Rais Samia kuondoka Februari 24, 2022 kuelekea Dubai kushiriki maonyesho ya Expo 2020

Rais Samia kuondoka Februari 24, 2022 kuelekea Dubai kushiriki maonyesho ya Expo 2020

Safi sana mama. Endelea kutufungulia dunia. Vijana tuna Imani na wewe.
Samia anakaba hadi kona 🤣🤣🤣 Mambo mengine angemwachia makamu wake naye akaoshe macho kidogo.Samia ana roho mbaya, Mbona Yeye Magufuri alikuwa akimwachia hizo safari kila siku?
 
Akirudi atatuletea zawadi ya salamu nyingi sana kutoka kwa ndugu zetu wa emirat,mwambieni amsalimie yule kijana anayefuga chui Rashid belhasa.
 
Tozo zimewekwa kwaajili ya kugharamia haya mambo
Haya chifu shopping njema hapo Dubai, mimi niletee kanzu tu
Ni mwendo wa kutumbua T Per diem
 
Hii sasa sifa ....
Kwani waziri wa mambo ya nche na ushirikiano ana kazi gani si akamwakilishe tuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Sifa gani? Mtu Kama Kabudi wewe unaona anaweza fanya kipi?👇

Screenshot_20220224-152511.png


Screenshot_20220224-161357.png
 
Wakati wadogo ilikuaga tunakaa nje ya uwanja wakati mpira unachezwa sababu hatukuwa na pesa ya kulipa kiingilio. Ila ilikua ikifika dakika ya 89 wanafungua mageti ile nyomi yote ilokua nje inakimbizana kuingia uwanjani. Ilikua inaitwa fungulia dog
 
Huyo ni rais mwenye maono tofauti na hayati JPM aliyeamini katika siasa za ndani na akawanyanyapaa mabalozi katika vikao vya ikulu, akiwa amejawa na jeuri.

Faida ya safari kama hizi ni kujuana na wawekezaji wakubwa na kuwa karibu nao. Ni ulimwengu wa ushawishi, mtu anakula kwa ushawishi alionao kidunia, mtu anapata masoko ya bidhaa zake kwa ushawishi wa kiongozi wake kuwa karibu na wakurugenzi wa makampuni makubwa.

Tunapata wigo mpana wa watalii kwa uongozi wetu kuwa sehemu ya dunia pana. Tatizo lako nyboma umezikariri mno falsafa za JPM kiasi ambacho unaamini rais ni lazima apitie njia zile zile alizoziamini yeye.

JK alikuwa mtalii number moja, lakini mpaka anamaliza mihula yake yote miwili, nchi ilikuwa inaona mtihani hata kulipa mishahara na marupurupu ya civil servants tu. Trust me, hii hali yetu ya kuwa mateja wa misaada ndiyo itakayoendelea kutubakiza hapa hapa tulipo!
 
Hpn aaie sas ngoja tupambane tuingie ikulu sasa HV kbl ajaondoaka mnk hakuta ingilika kiraisi hv
 
Wale wa DED walikuwa watumbuliwe tarehe 18/2/2022 watakuwa wamemroga Ili awasahau kwa starehe za Dubai
 
Mama wewe tembea, uzuri safari zako zote huwa zina manufaa.
 
Kikwete na Nyerere ndio watu waliotawala kwa mihula mitatu ! Katiba mpya yahitajika sana...
 
Back
Top Bottom