Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
- Thread starter
- #21
Haya mambo ya vikwazo dhidi ya wawekezaji na uwekezaji ndo mambo ambayo mama hayataki. Naamini kwenye bajeti hii ya mwaka huu wizara za Fedha, Uwekezaji pamoja na ya Viwanda na Biashara , watakuja na Dira mpya ili kufanikisha Dira aliyotoa Mama kwenye hayaTena hao TOTAL, kabla ya kwenda Msumbiji walianzia hapa, vikwazo vikawa vingi mno kama kawaida yetu!!ndio maana juzi mama Samia alitoa maagizo huo mchakato wa LNG, inabidi serikali ifikie uamuzi liishe!!!na tatizo letu wanasiasa ndio huwa wanajifanya kuwa mbele zaidi kuliko wataalam, kutokana na wataalam wengi kutoaminika!!