Rais Samia, kuna Fursa ipo kwetu kwenye Uchumi wa Gesi, ichangamkie haraka

Rais Samia, kuna Fursa ipo kwetu kwenye Uchumi wa Gesi, ichangamkie haraka

Kumbukeni hapo nyuma Zanziba nayo ilisema suala la mafuta na rasilimali zitolewe kwenye Muungano ambapo ilionekana pia ni ubinafsi uliopitiliza na vyote vikatolewa sasa kweli yatafanyika katika kipindi hiki?
 
Tatizo la Africa ni watawala walafi

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
Sio walafi, wajinga...bora mlafi kuliko mjinga. Mtu anaingia mkataba unaumiza vizazi na vizazi just bcz yeye na familia yake wameingiza...ndio maana wazungu wanatuona wapumbafu tu. Mwafrika kutumika na wazungu anaona ujiko as if yeye ataishi milele. Wajiulize nyerere angeingia mikataba mibovu wao wangekuta nini.?
 
Nigeria wamenufaika gdp yao inapanda kwa kasi sasa hivi ni no 1 africa . Wamejenga miundombinu mingi na biashara nyingi zimekuwa ikiwemo dangote iliyowekeza miradi mbalimbali africa .

Tatizo Ina viongozi mafisadi
Ndivyo unajiliwaza siyo!
 
Kwani wewe unaamini kuna mzawa anaweza kumiliki kitalu cha gesi na kufanya exploitation?

Hao wanaomiliki vitalu na kufanya exploration wanafanya kipya gani kitakachomshinda mzawa mwenye akili zake kufanya ili afanikishe? Acha kujidharau, fungua akili yako, ninyi ndio mnao tumiwa na wazungu kutuibia kwasababu you lack confidence!!
 
Ushauri mzuri, muhimu kwenye mikataba ndio tuwekwe wazi isifichwe, hao jamaa wa TOTAL kama watakuja watafanya mengi kwa serikali yetu ikiwemo kulipa kodi lakini hata kwa watanzania naamini watatoa ajira na kuongeza mzunguko wa pesa.

Lakini tatizo la viongozi wetu waliopita ni kutokuwa waaminifu wanaposaini hiyo mikataba, wamekuwa wanafanya hivyo kwa kuangalia maslahi yao binafsi zaidi ya watanzania kwa ujumla kitu ambacho sio sahihi.

Hapa ningeshauri tu kwasababu nia ya kurudisha imani ya wawekezaji tunayo, basi tuanze safari mpya sasa, serikali ya Samia itengeneze njia ambayo itakuwa somo kwa viongozi wengine wajao kwa kuweka siri terms za kwenye hiyo mikataba wananchi waione, kwasababu hizo resources ni mali ya watanzania, sio viongozi wa serikalini.
Mkataba wako na mwenye nyumba ulishaawahi kuuweka wazi

Sent from my SM-A015F using JamiiForums mobile app
 
Ushauri mzuri, muhimu kwenye mikataba ndio tuwekwe wazi isifichwe, hao jamaa wa TOTAL kama watakuja watafanya mengi kwa serikali yetu ikiwemo kulipa kodi lakini hata kwa watanzania naamini watatoa ajira na kuongeza mzunguko wa pesa.

Lakini tatizo la viongozi wetu waliopita ni kutokuwa waaminifu wanaposaini hiyo mikataba, wamekuwa wanafanya hivyo kwa kuangalia maslahi yao binafsi zaidi ya watanzania kwa ujumla kitu ambacho sio sahihi.

Hapa ningeshauri tu kwasababu nia ya kurudisha imani ya wawekezaji tunayo, basi tuanze safari mpya sasa, serikali ya Samia itengeneze njia ambayo itakuwa somo kwa viongozi wengine wajao kwa kuweka siri terms za kwenye hiyo mikataba wananchi waione, kwasababu hizo resources ni mali ya watanzania, sio viongozi wa serikalini.
Hii aione Waziri wa Uwekezaji
 
Back
Top Bottom