Hizo gharama hazipo katika bajeti au zilipangwa???Moja ya kazi za fedha ni hizo na zimepangiwa bajeti...Shida iko wapi
Shida iko wapi?!
Matumizi mabaya ya pesa za umma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo gharama hazipo katika bajeti au zilipangwa???Moja ya kazi za fedha ni hizo na zimepangiwa bajeti...Shida iko wapi
Hivi SSH ni fundi wa mashine???
Hawa watu wa ukanda wa Pwani ya nchi yetu ni bure kabisa. Ni uswahili na umbea kwa kwenda mbele. Hawafai kuongoza nchi hawa!Mama anaenda kushiriki maonesho aina ya sabasaba kweli? Ndio amefikia hatua hii?
Nalisikitikia taifa langu la Tanzania kwa kupata mzurulaji mzuri kama huyu
Expo are global events dedicated to finding solutions to fundamental challenges facing humanityKabla sijaendelea naomba kujuzwa ... expo 2020 unamanisha nini
Kama wewe ulivyo chawa wa yule mwenye ndoo ya "mtondoo".....Chawa kazini
inawezekanaje kuwa chawa wa mfungwa ?Kama wewe ulivyo chawa wa yule mwenye ndoo ya "mtondoo".....
Kwani alianza kifungo tumboni mwa mzazi wake?!!!inawezekanaje kuwa chawa wa mfungwa ?
Safari Njema Mama. Mungu akutangulie. Ninajua kama kawaida yako utarudi na zawadi ule na sisi wanao.Katibu mkuu wa Wizara ya Uwekezaji aliyeko Dubai amesema Rais Samia ataondoka Tanzania kuelekea Dubai kushiriki maonesho ya Expo 2020
Wawekezaji wengi sana wameonesha nia ya kuja kuwekeza Tanzania, amesema Katibu mkuu.
Chanzo: TBC
Ndiyo pesa ziko nje mwacheni aende, si mnajua ndani hakuna kitu. Km nyumbani kwako wakati wa kilimo hulimi utavuna kweli? lazima utafute vibarua au msaada. Mama kaza mwendo tafuta hela.Mh.....