johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Hiyo expo 2020 ni ni JoKatibu mkuu wa Wizara ya Uwekezaji aliyeko Dubai amesema Rais Samia ataondoka Tanzania kuelekea Dubai kushiriki maonesho ya Expo 2020
Wawekezaji wengi sana wameonesha nia ya kuja kuwekeza Tanzania, amesema Katibu mkuu.
Source: TBC
Hata kama ndio kufungua Nchi hii speed imezidi🤣🤣🤣Katibu mkuu wa Wizara ya Uwekezaji aliyeko Dubai amesema Rais Samia ataondoka Tanzania kuelekea Dubai kushiriki maonesho ya Expo 2020
Wawekezaji wengi sana wameonesha nia ya kuja kuwekeza Tanzania, amesema Katibu mkuu.
Source: TBC
🤣🤣🤣Mama alikuwa na hamu sana.Miss Utalii ndo mlisema namna gani msoga?
Bila shaka atarudi na pesa na huko. Safari njema.Katibu mkuu wa Wizara ya Uwekezaji aliyeko Dubai amesema Rais Samia ataondoka Tanzania kuelekea Dubai kushiriki maonesho ya Expo 2020
Wawekezaji wengi sana wameonesha nia ya kuja kuwekeza Tanzania, amesema Katibu mkuu.
Chanzo: TBC
Nani? Acha Waupige Mwingi Mpaka Utoke NjeNani atamfunga paka kengele?
Mama afungwe speed limit.
Hivi hili jina Hangaya nyuma yake linabeba maana gani? Isije likawa na maana ya anayezurura, kutangatanga ama kutokutulia sehemu moja. Maneno ama speli za kichawi huumba tabia! Nyie watani zangu Wasukuma shauri zenu, oohoo!Katibu mkuu wa Wizara ya Uwekezaji aliyeko Dubai amesema Rais Samia ataondoka Tanzania kuelekea Dubai kushiriki maonesho ya Expo 2020
Wawekezaji wengi sana wameonesha nia ya kuja kuwekeza Tanzania, amesema Katibu mkuu.
Chanzo: TBC
Per Diem - ExternalKatibu mkuu wa Wizara ya Uwekezaji aliyeko Dubai amesema Rais Samia ataondoka Tanzania kuelekea Dubai kushiriki maonesho ya Expo 2020
Wawekezaji wengi sana wameonesha nia ya kuja kuwekeza Tanzania, amesema Katibu mkuu.
Chanzo: TBC