peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
MtanikumbukaNi kweli tarehe kama ya leo mishahara ingekua tayari ili watumishi wajiandae na sherehe za mwaka mpya..na "sisi" wafanyabiashara tupate chochote lakini kwa hali ilivyo..hakuna dalili..
Baadhi ya Miradi ndio itachelewa sio Kukosa salary,hii hauwezi kutokea.Raisi aliamua kuwa sehemu ya watu wasiopenda kulipa kodi na ndiyo baadhi yao wanafadhili mitandao ya kijamii kwa kumsifia kuwa anaupiga mwingi
wakati sasa umefika anajionea yeye mwenyewe ameweka tozo kwa wananchi bado pesa za tozo hazijamsaidia kitu chochote hazijulikani zinaenda kwenye miradi gani, juzi amekiri mwenyewe kuwa serikali yake haina pesa na amesisitiza kuwa lazima tukope na tulipe hapo alikuwa akizungumzia ujenzi wa reli ya sgr kipande kuanzia tabora hadi kigoma
Kwa maneno yake yale baadhi ya taasisi za serikali kaeni tayari kucheleweshewa mishahara maana kwa sasa mambo aliyonayo raisi ni mengi hasa ya kutekeleza miradi ya maendeleo, wakati mwingine ndiyo maana mama anatoka kidogo nchini yapo mambo mengi anapokuwa nchini anashindwa ashike lipi na aache lipi ndiyo maana anaamua kwenda kula upepo kule kwa wenzetu wanaotukopesha.
Mikopo ni mizuri ila usizidishe ukopaji, itafika mahali tutaongezewa nguvu kubwq ya urudishaji na atakae umia zaidini mwananchi maana ataongezea kodi umiza,huwa namshfangaa waziri kusema hakuna mtu atalipa deni ni nani mlipa deni kama sio sisi walipa kodiRaisi aliamua kuwa sehemu ya watu wasiopenda kulipa kodi na ndiyo baadhi yao wanafadhili mitandao ya kijamii kwa kumsifia kuwa anaupiga mwingi
wakati sasa umefika anajionea yeye mwenyewe ameweka tozo kwa wananchi bado pesa za tozo hazijamsaidia kitu chochote hazijulikani zinaenda kwenye miradi gani, juzi amekiri mwenyewe kuwa serikali yake haina pesa na amesisitiza kuwa lazima tukope na tulipe hapo alikuwa akizungumzia ujenzi wa reli ya sgr kipande kuanzia tabora hadi kigoma
Kwa maneno yake yale baadhi ya taasisi za serikali kaeni tayari kucheleweshewa mishahara maana kwa sasa mambo aliyonayo raisi ni mengi hasa ya kutekeleza miradi ya maendeleo, wakati mwingine ndiyo maana mama anatoka kidogo nchini yapo mambo mengi anapokuwa nchini anashindwa ashike lipi na aache lipi ndiyo maana anaamua kwenda kula upepo kule kwa wenzetu wanaotukopesha.
Hafiki kokote nakwambia Mungu atusaidie muda utaongea mtakumbuka kauli ya Kikwete ya labda mambo yaharibike sanaaa mbele ya safari.Raisi aliamua kuwa sehemu ya watu wasiopenda kulipa kodi na ndiyo baadhi yao wanafadhili mitandao ya kijamii kwa kumsifia kuwa anaupiga mwingi
wakati sasa umefika anajionea yeye mwenyewe ameweka tozo kwa wananchi bado pesa za tozo hazijamsaidia kitu chochote hazijulikani zinaenda kwenye miradi gani, juzi amekiri mwenyewe kuwa serikali yake haina pesa na amesisitiza kuwa lazima tukope na tulipe hapo alikuwa akizungumzia ujenzi wa reli ya sgr kipande kuanzia tabora hadi kigoma
Kwa maneno yake yale baadhi ya taasisi za serikali kaeni tayari kucheleweshewa mishahara maana kwa sasa mambo aliyonayo raisi ni mengi hasa ya kutekeleza miradi ya maendeleo, wakati mwingine ndiyo maana mama anatoka kidogo nchini yapo mambo mengi anapokuwa nchini anashindwa ashike lipi na aache lipi ndiyo maana anaamua kwenda kula upepo kule kwa wenzetu wanaotukopesha.
Nchi haiendeshwi kwa mikopo ya kufanya sinking of money, ni uhuni kweliMikopo ni mizuri ila usizidishe ukopaji, itafika mahali tutaongezewa nguvu kubwq ya urudishaji na atakae umia zaidini mwananchi maana ataongezea kodi umiza,huwa namshfangaa waziri kusema hakuna mtu atalipa deni ni nani mlipa deni kama sio sisi walipa kodi
Biased analysis/comment based on your religious belief.Watu wsnasimulia kuwa enzi za Mwinyi wafanyakazi walikuwa wakicheleweshewa mishahara hata kwa miezi 3. Ikafika mahali wafanyakazi wengi wakaacha kazi, maana mtaani kulikuwa na hela usipime.
Awamu ya Kikwete halmashauri nyingi Sana zilikuwa zinakopa fedha toka kwa matajiri ili kulipa mishahara. Halafu hao matajiri wanapewa tenda za unenzi wa miradi ya serikali ktk halmashauri husika.
Awamu hii ya sita mwelekeo ni hio huo!
Hawa marais wema hawa wanaoishi sana. Kulikoni?
Kama inachapa tu pesa unafikiri kwanini inakopa?Serikali haiwezi shindwa lipa wafanyakazi. Si inachapa tu pesa!
Amejenga hivi hapa 👇Tumekopa sana na tumejenga sana sijui anasema amejenga nini[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 2454351
Jeshi likikuongoza ndio halifanyi ufisadi?Hafiki kokote nakwambia Mungu atusaidie muda utaongea mtakumbuka kauli ya Kikwete ya labda mambo yaharibike sanaaa mbele ya safari.
Wanafanya kitu inaitwa Wealth Accumulation kila mmoja anajilia kivyake, siku moja tutaongozaa na Jeshi letu tukufu let's wait.
Hivi unajua Budget ya mishahara ya serikal kwa mwezi ? Au Unasikia Radio mbao tu kuna Tajiri hapa Tz anauwezo kulipa mishahara ya serikali watanzania walio wengi ni wajinga hasa lugha rahisi ni jamii ya hovyo kabisa katika ukanda huu wa masharikiWatu wanasimulia kuwa enzi za Mwinyi wafanyakazi walikuwa wakicheleweshewa mishahara hata kwa miezi 3. Ikafika mahali wafanyakazi wengi wakaacha kazi, maana mtaani kulikuwa na hela usipime.
Awamu ya Kikwete halmashauri nyingi Sana zilikuwa zinakopa fedha toka kwa matajiri ili kulipa mishahara. Halafu hao matajiri wanapewa tenda za ujenzi wa miradi ya serikali ktk halmashauri husika.
Awamu hii ya sita mwelekeo ni huo huo!
Hawa marais wema hawa wanaoishi sana. Kulikoni?
Swali au taarifa?Mishahara itakuwepo mwezi huu
ni kweli kabsa Elimu bure mpaka leo fedha ya mwezi wa 11 haijatoka, kawaida huwa inatoka kati ya tarehe 2 mpaka 5 leo ni tarehe 22View attachment 2454456
Kuna wakati nikasikia serikali mifumo ya fedha haifanyi kazi imefungwa. Kumbe ilikuwa kweli. Kwa waziri yule Mwingulu Nchemba usishangae Tanzania ikawa kama Ghana au Zambia