Pre GE2025 Rais Samia: Kuna Mbwa Mpumbavu anabwekea maendeleo yetu
Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwabini tusiringe? Unakuja mgeni kwa mwenye nyumba balafu unataka utambe kwake?

Jogoo la shamba haliwiki mjini.

Sawa. Waachieni wanaoweza kazi ... nyie kazi yenu ni mdomo tu, kuvaa dhahabu, mikanga na ushungi. Tuachieni tunaweza kazi tufanye kazi.
 
Lilikuwa ni swala la muda tu kabla maji hayajamfika shingoni, ni ishara kwamba huko mbele kuna nyakati ngumu sana.
 
Mkapa aliwaita WAPUMBAVU ila kimyaaaaaa, kweli MAMBWA hayana akili
Hivyo yanavyobweka leo, kumbe udini tuuuu,
Mama ni mpaka 2030000000 hukooooo
 
Kukata tamaa mtu yupo ikulu,amiri jeshi mkuu,sera zake zinakuathiri, acheni utaahira huko unyumbuni
wew akili yako inaishia present , ndio maana mnasaini mikataba isiyo na kikomo mkihisi kesho ni sawa na leo
 
Huyo so called Mbwa halipi Kodi...., Kama analipa basi sio Mpumbavu bali anayemwita mpumbavu ndio Mjinga (sababu hajui maana)
kbs ni sw na dem kumtukana sponsor wkt ndo anaemlisha
 
Nimekuuliza swali. Je wewe ni mmoja wa watu ninaowaongelea?
Nimesema Watu wote wenye akili wanajua Mbwa mpumbavu ni nani.

Fumbo mfumbie mjinga mwelevu ataling'amua. Je, wewe ni kati ya watu ninaowaongelea?
wew ndo msemaji wa watu wenye akili ?
 
Kama umeshindwa kujenga familia yako, usitegemee watu wakusaidie.
24/7 upo JF unategemea nani atakufanyia kazi 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
kuna umihumu gan wa kulipa kodi km kila mtu anatakiwa kutenda kama rais au waziri au mbunge au mtendaj ?
 
Back
Top Bottom