Pre GE2025 Rais Samia: Kuna Mbwa Mpumbavu anabwekea maendeleo yetu
Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Every dog has it's day

1000012537.jpg
 
Rais Samia alitoa kauli hiyo wakati alipo muomba Naibu waziri wa Sanaa na michezo maarufu kama Mwana Fa kuimba mashairi wakati akitaka kuanza kuongea na wana Zanzibar katika uzinduzi wa Suluhu Sports Club.

katika sehemu aliyoimba Mwana FA ambaye ni Naibu Waziri wa Sanaa na Michezo alisema "mbwa mpumbavu ndiyo anaweza bwekea ndege". Baada ya hapo Rais Samia ndiyo akaongezea kusema Kuna Mbwa Mpumbavu anabwekea maendeleo yetu.
maneno yameanza kumtoka Hahaha yaani wapiga kura tumekuwa mbwa duuh hii confidence huwa anaitoa wapi? Au kuna watu wameshikilia uhai wao? Kwamba hawatokufa?
 
Hata km sio kwa style hii, ana njaa za kiwaki master mind wa mchongo.
Tena sahivi kawa uchwaraaa kabisaa.
Safi sana FA piga hela ondoka,

Mitanzania ni mipumbavu. Ndio hii hii Mitanzania iliungana na huyu bibi kumshambulia Ndugai alipotusanua kwamba tunauzwa.

Narudia tena FA endelea kulinda buyu lako
 
Rais Samia alitoa kauli hiyo wakati alipo muomba Naibu waziri wa Sanaa na michezo maarufu kama Mwana Fa kuimba mashairi wakati akitaka kuanza kuongea na wana Zanzibar katika uzinduzi wa Suluhu Sports Club.

katika sehemu aliyoimba Mwana FA ambaye ni Naibu Waziri wa Sanaa na Michezo alisema "mbwa mpumbavu ndiyo anaweza bwekea ndege". Baada ya hapo Rais Samia ndiyo akaongezea kusema Kuna Mbwa Mpumbavu anabwekea maendeleo yetu.
Mbwa ni nani?Maendelwo ni yapi
 
Rais Samia alitoa kauli hiyo wakati alipo muomba Naibu waziri wa Sanaa na michezo maarufu kama Mwana Fa kuimba mashairi wakati akitaka kuanza kuongea na wana Zanzibar katika uzinduzi wa Suluhu Sports Club.

katika sehemu aliyoimba Mwana FA ambaye ni Naibu Waziri wa Sanaa na Michezo alisema "mbwa mpumbavu ndiyo anaweza bwekea ndege". Baada ya hapo Rais Samia ndiyo akaongezea kusema Kuna Mbwa Mpumbavu anabwekea maendeleo yetu.
Watanganyika wamebatizwa jina jipya.
 
Kuna mwimbo kwa mfano wa Twanga Pepeta unasema " Twanga Pepeta ninavyojpenda nitakunywa Sumu Juu yake"

Sasa wimbo wa FA umetaja Mbwa tatizo liko wapi?

Mlale Unono 😀
Wimbo hauna tatizo, tatizo lipo kwa aliyetafsiri kwa kuongeza mashairi yake kutimiza lengo lake alilokusudia.
 
Rais Samia alitoa kauli hiyo wakati alipo muomba Naibu waziri wa Sanaa na michezo maarufu kama Mwana Fa kuimba mashairi wakati akitaka kuanza kuongea na wana Zanzibar katika uzinduzi wa Suluhu Sports Club.

katika sehemu aliyoimba Mwana FA ambaye ni Naibu Waziri wa Sanaa na Michezo alisema "mbwa mpumbavu ndiyo anaweza bwekea ndege". Baada ya hapo Rais Samia ndiyo akaongezea kusema Kuna Mbwa Mpumbavu anabwekea maendeleo yetu.

Tatizo watu wa Pwani wakipata .... huwa wana maringo sana. Huyu Maza ni typical mtu wa design hiyo .... mdomo ndiyo kazi yao,
 
Achia achiia achiia!! Achii kiti hicho katika jina laaa,, kikubwa pumzi ngoja tuone ila mama angekuwa msanii wa taarabu angetrend vuta picha na lile jicho anasimama jukwaan anaimba hv "siina muda huo sina wakukaa kibarazan nakumdiscus lissu'' {tili tili fiii tilitili tili mbaa] kwanza mbowe hamtakii mmh aah anataka mfukuza chademaaa akinikaziaa napita kwa bao la mkonooo" mambo ya mama hayooo sijui anafel wap na kipaji anacho
 
Rais Samia alitoa kauli hiyo wakati alipo muomba Naibu waziri wa Sanaa na michezo maarufu kama Mwana Fa kuimba mashairi wakati akitaka kuanza kuongea na wana Zanzibar katika uzinduzi wa Suluhu Sports Club.

katika sehemu aliyoimba Mwana FA ambaye ni Naibu Waziri wa Sanaa na Michezo alisema "mbwa mpumbavu ndiyo anaweza bwekea ndege". Baada ya hapo Rais Samia ndiyo akaongezea kusema Kuna Mbwa Mpumbavu anabwekea maendeleo yetu.
Mama Samia hoyee.

Wanakuona upo kimya hawajuwi kumbe wamoooo.
 
Tatizo watu wa Pwani wakipata .... huwa wana maringo sana. Huyu Maza ni typical mtu wa design hiyo .... mdomo ndiyo kazi yao,
Kwabini tusiringe? Unakuja mgeni kwa mwenye nyumba balafu unataka utambe kwake?

Jogoo la shamba haliwiki mjini.
 
Back
Top Bottom