Tony Cipriano
JF-Expert Member
- Nov 17, 2022
- 2,139
- 5,109
Yeye ndio chanzo cha yote haya uporaji wa Oct 2020Mtanikumbuka 😂😂😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeye ndio chanzo cha yote haya uporaji wa Oct 2020Mtanikumbuka 😂😂😂😂
Samia anatudharau sana WatanganyikaWatanganyika wamefikia kuitwa mbwa wapumbavu?! Kweli?!!!
Hii comment isindikizwe na kibao cha Yahaya by Comando Jide 😂😂Hata km sio kwa style hii, ana njaa za kiwaki master mind wa mchongo.
Tena sahivi kawa uchwaraaa kabisaa.
maneno yameanza kumtoka Hahaha yaani wapiga kura tumekuwa mbwa duuh hii confidence huwa anaitoa wapi? Au kuna watu wameshikilia uhai wao? Kwamba hawatokufa?Rais Samia alitoa kauli hiyo wakati alipo muomba Naibu waziri wa Sanaa na michezo maarufu kama Mwana Fa kuimba mashairi wakati akitaka kuanza kuongea na wana Zanzibar katika uzinduzi wa Suluhu Sports Club.
katika sehemu aliyoimba Mwana FA ambaye ni Naibu Waziri wa Sanaa na Michezo alisema "mbwa mpumbavu ndiyo anaweza bwekea ndege". Baada ya hapo Rais Samia ndiyo akaongezea kusema Kuna Mbwa Mpumbavu anabwekea maendeleo yetu.
Huyo mbona kashapoteza kitambo kule X wanampiga spana kwasababu mjinga.FA anapoteza credit kwa waja kirahisi hivii, kumbe nae ni emptu mind.
Woiiiiiiih.
Safi sana FA piga hela ondoka,Hata km sio kwa style hii, ana njaa za kiwaki master mind wa mchongo.
Tena sahivi kawa uchwaraaa kabisaa.
Mbwa ni nani?Maendelwo ni yapiRais Samia alitoa kauli hiyo wakati alipo muomba Naibu waziri wa Sanaa na michezo maarufu kama Mwana Fa kuimba mashairi wakati akitaka kuanza kuongea na wana Zanzibar katika uzinduzi wa Suluhu Sports Club.
katika sehemu aliyoimba Mwana FA ambaye ni Naibu Waziri wa Sanaa na Michezo alisema "mbwa mpumbavu ndiyo anaweza bwekea ndege". Baada ya hapo Rais Samia ndiyo akaongezea kusema Kuna Mbwa Mpumbavu anabwekea maendeleo yetu.
Watanganyika wamebatizwa jina jipya.Rais Samia alitoa kauli hiyo wakati alipo muomba Naibu waziri wa Sanaa na michezo maarufu kama Mwana Fa kuimba mashairi wakati akitaka kuanza kuongea na wana Zanzibar katika uzinduzi wa Suluhu Sports Club.
katika sehemu aliyoimba Mwana FA ambaye ni Naibu Waziri wa Sanaa na Michezo alisema "mbwa mpumbavu ndiyo anaweza bwekea ndege". Baada ya hapo Rais Samia ndiyo akaongezea kusema Kuna Mbwa Mpumbavu anabwekea maendeleo yetu.
Amshukuru mwendazakeFA anapoteza credit kwa waja kirahisi hivii, kumbe nae ni emptu mind.
Woiiiiiiih.
Wimbo hauna tatizo, tatizo lipo kwa aliyetafsiri kwa kuongeza mashairi yake kutimiza lengo lake alilokusudia.Kuna mwimbo kwa mfano wa Twanga Pepeta unasema " Twanga Pepeta ninavyojpenda nitakunywa Sumu Juu yake"
Sasa wimbo wa FA umetaja Mbwa tatizo liko wapi?
Mlale Unono 😀
Lengo lenyewe kututukana Watanganyika, inauma sana.Wimbo hauna tatizo, tatizo lipo kwa aliyetafsiri kwa kuongeza mashairi yake kutimiza lengo lake alilokusudia.
Rais Samia alitoa kauli hiyo wakati alipo muomba Naibu waziri wa Sanaa na michezo maarufu kama Mwana Fa kuimba mashairi wakati akitaka kuanza kuongea na wana Zanzibar katika uzinduzi wa Suluhu Sports Club.
katika sehemu aliyoimba Mwana FA ambaye ni Naibu Waziri wa Sanaa na Michezo alisema "mbwa mpumbavu ndiyo anaweza bwekea ndege". Baada ya hapo Rais Samia ndiyo akaongezea kusema Kuna Mbwa Mpumbavu anabwekea maendeleo yetu.
Mama Samia hoyee.Rais Samia alitoa kauli hiyo wakati alipo muomba Naibu waziri wa Sanaa na michezo maarufu kama Mwana Fa kuimba mashairi wakati akitaka kuanza kuongea na wana Zanzibar katika uzinduzi wa Suluhu Sports Club.
katika sehemu aliyoimba Mwana FA ambaye ni Naibu Waziri wa Sanaa na Michezo alisema "mbwa mpumbavu ndiyo anaweza bwekea ndege". Baada ya hapo Rais Samia ndiyo akaongezea kusema Kuna Mbwa Mpumbavu anabwekea maendeleo yetu.
Kwabini tusiringe? Unakuja mgeni kwa mwenye nyumba balafu unataka utambe kwake?Tatizo watu wa Pwani wakipata .... huwa wana maringo sana. Huyu Maza ni typical mtu wa design hiyo .... mdomo ndiyo kazi yao,
Viji drama tu nchi haiongozwi kwa vijembe vya taarabu.Mama Samia hoyee.
Wanakuona upo kimya hawajuwi kumbe wamoooo.