Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Kwahiyo kumuita mwanachadema mbwa si tusi.Mbeya ni wale wa upande mwingine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo kumuita mwanachadema mbwa si tusi.Mbeya ni wale wa upande mwingine
Chawa wa mama.Mwambie mama kuna mbwa kaanza kubweka Ngorongoro
Haikubaliki, mama yake anahusikaje kwenye hili kusanyiko la mambwa!Leo ni zsmu yako kuniita mbwa ila siku nikimuita mama yako mbwa koko usikasirike.
Maishani huwezi kununa muda wote kuna vicheko na bashasha pia. Huwezi kuwa unalalamika tu kila awamu wewe ni kutoa kasoro tu, utakufa siku sio zako mkuu.Hii ni dalili ya kuzidiwa na mambo na kukata tamaa.
Inferiority complex zinatusumbua. Mbwa ni wale waliotengeneza habari feki kwamba DPW wamepata hasara hapo bandarini.Mbwa ni sisi wa Tanganyika siyo? kuna kitu mama anatafuta
Mkuu, kwa hiyo 4R hazina uhalisia?..maridhiano ndio kuita wenzake MBWA?
Ule wimbo ulipangwa na mama akapanga yake kuongezea nyama.Acha uongo kijana, hivi kwanini mnapenda kugeuza maneno ya mtu aliyosema na kuyatia maana yako tofauti ili kupotosha..!!
Ule ni mstari wa mwisho wa nyimbo ya free style ya Mwana FA alipoimba pale Kizimkazi kwa kuombwa just kuleta burudani kidogo pale katika sherehe tu, wala haina uhusiano kabisa na mambo ya kisiasa, ni nyimbo tu, acha uongo wewe..!
Kama by mwaka 2020 alikuwa ananyanga'anya wenye mabillions NMB na CRDB, leo angekuwa ananyang'anya wenye makumi ya millions.Mkuu, tungekuwa na shida kivipi? ebu fafanua kwa manuufaa ya UMAA