Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hii ni dalili ya kuzidiwa na mambo na kukata tamaa.
Maji shingoni, huku CHAWA wanamdanganya ya kuwa mitano Tena, ni ukichaa kusema mitano ,WAKATI MITATU INAMWANGAISHA 🤣🤣🤣🤣😅😅😅 TETEE TETEE TETEE🤣🤣😅🤣😅 Mama Mbwa MPUMBAVU 🤸🤸🤸
 

Yaani sasa kila Kitu Kipya kinaitwa Samia .... akina Lukas na MACHAWA wengine itabidi sasa muanze kuwapa Watoto wetu Mnzaowazaa jina la Samia ili kumridhisha Maza.
 
Kama vipi Hawa uchwara wafanye collabo Moja ya "chura kiziwi featuring Mwana_Fatuma" na waiite "mbwa mpumbavu"
 
Mjukuu wa baba wa taifa la Zanzibar Fatma Karume anesema Mbwa ni mnyama anayefugika na kukulinda lakini Chawa anakunyonya Damu

Karume anesema hakunaga Chawa royal lakini Mbwa ni royal

Amezungumza Ukurasani X

Kwako Lucas 😂😂
Mjukuu ana chuki na wapemba, kawazidi pakubwa, wao walikuwa mkuu wa mkoa, mpemba kawa rais kamili
 
Kunywa maji baridi ushushe munkari, la sivyo mishipa ya fahamu yaweza kupasuka. Maisha ndiyo haya haya
 
Kwa hiyo sasa hivi hatuna shida kubwa?
😂 😂 😂 Aisee
Nyie mliokuwq mnaishi kumtegemea mwanadamu ndiyo mna shida toka alipokufa Machi 2021. Vunja matanga jishughukishe na uzalishaji mali, fursa zipo kibao. Mzee wa Chato hafufuki kamwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…