Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe unafikiri ana akili huyo. Akili yake imeshikiwa na makamba. Ni chawa wa January, wapo vijana wengi sana humu JF wameuza utu wao....Sasa kinachokufanya umponde JPM ni kipi ikiwa yote haya unayopost amehusika kwa asilimia zaidi ya 80?
Tunakuuliza, kwanini SSH aende mwenyewe kwenye maonyesho hayo ilhali ana wasaidizi wake? Umeshindwa kujibu badala yake unaleta hoja za kushikishwa ukuta, tukusaidie nini kama unashikishwa??
Akifungwa speed limit watu watakufa njaa humu nchini na malalamiko ndio yataongezeka.
Badala ya kurudi Tz si angepitia huko huko?Katibu mkuu wa Wizara ya Uwekezaji aliyeko Dubai amesema Rais Samia ataondoka Tanzania kuelekea Dubai kushiriki maonesho ya Expo 2020
Wawekezaji wengi sana wameonesha nia ya kuja kuwekeza Tanzania, amesema Katibu mkuu.
Chanzo: TBC
Muda mfupi nchi itachakaaHata kama ndio kufungua Nchi hii speed imezidi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Comrade Jumbe nimetoka kunywa bia rainbow muda huu, kichwa hakipo sawa naomba kesho tujadili hili suala kwa upana zaidi tuje na makadilio maana hapo umesema bilioni ila mama bajeti yake ni mabilioni hivyo tuombe kukuche salama kesho tuje na facts kabisa..Komredi kuhusu gharama nakukumbusha utawala uliopita ulitoa mathalani BILIONI 1 kuipa timu ya taifa ya vijana.....
Serikali ina matumizi mengi...hupangwa vyema na miongoni mwao ni hizo safari.....
Huyu inasemekana ndio anapiga dili chafu za madini kwa ndege ya raisi haya ngoja tuone maana inaweza kuwa tuna maraisi wawili..Aende tu, ikiwezekana abaki huko huko. Hakuna atakayejali. Huku JK si yupo, ataendelea kuendesha nchi kwa remote.
Duuh mkuu kila uchao mchango wako juu ya mh.SSH ni kumponda tu....kwako hana jema wala zuri 😳🤣🤣Aende tu, ikiwezekana abaki huko huko. Hakuna atakayejali. Huku JK si yupo, ataendelea kuendesha nchi kwa remote.
🤣🤣Comrade Jumbe nimetoka kunywa bia rainbow muda huu, kichwa hakipo sawa naomba kesho tujadili hili suala kwa upana zaidi tuje na makadilio maana hapo umesema bilioni ila mama bajeti yake ni mabilioni hivyo tuombe kukuche salama kesho tuje na facts kabisa..
Kahawa leo umenywea wapi?🤣🤣
Ok mkuu alamsiki... kapumzike kaka kwani kichwa kimeshajaa ganzi
🤣
Ila bajeti yake ni kufuru kishikajiDuuh mkuu kila uchao mchango wako juu ya mh.SSH ni kumponda tu....kwako hana jema wala zuri 😳🤣🤣
Nimenywea K/koo kijiwe cha CUF na ACT -Wazalendo jirani na kituo Cha mwendokasi mkabala na polisi Msimbazi 🤣Kahawa leo umenywea wapi?
Chawa kaziniDuuh mkuu kila uchao mchango wako juu ya mh.SSH ni kumponda tu....kwako hana jema wala zuri [emoji15][emoji1787][emoji1787]
Huyu mupe wali huyu mupe donaNani? Acha Waupige Mwingi Mpaka Utoke Nje
Akirudi Vikundi Vinajaa Airport Na T-shirt Kumpongeza
Wahuni Wakila Kwa Urefu Wa Kamba
Mupe .....Muruke......
Munawishe Huyu...
Huyu Muruke.....Mupe Yule
Huyu Mupe, Fyanta...Huyu Mupe Balimi Huyu Muruke
Miaka sita ya Magufuli hakwenda huko Ulaya wala kusafiri safiri nje ya nchi, kwa point yako hii nilitegemea hizo changamoto ulizozisema zingekuwa vimeshatatuliwa..Ile zile gharama za timu nzima ni kubwa mno, unatambua ya kwamba yeye binafsi gharama za kwenda ziara kule france na belgium ametumia zaidi ya milioni 250M hapo timu aliyosafiri nayo ambapo ukijumlisha hapo ni mabilioni kadhaa...
Hiyo pesa ni nyingi sana ingetosha kujenga vituo vya afya kadhaa hapa nchini ama kununua vitanda vya wagonjwa, wakati mwingine tuwe fair basi maana hata hatatulia safari nyingine imewadia tena…