Kulwa Jilala
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 3,891
- 8,448
Mbwa ni nani?Maendelwo ni yapi
Ndege za Magufuli huzioni?
Lisu anazibwekea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbwa ni nani?Maendelwo ni yapi
Kwabini tusiringe? Unakuja mgeni kwa mwenye nyumba balafu unataka utambe kwake?
Jogoo la shamba haliwiki mjini.
Ukiwa huyaoni anza kunanihii tuMbwa ni nani?Maendelwo ni yapi
Nianze kubweka au,Aamzishe mradi wake na ubunifu wake tuone sio vya kurithiUkiwa huyaoni anza kunanihii tu
wewe bwabwaja tu, "Samia Great Railway" unaijuwa?Nianze kubweka au,Aamzishe mradi wake na ubunifu wake tuone sio vya kurithi
wew akili yako inaishia present , ndio maana mnasaini mikataba isiyo na kikomo mkihisi kesho ni sawa na leoKukata tamaa mtu yupo ikulu,amiri jeshi mkuu,sera zake zinakuathiri, acheni utaahira huko unyumbuni
kbs ni sw na dem kumtukana sponsor wkt ndo anaemlishaHuyo so called Mbwa halipi Kodi...., Kama analipa basi sio Mpumbavu bali anayemwita mpumbavu ndio Mjinga (sababu hajui maana)
watanganyika ndo wametukanwa , endelea kujifurahisha tuWewe ni moja ya wapumbavu waliobaki JF. Watu wenye akili wote tunajua Mbwa mpumbavu ni nani. except wewe pekee hujui
Nani alianzisha Tanganyika?watanganyika ndo wametukanwa , endelea kujifurahisha tu
wew ndo msemaji wa watu wenye akili ?Nimekuuliza swali. Je wewe ni mmoja wa watu ninaowaongelea?
Nimesema Watu wote wenye akili wanajua Mbwa mpumbavu ni nani.
Fumbo mfumbie mjinga mwelevu ataling'amua. Je, wewe ni kati ya watu ninaowaongelea?
Watu wenye akili tunajuana. Je na wewe unanijua?wew ndo msemaji wa watu wenye akili ?
kuna umihumu gan wa kulipa kodi km kila mtu anatakiwa kutenda kama rais au waziri au mbunge au mtendaj ?Kama umeshindwa kujenga familia yako, usitegemee watu wakusaidie.
24/7 upo JF unategemea nani atakufanyia kazi 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