Rais Samia kuongoza CC ya CCM leo, macho na masikio ya Watanzania ni majina ya Walioteuliwa kugombea nafasi za Mkoa na Taifa

CM 1774858

JF-Expert Member
Joined
May 29, 2021
Posts
5,621
Reaction score
5,029
===
Ni masaa machache tu baada ya kurejea kutoka katika Mkutano wa Dunia wa Uhifadhi wa Mazingira wa 27 yaani COP27 huko Nchini Misri,

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan kuongoza kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa, Dodoma.

#CCMImara
#KaziIendelee
 
Mama hapoi ata kwa Sekunde moja aisee
 

Macho ya watanzania au macho ya majizi wenzake wa kura wa CCM?
 
Sio kuibiwa tu, na kupigwa juu. Ww jizi la kura ndio nikupe ushahidi?!
: Mjomba achana na CHADEMA Wewe na familia yako mtakufa njaa,

Angalia alichofanya Mdee,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…