mwaka jana walitoka bungeni na kutaka tuweke Lockdown. Walikuwa wakipotosha kuwa watu zaidi ya mia tano wanakufa na kuzikwa usiku.

Ndege zetu zilipokamatwa walifurahi na kupiga mayowe kana kwamba wao sio watanzania huku wakiliombea mabaya taifa letu ili ndege ziuzwe.

Kwa ufupi hii ni baadhi ya scenario zinazoonyesha kuwa hawa watu hawafai na sio wazalendo.

Hivyo haikupaswa kuwakaribisha kabisa ikulu maana ni chama hata wananchi walishajua hakifai. Umetusaliti wazalendo.
Nyie mambumbumbu hamjui hii nchi ni ya kidemokrasia na vyama vingi vipo kikatiba.
Sijui mna akili au ukoko kichwani?

Amani ya nchi ni majadiliano si kutishana.
 
Hiki chama cha siasa kinachoitwa Chadema kimejaa wanasiasa wanafiki na wajali matumbo yao. Hawana nia njema na taifa letu. Sio wa kuwakaribisha ikulu kabisa.

Kipindi taifa letu linapambana na janga la Korona mwaka jana walitoka bungeni na kutaka tuweke Lockdown. Walikuwa wakipotosha kuwa watu zaidi ya mia tano wanakufa na kuzikwa usiku.

Ndege zetu zilipokamatwa walifurahi na kupiga mayowe kana kwamba wao sio watanzania huku wakiliombea mabaya taifa letu ili ndege ziuzwe.

Kwa ufupi hii ni baadhi ya scenario zinazoonyesha kuwa hawa watu hawafai na sio wazalendo.

Hivyo haikupaswa kuwakaribisha kabisa ikulu maana ni chama hata wananchi walishajua hakifai. Umetusaliti wazalendo.
Hivi wewe utaendekeza chuki za kiitikadi mpaka lini? Wenzio wanapotaka kuleta mwafaka na amani ya kweli ya kitaifa wewe roho inakuuma. Hata hivyo huna madhara maana wenye maamuzi wameshamaliza. Utabaki na roho yako ya korosho na itakuathiri mwenyewe!!!
 
Hiki chama cha siasa kinachoitwa Chadema kimejaa wanasiasa wanafiki na wajali matumbo yao. Hawana nia njema na taifa letu. Sio wa kuwakaribisha ikulu kabisa.

Kipindi taifa letu linapambana na janga la Korona mwaka jana walitoka bungeni na kutaka tuweke Lockdown. Walikuwa wakipotosha kuwa watu zaidi ya mia tano wanakufa na kuzikwa usiku.

Ndege zetu zilipokamatwa walifurahi na kupiga mayowe kana kwamba wao sio watanzania huku wakiliombea mabaya taifa letu ili ndege ziuzwe.

Kwa ufupi hii ni baadhi ya scenario zinazoonyesha kuwa hawa watu hawafai na sio wazalendo.

Hivyo haikupaswa kuwakaribisha kabisa ikulu maana ni chama hata wananchi walishajua hakifai. Umetusaliti wazalendo.
Sijui tukuweke kundi gani? Ila elewa alie kuwa ana tumia ubabe kuliko demokrasia amesha enda zake. Na haijulikani amewekwa upande gani.
Hebu muacheni Mh. Rais Samia atengeneze legacy yake pia aandae maisha yake ya baadae na Muumba wake.
Enzi za kuua na kuweka watu kwenye viroba zimekwisha. Tuna taka Tanzania mpya. Ya watu wanao cheka. Sio machozi tena. Maana Mungu amesha futa machozi yetu kwa kutuletea Mama anae jua uchungu wa mwana.
 
Hiki chama cha siasa kinachoitwa Chadema kimejaa wanasiasa wanafiki na wajali matumbo yao. Hawana nia njema na taifa letu. Sio wa kuwakaribisha ikulu kabisa.

Kipindi taifa letu linapambana na janga la Korona mwaka jana walitoka bungeni na kutaka tuweke Lockdown. Walikuwa wakipotosha kuwa watu zaidi ya mia tano wanakufa na kuzikwa usiku.

Ndege zetu zilipokamatwa walifurahi na kupiga mayowe kana kwamba wao sio watanzania huku wakiliombea mabaya taifa letu ili ndege ziuzwe.

Kwa ufupi hii ni baadhi ya scenario zinazoonyesha kuwa hawa watu hawafai na sio wazalendo.

Hivyo haikupaswa kuwakaribisha kabisa ikulu maana ni chama hata wananchi walishajua hakifai. Umetusaliti wazalendo.
Ingekuwa Rais ana upeo mdogo kama wa kwako, angeweza kupoteza muda kufikiria ushauri wako. Lakini kwa sababu Mh. Samia ni mwenye akili timamu, hawezi kuwa na muda hata wa kusoma hii takataka uliyoiweka hapa.

