Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atakuwa anawasema wakenya ndio wenye wivu na maendeleo ya TzRais Samia alitoa kauli hiyo wakati alipo muomba Naibu waziri wa Sanaa na michezo maarufu kama Mwana Fa kuimba mashairi wakati akitaka kuanza kuongea na wana Zanzibar katika uzinduzi wa Suluhu Sports Club...
John mwenyewe alimpenda sana huyo hadi akampa u-makamu!R.i.P John...😥
Na huyu jamaa alikuwa zaidi ya huyu mama. Mipasho ni jadi hawa jamaaR.i.P John...😥
Watu wakianza kumwambia nahau kama hizo avumilie asije akawatumia wasiojulikanaMkuu labda wewe ni La Saba B. Hiyo ni methali/ nahau tu. Usichulie serious san...
Sawa sisi wa Tanganyika ni mbwa lkn siku wakimng’ata asianze kulialia.AKINA LISU HAO
Rais Samia siyo wa design hiyo. Ni mpenda haki na hataki dhulumaWatu wakianza kumwambia nahau kama hizo avumilie asije akawatumia wasiojulikana
Elimu, Elimu & Elimu ndiyo matatizo makuu ya WatanzaniaSawa sisi wa Tanganyika ni mbwa lkn siku wakimng’ata asianze kulialia.
Utakata wewe ila Samia yupo hadi 2030. Jishughulishe na shughuli ya uzalishaji mali, usitegemee kuna Rais atakuja kukuwekea fedha mfukoniKifupi Maza pumzi imekata
AngetuRais Samia siyo wa design hiyo. Ni mpenda haki na hataki dhuluma
Akemee wanaotekaji ma wanaopoteza watz, wanahaki ya kuishiRais Samia siyo wa design hiyo. Ni mpenda haki na hataki dhuluma