CM 1774858
JF-Expert Member
- May 29, 2021
- 5,621
- 5,029
🤔🤔🤔🤔🤔===
Masaa machache baada ya kurejea kutoka ECOP27 huku Misri Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan kuongoza kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa, Dodoma.
View attachment 2414119
#CCMImara
#KaziIendelee
Hakuna Vita ya Urais CCM,Vita ya Urais CCM bado mbichi Sana kila mmoja anapanga safu yake kwaajili ya kumpitisha 2025 ndani ya chama
Sahihi 100% na fomu ni moja tu tutaprint,Hakuna Vita ya Urais CCM,
#RAIS NI SAMIA TU MPAKA 2030
OVA,
Mama hapoi ata kwa Sekunde moja aisee===
Masaa machache baada ya kurejea kutoka ECOP27 huku Misri Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan kuongoza kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa, Dodoma.
View attachment 2414119
#CCMImara
#KaziIendelee
===
Masaa machache baada ya kurejea kutoka ECOP27 huku Misri Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan kuongoza kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa, Dodoma.
View attachment 2414119
#CCMImara
#KaziIendelee
Ila we jamaa hizi Chuki zitakuua aiseeMacho ya watanzania au macho ya majizi wenzake wa kura wa CCM?
Ila we jamaa hizi Chuki zitakuua aisee
Uliibiwa kura ngapi?Kwahiyo hayo majizi ya kura ndio yenye upendo?
Uliibiwa kura ngapi?
Lete ushahidi hapa sio kubwata bwata tu
: Mjomba achana na CHADEMA Wewe na familia yako mtakufa njaa,Sio kuibiwa tu, na kupigwa juu. Ww jizi la kura ndio nikupe ushahidi?!
Utasubiri sanaFukuza Muongo na Mpini wanachafua hali ya hewa
Fukuza Muongo na Mpini wanachafua hali ya hewa
: Mjomba achana na CHADEMA Wewe na familia yako mtakufa njaa,
Angalia alichofanya Mdee,
Mimi ombi langu hawa watu wapasuane ikibidi wauane kabisa ili nchi ipone.Vita ya Urais CCM bado mbichi Sana kila mmoja anapanga safu yake kwaajili ya kumpitisha 2025 ndani ya chama
Kwa nini tusifanye hadi 2035?Hakuna Vita ya Urais CCM,
#RAIS NI SAMIA TU MPAKA 2030
OVA,