Unaweza kuendelea na ujinga mpaka siku ya kifo chako au ukaamua kuachana na ujinga, ukajiunga na wenye akili.
 
Uzalendo ulienda na mwendazake.
Utaifa na umoja wa kitaifa ndiyo uliobaki.

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Nyie mnaojivika majina ya uzalendo ndiyo waharibifu wa hii nchi afu hakuna mzalendo mbaguzi.
 
Kwako uzalendo ni nini mkuu?

1. Mtu akikushauri usinunue ndege bila kujenga mfumo imara wa kuziendesha ukamkatalia simply kwa kuwa hazina iko chini yako ukanunua alafu ukaanza kupost hasara ya bilions kila mwaka na kwa kujua ubishi wako umekuponza ukadanganya na kujipa gawio akikucheka na kukudhihaki nani anakuwa sio mzalendo hapo? Kumbuka katika hela ulizonunulia hizo ndege hata yeye alichangia kwa kodi yake.

2. Bila kujali kafanya nini, kumpiga mwenzako risasi 30 kwa bunduki ya kivita kwa sababu tu mmepishana mawazo alafu aka savaivu kw shida shida huku ukizuia upatikanaji wa tiba yake wala ndugu na rafiki zake kumuombea dua apone, hii ndio definition ya uzalendo halisi kwako?

3. Unasema Chadema imejaa wanasiasa wanaojali matumbo yao, well, hivi umepitia ripoti ya CAG ambae ni mtu wako kabisa uliyemchagua kutoka katika kundi lako! umeona sehemu yoyote katika hela za serekali zimeliwa na matumbo ya walio CCM au Chadema?

4. Aliyezuia na kuvuruga masoko ya korosho na mazao mengine na kusababisha maisha ya watanzania mamilioni kuvurugika kabisa nii Chadema? Uzalendo kwako maana yake nini kwani Boss?
Sasa hivi, kuwa mjinga, kuwa mtu wa ndiyoooo, mnafiki, mpiga vigelegele kushangilia watawala, ndiyo uzalendo.

CCM = UJINGA (TWAWEZA)
CCM = UZALENDO

Therefore

UJINGA = UZALENDO
 
Yaani wewe unaakili kuizidi serikali na hasa Rais???

Acha ufitini usio na maana,tambua CHADEMA,ccm,act,cuf,nk wote Ni watanzania na tunahaki sawa.
 
Unamaanisha nini?
Nenda kwenye kaburi la dhalimu umuulize kwanini aliachana na mradi wa gas akaamua kuanzisha umeme wa maji. Atakueleza vizuri ni chama gani kiliuza hiyo gas dogo.
 
Hiki chama cha siasa kinachoitwa Chadema kimejaa wanasiasa wanafiki na wajali matumbo yao. Hawana nia njema na taifa letu. Sio wa kuwakaribisha ikulu kabisa.

Kipindi taifa letu linapambana na janga la Korona mwaka jana walitoka bungeni na kutaka tuweke Lockdown. Walikuwa wakipotosha kuwa watu zaidi ya mia tano wanakufa na kuzikwa usiku.

Ndege zetu zilipokamatwa walifurahi na kupiga mayowe kana kwamba wao sio watanzania huku wakiliombea mabaya taifa letu ili ndege ziuzwe.

Kwa ufupi hii ni baadhi ya scenario zinazoonyesha kuwa hawa watu hawafai na sio wazalendo.

Hivyo haikupaswa kuwakaribisha kabisa ikulu maana ni chama hata wananchi walishajua hakifai. Umetusaliti wazalendo.
Kibaraka wa madikteta wewe
 
Hiki chama cha siasa kinachoitwa Chadema kimejaa wanasiasa wanafiki na wajali matumbo yao. Hawana nia njema na taifa letu. Sio wa kuwakaribisha ikulu kabisa.

Kipindi taifa letu linapambana na janga la Korona mwaka jana walitoka bungeni na kutaka tuweke Lockdown. Walikuwa wakipotosha kuwa watu zaidi ya mia tano wanakufa na kuzikwa usiku.

Ndege zetu zilipokamatwa walifurahi na kupiga mayowe kana kwamba wao sio watanzania huku wakiliombea mabaya taifa letu ili ndege ziuzwe.

Kwa ufupi hii ni baadhi ya scenario zinazoonyesha kuwa hawa watu hawafai na sio wazalendo.

Hivyo haikupaswa kuwakaribisha kabisa ikulu maana ni chama hata wananchi walishajua hakifai. Umetusaliti wazalendo.
Usikonde hao Chadema watafunikwa na Chauma kwenye huo mkutano [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom