Rais Samia kukubali kukutana CHADEMA ni kuwasaliti Watanzania wazalendo

Rais Samia kukubali kukutana CHADEMA ni kuwasaliti Watanzania wazalendo

We huna akili. Chadema walitaka shirika la ndege life kabisa Kama ambavyo watanzania wengi wenye akili wanataka shirika life Mana ni mzigo na hasara Kama ilivyobainishwa na cag. Ndege za fast jet na precision zinatosha kuendesha airline industry. Hivyo chadema ni wazalendo wa kweli
 
Chadema sio wa kuwachekea.
Wakukutima kuuwa watu na kupiga risasi kafa yeye.mama hatumi kuuwa watu anamuogopa Mungu haswa. Si Kama lile Marehemu lilivyokuwa linafiki mchana kanisani usiku unauwa Lililowafundisha UZALENDO wa kipumbavu. Mama mchana msikitini na usiku msikitini.
 
Hiki chama cha siasa kinachoitwa Chadema kimejaa wanasiasa wanafiki na wajali matumbo yao. Hawana nia njema na taifa letu. Sio wa kuwakaribisha ikulu kabisa.

Kipindi taifa letu linapambana na janga la Korona mwaka jana walitoka bungeni na kutaka tuweke Lockdown. Walikuwa wakipotosha kuwa watu zaidi ya mia tano wanakufa na kuzikwa usiku.

Mkuu Idugende

Leo hii tupo mwaka 2021, tunapaswa kujuwa kwamba mafanikio hayotakani na mashindano ya nguvu, cheo, pesa bali mafanikio wanaweza kupatikana penye mashindano ya fikra njema.

Ahsante
 
Kwako uzalendo ni nini mkuu?

1. Mtu akikushauri usinunue ndege bila kujenga mfumo imara wa kuziendesha ukamkatalia simply kwa kuwa hazina iko chini yako ukanunua alafu ukaanza kupost hasara ya bilions kila mwaka na kwa kujua ubishi wako umekuponza ukadanganya na kujipa gawio akikucheka na kukudhihaki nani anakuwa sio mzalendo hapo? Kumbuka katika hela ulizonunulia hizo ndege hata yeye alichangia kwa kodi yake.

2. Bila kujali kafanya nini, kumpiga mwenzako risasi 30 kwa bunduki ya kivita kwa sababu tu mmepishana mawazo alafu aka savaivu kw shida shida huku ukizuia upatikanaji wa tiba yake wala ndugu na rafiki zake kumuombea dua apone, hii ndio definition ya uzalendo halisi kwako?

3. Unasema Chadema imejaa wanasiasa wanaojali matumbo yao, well, hivi umepitia ripoti ya CAG ambae ni mtu wako kabisa uliyemchagua kutoka katika kundi lako! umeona sehemu yoyote katika hela za serekali zimeliwa na matumbo ya walio CCM au Chadema?

4. Aliyezuia na kuvuruga masoko ya korosho na mazao mengine na kusababisha maisha ya watanzania mamilioni kuvurugika kabisa nii Chadema? Uzalendo kwako maana yake nini kwani Boss?
Amesahau kuwa mama alisema na akarudia kuwa huu siyo wakati wa kutazama yaliyopita, bali ni wakati wa kuponya majeraha na kutazama mbele kwa matumaini. Kumbuka pia mleta mada agenda nyingi zilizotekelezwa na watawala wako ziliasisiwa na wapinzani ikiwemo elimu bure. Wapinzani ni think tank la nchi. Ndiyo maana mama anawahitaji.
 
Rais anashughulika na watu waliochongea ndege kukamatwa? Waliofurahi watu wafe kwa korona? Hii sio sawa.

Hizo ni za kukamata hata leo zisiendelee kututia hasara. Na kwa taarifa yako huyo mama hafagilii kabisa hayo mapipa.
 
Dogo, tunahitaji vyama ambavyo vinatetea interest za taifa letu. Hayo mengine ni porojo zako tu.
Kama ccm mlilivyotetea interest ya Gas, hatimaye yule dhalimu akasema Gas yetu imeuzwa na wajanja.
 
Hiki chama cha siasa kinachoitwa Chadema kimejaa wanasiasa wanafiki na wajali matumbo yao. Hawana nia njema na taifa letu. Sio wa kuwakaribisha ikulu kabisa.

Kipindi taifa letu linapambana na janga la Korona mwaka jana walitoka bungeni na kutaka tuweke Lockdown. Walikuwa wakipotosha kuwa watu zaidi ya mia tano wanakufa na kuzikwa usiku.

Ndege zetu zilipokamatwa walifurahi na kupiga mayowe kana kwamba wao sio watanzania huku wakiliombea mabaya taifa letu ili ndege ziuzwe.

Kwa ufupi hii ni baadhi ya scenario zinazoonyesha kuwa hawa watu hawafai na sio wazalendo.

Hivyo haikupaswa kuwakaribisha kabisa ikulu maana ni chama hata wananchi walishajua hakifai. Umetusaliti wazalendo.
Wewe na Kinuju kifo cha Dikteta kimewakosesha fursa za upigaji mlizokuwa nazo, poleni sana.
 
We utakuwa mwita au silinde😁😁 maana mkisikia cdm kukutana na viongozi wa serikali hampendi. Sababu mnazijua.
 
Back
Top Bottom